evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,772
Habarini wana JF ni matumaini yangu mpo wazima kabisa katika kipindi hiki cha karantini tuendelee kuchukua tahadhari.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kwenu madam Ritta na timu nzima ya BSS kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mliofanya na mnayoendelea kufanya ya kuinua vipaji vya watanzania hususan katika muziki.
Hivi majuzi mmepata changamoto kubwa kutoka kwa wasanii na Mashabiki wenu kila mtu akiongea lake wengine wakitoa matusi, kashfa na madukuduku mbalimbali .
Nawasihi kazeni moyo, vumilieni msiyumbishwe sana na maneno ya watu maana wengi wao ni wanafiki wamesahau mema yote mliyowatendea kwa baya moja ambalo hawana uhakika nalo na hii ndio tabia ya wengi wetu.
Nawatakia kila la heri katika kazi yenu njema.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kwenu madam Ritta na timu nzima ya BSS kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mliofanya na mnayoendelea kufanya ya kuinua vipaji vya watanzania hususan katika muziki.
Hivi majuzi mmepata changamoto kubwa kutoka kwa wasanii na Mashabiki wenu kila mtu akiongea lake wengine wakitoa matusi, kashfa na madukuduku mbalimbali .
Nawasihi kazeni moyo, vumilieni msiyumbishwe sana na maneno ya watu maana wengi wao ni wanafiki wamesahau mema yote mliyowatendea kwa baya moja ambalo hawana uhakika nalo na hii ndio tabia ya wengi wetu.
Nawatakia kila la heri katika kazi yenu njema.