Madalali wa nyumba wanaharibu biashara ya kukodi na kuuza nyumba na viwanja (real estate)

Madalali wa nyumba wanaharibu biashara ya kukodi na kuuza nyumba na viwanja (real estate)

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Angalia utofauti wa bei wa nyumba moja kati ya madalali wawili tofauti, huu ni wendawazimu.

20241110_112916.jpg
20241110_112911.jpg
 
Madalali wanatakiwa wasajiliwe, watambulike kisheria na walipe kodi ! Unaweza kukuta kirikuu kinauzwa ndani yake kuna mlolongo wa watu 7 mpkaka umfikie muuzaji,,,ndo maana wanaweka hela kubwa ili waweze kugawana posho ! Ni ujuha wa ajabu
 
Madalali wanatakiwa wasajiliwe, watambulike kisheria na walipe kodi ! Unaweza kukuta kirikuu kinauzwa ndani yake kuna mlolongo wa watu 7 mpkaka umfikie muuzaji,,,ndo maana wanaweka hela kubwa ili waweze kugawana posho ! Ni ujuha wa ajabu
Lawama pia kwa wauzaji. Hivi hakuna namna ya kuuza kitu kama nyumba bila kupitia kwa madalali? Lawama nyingine kwa sekta binafsi. Hivi hakuna mtu au watu binafsi wanaoweza kuunda website na app ambayo kila mtu anayetaka kuuza nyumba yake anaweza kuweka tangazo lake na wao wachukue ada ndogo tu? Mmi nadhani badala ya kulalamika tuone kama ni fursa.
 
Back
Top Bottom