Madam B, Arushaone , Mamndenyi et al mpo wapi wakuu?

Ha ha ha sijui yupo wapi sijui yupo kivingine I miss him sana, Baba V mhenga mwenzio Bishanga yukwapi eti
We angalia utapimwa mkojo... Bishanga hivi sasa yuko lupango kwa matumizi mabaya ya ofisi ya tiefuefu... huoni siku hizi Yanga mambo yamewadodea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…