Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 273
- 765
Niliwahi kuonya habari ya madalali kwenye soka letu, nikaonya tabia ya kupenda vitu vya bei nafuu hatimaye naona Yanga wameingia kwenye mtego, wameenda kuchukua kocha wa bei nafuu, kocha wa viwango vya baba levo
Nashauri aliyewapa Yanga wazo la kumtimua Gamondi na kumleta huyu kanjanja akamatwe
Yanga ilishaingia kwenye ramani ya vilabu bora Afrika ila sasa inaenda kwenye anguko kwa kasi ya 5G
Huyu kocha mfumo wake ni wa ovyo ovyo hana game plan wala hajui namna ya kuset kikosi kulingana na uchezaji wa adui anapigwa mipira mingi ya akili timu imepoteana imekuwa kama nanyumbu fc
Inasikitisha sana aisee 😭😭😭
Nashauri aliyewapa Yanga wazo la kumtimua Gamondi na kumleta huyu kanjanja akamatwe
Yanga ilishaingia kwenye ramani ya vilabu bora Afrika ila sasa inaenda kwenye anguko kwa kasi ya 5G
Huyu kocha mfumo wake ni wa ovyo ovyo hana game plan wala hajui namna ya kuset kikosi kulingana na uchezaji wa adui anapigwa mipira mingi ya akili timu imepoteana imekuwa kama nanyumbu fc
Inasikitisha sana aisee 😭😭😭