Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia utofauti wa bei wa nyumba moja kati ya madalali wawili tofauti, huu ni wendawazimu.
View attachment 3148461View attachment 3148462
Wala hawaharibu biashara, Kuna nyumba ya 950m hapo!!????
Ikizidi 150M
Mwenye Nyumba atapata 110M
Hiyo Nyumba na location haiwezi Fika 200M
Yap Bro, kama mtu kaamua kuweka bei kujifurahisha ni sawa, ila kwenye kununua Kuna willing buyer and seller
Semà Vijana wengi Siku hizi hata kukadiria bei hawawezi.
Real estate bill hadi leo haijajadiliwa bungeni ila bill ipo tayarHivi Ile issue ya kusajiri madalali iliishia wapi?
Lawama pia kwa wauzaji. Hivi hakuna namna ya kuuza kitu kama nyumba bila kupitia kwa madalali? Lawama nyingine kwa sekta binafsi. Hivi hakuna mtu au watu binafsi wanaoweza kuunda website na app ambayo kila mtu anayetaka kuuza nyumba yake anaweza kuweka tangazo lake na wao wachukue ada ndogo tu? Mmi nadhani badala ya kulalamika tuone kama ni fursa.Madalali wanatakiwa wasajiliwe, watambulike kisheria na walipe kodi ! Unaweza kukuta kirikuu kinauzwa ndani yake kuna mlolongo wa watu 7 mpkaka umfikie muuzaji,,,ndo maana wanaweka hela kubwa ili waweze kugawana posho ! Ni ujuha wa ajabu