Madam Rita Paulsen na Benchmark Productions kwa hili mmetia aibu

Madam Rita Paulsen na Benchmark Productions kwa hili mmetia aibu

Kaka hapo umeongea point kubwa sana hebu wajaribu kulisikiliza tena hii making of video(behind the scene) au lugha pia ni tatizo Zantel ndyo aliyedhamini kila kitu na c madam ritha!!

Mi nachoitaji ni ufanisi wa benchmark productions as wangekuwa kweli wanaweza kazi na imani hata mdhamini awe nani angetoa tenda kwao au kwa ingine na pia tangazo sio World class adverts kiasi cha kushindwa kufanya tanzania.. Ni lipo simple and straight in term of storyline, environment, and peoples around... Ndo maana hata wahind wakaseti tu location ndan sehem moja na kufanya simple in just a day..

Sasa kama benchmark na kampuni zingine za kibongo zinashindwa kufanya simple adverts za aina hiyo haina maana ya kwenda kazini ni bora wafunge ofisi tu..

Jaman let's talk about proffessionalism hivi kweli tunaendelea au tunapotelea maana kila kitu hatuwezi
 
Kwa sababu ni hela zake
hamna shida. Ni kama Simba, Azam na Yanga zinavyochukua makocha kutoka
nje wakati hata Tanzania kuna Makocha.

Aache kudanganya mkuu,maana mi niliamini ni kampuni yake imetengeneza kumbe mh!
 
Nafikiri si madam Ritta bali kampuni ya Zantel ndo ilidhamini hilo tangazo na kugharimia kila kitu...
Tusipende kujamp kwenye conlusion..

your very right ,spelling correction ,kujump-not kujamp,na conclusion wala si conlusion,otherwise its true what you say.
 
Mkuu naomba nikueleweshe katika productions issues hayo masuala ni ya kawaida sana utakuta kampuni fulani inawapa tenda kampuni fulani kazi fulani hata movies nyingi za ulaya unakuta kampuni kubwa kama paramount pictures, 20 century Fox na Warner Bros wanatoa tenda kwa studio zingine ndogo ndogo katika kutengeneza movie ile then wao wanabaki na rights ya ku distribute na kuimiliki that movie ni nyingi sana nikianza kuzitaja hapa nitamaliza kesho kutwa mfano transformer ni movie ya paramount ila shooting imefanywa na di bonaventure picture

Pirates of the carribean ni movie ya walt disney ila imetengenezwa na Jerry Bruckheimer Films



Watanzania tunataka tufike level za juu za production ila watu wakianza kufanya kazi na makampuni ya nje mazuri its a Good start watu mnaponda na sielewi kwa nn mnaponda wakati tangazo ni zuri kuanzia quality mpaka concept

Pili watanzania tuna UMIMI LISM sana kila kitu tunataka kufanya sisi hata kama mwenzangu anaweza fanya kama mm tena kwa ubora ninaoutaka ila sisi watanzania tunasema yanini tunaponda ponda kwa mtaji huu hatutaendelea na tutamuona mwenzetu anazidi kupaa kila siku Bss inakua badala na sisi tufanye kazi tunasema kuwa eti amejiabisha....

Mfano mwingine ni kuwa mbona Apple zote design inafanywa CA ila kutengenezwa zinatengezwa China??
Kwani marekani hawana makampuni ya kutengeneza handset??

Ngoja niendelee kunywa kahawa yangu inapoa...

Ningeku LIKE, bahati mbaya nimetumia simu.
Unajua wabongo tumezoea kuponda wakati sisi wenyewe tunaoponda hatuna tunachokifanya. Umetoa somo zuri. Watanzania tubadilike tuwe na appreciation na tujifunze kwa wengine pia km kina RITA.
 
Kwani Tatizo Lipo Wapi ??? Mfano AUDI AG ndio wanatengeza Lamboghini ..President wake anatumia AUDI,BMW,Fiat na Lamboghini ..

