serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
wanakurogaHivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanakurogaHivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio.
mie napangisha nyumba nzima tabata
ila nimekataa sitaki kitu au mtu anaeitwa dalali.
Wanachofanya ni kama machinga kwani hawana ofisi na hata ukiwalipa hawalipi kodi. Ila ni kwamba anayetafuta na anayepangosha mmekutanoshwa na dalali. La sivyo tangaza gazetini au nje ya nyumba yako.Hivi ukikataa kuwalipa,wana nguvu yeyote kisheria?,nilipangisha nyumba siku nalipwa dalali anataka nimpe feza,niliwatoa mbio.