Madam Ritha afichua bajeti ya kuandaa Bongo Star Search. Ni Milioni 700 mnaweza kuamini?

Madam Ritha afichua bajeti ya kuandaa Bongo Star Search. Ni Milioni 700 mnaweza kuamini?

Mkuu sijakataa kuwa kuna watu wanamsapoti na wananufaika nyuma yake. Lakini something about the figure she mentioned, doesnot sit right with me.

Kwanza umaarufu wa BSS miaka ya hivi karibuni umepungua, zawadi ya mshindi ni ndogo mno ukilinganisha na zamani, hata production ya hiyo show ni ya kawaida sana, kuanzia stage na kila kitu.

Is it expensive, Yes lakini kuna kusema kuwa maandalizi yanagharimu Milioni 700 no
Unajua shida iko hapa, practically anayefanya ni yeye, anaweza sema chochote tukawa hatuna pakulinganisha maana so far anayefanya kitu hicho ni yeye, walikuja bongo muvie na wao wakajaribu kusaka vipaji sijui walitokomea wapi, mimi sisemi milion 700 ni ndogo au ni nyingi, kwani mshindi wa mashindano hayo anakunja mia ngapi?
 
Habari zenu wanajamvi.

Lunch mmepata?

Leo nilikuwa nipo Youtube natazama kipindi cha Salama Na Madam Ritha.

Kuna sehemu moja ya mahojiano hayo, Madam Ritha kipindi anajibu swali la mtangazaji machachari, Salama Jabir alidokeza kuhusu gharama anazotumia kuandaa hicho TV kwa msimu mmoja.

Ritha alidokeza kuwa inamgharimu sio chini ya Milioni 700 ili kukamilisha msimu mmoja na mwanzoni alidokeza kuwa kiasi hicho hakitoshi.

Binafsi nimeona kama hicho kiasi ni kikubwa sana. Mimi ndio shamba au mnaonaje wanajukwaa?

Soma pia: Bongo Star Search mnakosa mvuto

Video:

Nawasilisha.
Zamani sana mambo ya TV ila kama kipindi unaandaa mwenyewe huwa una say kubwa kwenye matangazo, kama Tangazo linalipia 1M kwa dk basi unaweza pata hata laki 7 na tv ikapata laki 3.

So piga mahesabu kuna matangazo mangapi kwenye kila show moja ya siku, zidisha kwa laki 7 halafu zidisha kwa wiki zote Kuanzia Audition hadi fainali utapata rough estimation wanapata kiasi gani.

Hapo bado wadhamini wengine wadogo wadogo.
 
Hakuna hata msanii mmoja aliyeshinda bongo star search akaliteka soko la Tanzania hilo pambana lina faida gani zaidi ya kuwadhalilisha washiriki tu.
 
Habari zenu wanajamvi.

Lunch mmepata?

Leo nilikuwa nipo Youtube natazama kipindi cha Salama Na Madam Ritha.

Kuna sehemu moja ya mahojiano hayo, Madam Ritha kipindi anajibu swali la mtangazaji machachari, Salama Jabir alidokeza kuhusu gharama anazotumia kuandaa hicho TV kwa msimu mmoja.

Ritha alidokeza kuwa inamgharimu sio chini ya Milioni 700 ili kukamilisha msimu mmoja na mwanzoni alidokeza kuwa kiasi hicho hakitoshi.

Binafsi nimeona kama hicho kiasi ni kikubwa sana. Mimi ndio shamba au mnaonaje wanajukwaa?

Soma Pia: Bongo Star Search mnakosa mvuto

Nawasilisha.

Milioni mia 650 kwa ajili yao na milioni 50 ndio inafanya kampeni zima ya hicho kipindi ..
 
Hakuna hata msanii mmoja aliyeshinda bongo star search akaliteka soko la Tanzania hilo pambana lina faida gani zaidi ya kuwadhalilisha washiriki tu.
Kala Jeremiah
Bella kombo
Peter msechu
Kayumba
Sarafina

Sometimes it doesn't cost anything to give compliment
 
Kala Jeremiah
Bella kombo
Peter msechu
Kayumba
Sarafina

Sometimes it doesn't cost anything to give compliment
Soma comment yangu vizuri mfumo wanaotumia ni outdated kwanza wanadhalilisha washiriki hasa yule Salama mtu anakuwa mshindi kwa kuimba nyimbo za watu wengine.
 
Back
Top Bottom