Don't hate this is Business they have to impress Sponsors

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hata babako alishindwa kum...mama yako aka import babako mwingine?

acha ujinga arifu
 
Watu wangeichukulia hii kama changamoto kwa makampuni yetu ya ndani,mjadala ungekuwa wa kujenga sana...ivi ata Adam Juma wa Visual Lab alishindwa kutengeneza tangazo kama lile mpaka pesa ipelekwe India?????
 
Watu wangeichukulia hii kama changamoto kwa makampuni yetu ya ndani,mjadala ungekuwa wa kujenga sana...ivi ata Adam Juma wa Visual Lab alishindwa kutengeneza tangazo kama lile mpaka pesa ipelekwe India?????

Kaka sema na wewe, maana wabongo ni wabishi,,, yaan storyline ipo straight lakin wabongo wameshindwa kufanya..

Hii nchi kuendelea ni baadae sana kama kila kitu hadi tufate nje ya nchi
 
unemployment in tanzania is a big deal in such a way?
Compleigning about which why when how whom whose where in cheap issues alike its discusting!
 
Heshima kwenu wadau..

Rita Paulsen anamiliki Benchmark productions ambayo ni kampuni ya kutengeneza music videos, matangazo na engineyo..

Kuonyesha kwamba productions zake ni magumashi na hata yeye hajiamini na kampuni yake Tangazo la bongo star search Kitoto chaanza tambaa ameshindwa kulifanya mwenyewe na kampuni yake au hata kampuni zingine za bongo na kuwasafirisha msanii, master jay, salama na crew nzima mpaka Mumbai india kwa ajili ya kufanyiwa tangazo na proffessional companies as bongo hakuna kampuni itayoweza kufanya tangazo quality

for more details cheki making of the advert in Mumbai, India uone waindi walivyojiachia kwenye tangazo la BSS,,

BEHIND THE SCENES OF THE EPIQ BONGO STAR SEACH COMMERICIAL (ENGLISH) - YouTube

EPIQ wenyewe ndio wanamtayarishaji wao wa matangazo INDIA, kwa hiyo wanataka kumaintain standard ya matangazo yao,sio Ritha na kampuni yake wanatia aibu,wenzako wanapata umateumate wewe unchonga pole sana ndugu,inabidi uende kozi ya masoko na viwango.
 
Hiyo ni business kwa hiyo ana chagua wakufanya nae, mbona haujashangaa wasanii wetu kufanya videos na makampuni ya south Africa!
 
Si nasikia Bongo Movie huwa wanatumia Nokia kushuti movie zao, kwahiyo ndio mlitaka na Ritta afanye hivyo? anyway ningekuwa karibu na mimi ningempa mchongo hilo tangazo wangelifanyia South Africa kwa gharama nzuri tu.
 
Hiyo ni business kwa hiyo ana chagua wakufanya nae, mbona haujashangaa wasanii wetu kufanya videos na makampuni ya south Africa!

Nani kafanya video na makampun ya south?Nachoelewa mimi Ay,Cpwa na Dimpoz wote walisafiri na Adam wa Visual Lab
 
Itabidi tumuulize Antu mandoza anaekata maunokwenye hiyo advert kama alikwea pipa kwenda Mumbai na kama alikwenda sijui kama SJ alimwacha
 
Jamani watu wengi hamjamuelewa mtoa mada.... Anachosema ni kwamba Rita na kampuni yake anatengenez matangazo.sasa kwa nn tangazo la kipnd chake anatolea nje? Kwanza n vry costful na n la kawaida tu na pli ingekuwa n opportunity kwa madam kutangaza kaz zake kwan ebss inaangaliwa sana bongo so kutengeneza tangazo kungempa soko... Kupeleka watu kwenda india kutengeneza tangazo kama lile n wastage of resource so madam ajifunze kwa hilo
 
me nashindwa kuelewa productions za indiaktk filamu ziko respected worldwide n money z there spend t
😛hoto:😛hoto:
 
Labda ndo mwendelezo wa ukanjanja, hata kazi zilizopita anazitoa kwa jina la kampuni yake lkn actually zinafanywa nje na wengine!
 
Back
Top Bottom