serio JF-Expert Member Joined Apr 15, 2011 Posts 7,340 Reaction score 4,734 May 9, 2014 #21 muhomakilo jr said: Hivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio. Click to expand... wanakuroga
muhomakilo jr said: Hivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio. Click to expand... wanakuroga
GKM JF-Expert Member Joined Dec 5, 2012 Posts 738 Reaction score 328 May 10, 2014 #22 Nyanya mbichi said: mie napangisha nyumba nzima tabata ila nimekataa sitaki kitu au mtu anaeitwa dalali. Click to expand... tuwasiliane mkuu kuhusu hiyo nyumba
Nyanya mbichi said: mie napangisha nyumba nzima tabata ila nimekataa sitaki kitu au mtu anaeitwa dalali. Click to expand... tuwasiliane mkuu kuhusu hiyo nyumba
P pembe JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 2,150 Reaction score 717 May 10, 2014 #23 muhomakilo jr said: Hivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio. Click to expand... Wanachofanya ni kama machinga kwani hawana ofisi na hata ukiwalipa hawalipi kodi. Ila ni kwamba anayetafuta na anayepangosha mmekutanoshwa na dalali. La sivyo tangaza gazetini au nje ya nyumba yako.
muhomakilo jr said: Hivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio. Click to expand... Wanachofanya ni kama machinga kwani hawana ofisi na hata ukiwalipa hawalipi kodi. Ila ni kwamba anayetafuta na anayepangosha mmekutanoshwa na dalali. La sivyo tangaza gazetini au nje ya nyumba yako.