Madam Barbara ni CEO sahihi ndani ya timu yetu pendwa Simba

Barbara naona umekuja JF kutafuta huruma. Utavuna ulichopanda, umehongwa timu ulidhani mambo yatakuwa kitongaa
 
mkuu hujui kinachoendelea ndani ya simba ndo maana umekuja kumtetea babra, babra haelewani karibu na kila kiongoz ndani ya simba isipokua mwekezaji, try again na mpambe wao magori, katengeneza migogoro inayoua teamwork ilotupa ubingwa miaka 4 mfululizo.

migogoro ndani ya uongozi imewaathiri hadi wachezaji wetu kisaikolojia, jambo linalowakosesha umakini wawapo mchezoni, suluhu ya kinachoendelea simba ni kumuondoa babra/akalishwe kitako na kupewa darasa la kuwaheshimu viongozi wenzake.
 
Na sisi tumeamua kumpinga Babra na tutamngoa siku si nyingi. Hata Mo naye siku zake zinahesabika.
Mna uwezo wa kuzitapika zile bilioni zake 20 za kwenye makaratasi?
 
Tena hiyo migogoro yenyewe imezuka baada tu ya kutawazwa kuwa MAPINDUZI CUP CHAMPS.
 
Babra yupo pale kulinda maslahi ya Mo enterprises pamoja na maagizo ya Mo dewji.
 
Mwanaume mzima unashabikia majungu anayopigwa mwana Dada shupavu, acha majungu mtoto wa kiume tafuta hela.
 
Simama nae na ukae nae pia,ni sawa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
[emoji94].... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!![emoji848][emoji848][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…