Madalali wa nyumba wanaharibu biashara ya kukodi na kuuza nyumba na viwanja (real estate)

Madalali wa nyumba wanaharibu biashara ya kukodi na kuuza nyumba na viwanja (real estate)

Semà Vijana wengi Siku hizi hata kukadiria bei hawawezi.
Mkuu, nadhani hili tatizo lichukuliwe kama fursa na siyo kulalamika. Kuna wazungu wawili walienda India zamani waliporudi kwao wakaulizwa hali ya huko ikoje? Mmoja akasema ameona watu wengi wanaotembea pekupeku bila kujali maradhi na hana hamu ya kurudi tena huko kwani anaweza kuambukizwa ugonjwa. Mwingine akasema ameona soko kubwa la biashara ya yebo-yebo na akafungasha mzigo kwa ajili ya kwenda kuwauzia. Hivi Tanzania inakosa kikundi cha vijana waliosoma IT na wakaanzisha website ya uhakika na app kwa ajili ya watu wenye nyumba na viwanja kuweka matangazo yao na wao wakachukuwa fee ndogo? Hapa wenye nyumba watakuwa wana-deal na wanunuzi bila kupitia kwa dalali.
 
Lawama pia kwa wauzaji. Hivi hakuna namna ya kuuza kitu kama nyumba bila kupitia kwa madalali? Lawama nyingine kwa sekta binafsi. Hivi hakuna mtu au watu binafsi wanaoweza kuunda website na app ambayo kila mtu anayetaka kuuza nyumba yake anaweza kuweka tangazo lake na wao wachukue ada ndogo tu? Mmi nadhani badala ya kulalamika tuone kama ni fursa.
Madalali wanafitina sana uuze nyumba bila kupitia kwao,wanaweza kuzusha nyumba ina majini wateja waogope
 
Mkuu, nadhani hili tatizo lichukuliwe kama fursa na siyo kulalamika. Kuna wazungu wawili walienda India zamani waliporudi kwao wakaulizwa hali ya huko ikoje? Mmoja akasema ameona watu wengi wanaotembea pekupeku bila kujali maradhi na hana hamu ya kurudi tena huko kwani anaweza kuambukizwa ugonjwa. Mwingine akasema ameona soko kubwa la biashara ya yebo-yebo na akafungasha mzigo kwa ajili ya kwenda kuwauzia. Hivi Tanzania inakosa kikundi cha vijana waliosoma IT na wakaanzisha website ya uhakika na app kwa ajili ya watu wenye nyumba na viwanja kuweka matangazo yao na wao wakachukuwa fee ndogo? Hapa wenye nyumba watakuwa wana-deal na wanunuzi bila kupitia kwa dalali.

Wazo Lako ni zuri sana
 
Madalali wanafitina sana uuze nyumba bil kupitia kwao,wanaweza kuzusha nyimba ina majini wateja waogope
Ni kweli ukifanya kitu kama hicho madalali watakipiga vita sana lakini baada ya muda utashinda. Infact ni suala la muda tu huu mtindo wa madalali kukaa vijiweni utakufa kwa watu kufanya kitu kama nilichosema. Watanzania tukilaza damu watakuja wageni na kuchukuwa hiyo fursa.
 
Mkuu, nadhani hili tatizo lichukuliwe kama fursa na siyo kulalamika. Kuna wazungu wawili walienda India zamani waliporudi kwao wakaulizwa hali ya huko ikoje? Mmoja akasema ameona watu wengi wanaotembea pekupeku bila kujali maradhi na hana hamu ya kurudi tena huko kwani anaweza kuambukizwa ugonjwa. Mwingine akasema ameona soko kubwa la biashara ya yebo-yebo na akafungasha mzigo kwa ajili ya kwenda kuwauzia. Hivi Tanzania inakosa kikundi cha vijana waliosoma IT na wakaanzisha website ya uhakika na app kwa ajili ya watu wenye nyumba na viwanja kuweka matangazo yao na wao wakachukuwa fee ndogo? Hapa wenye nyumba watakuwa wana-deal na wanunuzi bila kupitia kwa dalali.
Kwenye hizo site utaishia kukutana na madalali.
 
Dalali wa kwanza Kasema vyumba 4 ukubwa wa kiwanja 1200sqm, umbali 400.

Dalali wa pili kasema vyumba 5,ukubwa wa kiwanja ni 1990 sqm na umbali ni 450.

hapo kuna dalili za madalali kuwa wengi hatari na wote wapigaji.
 
Basi mwenye nyumba naye mwehu unashangaa mbona kitu chako hakipati mteja kumbe watu wamezidisha dau mara 3 zaidi
Ndo hivyo kwenye hiyo sekta madalali wameshikilia soko, Mwenye nyumba hapo chakufanya asiwategemee tu madalali Inabidi na yeye atafute mwenyewe
 
Ikizidi 150M
Mwenye Nyumba atapata 110M

Hiyo Nyumba na location haiwezi Fika 200M
KUna mzee kakataa kuuza kiwanja chake siku ya malipo! Alimwambia Dalali bei nyingine, siku ya malipo inatajwa bei kubwa kuliko!...chap akamwita chemba dalali akamwambia bila kiasi hiki hakuna biashara.....kama utani akagoma na mzee akaondoka zake na biashara haikufanyika.
 
Back
Top Bottom