Madam Ritta na team yote ya BSS pigeni moyo konde yote yatapita

Madam Ritta na team yote ya BSS pigeni moyo konde yote yatapita

Madam ritta akitaka huu mkosi usimuandame mwambie ala make peace na yule aliyemuibia idea yake. Yaan aka make peace na the owner of the idea.

Wazo la BSS lilikuwa ji la kijana mmoja aitwaye Kamese. Huyu alikuwa ni minister of finance wa Daruso 2004/5.

Kwasabab ya uzoefu wake wa kuandika proposal kuomba hela ya kusapoti matamasha na bonanza nyingi za chuo enzi.hizo. Kamese akiwa meiz ya mwisho agraduate Bcom yake aliandika andik juu ya kuanzisha hii project ya BSs.
Ikiwa na the same heading and everything akaipeleka kwa mzee Mengi (rip). By then madam alikuwa.ndio mtu wa karibu sana na mzee ambaye alikuwa anasoma barua na kumpelekea alilipenda wazo La kamese. Hapo hapo akalifanya editing liwe.lake na kuliwakilisha kama lake.

Kamese akiwa.anafuatilia majibu yake kwa majibu ya njoo.kesho njoo kesho kesho haikufika na akashtukia 2006 kama.2005 mwishon kazi ikaanza.

Swala hili kamese aalilipeleka hadi mahakaman na judge augustino (rip) alimwita.na kumshauri.sana.kamese.

Ugomvi.ulikuwa mkubwa sana Mengi akamuita kamese ofcn wayamalize kamese akaogopa kwenda enzi.hizo ofc yakeipo pale haidary plaza.

So madam alichukua wazo la Kamese akalifanya lake na from there hakuwah kumpa kamese hata asante. Na kamese kwasabb alikuwa ni kijana mdogo aliamua kuacha kwasabb alihoffia kujiongezea maadui.

Madam amtafute Kamese akatubu. Vya kudhukumu havidumu
 
Madam ritta akitaka huu mkosi usimuandame mwambie ala make peace na yule aliyemuibia idea yake. Yaan aka make peace na the owner of the idea.

Wazo la BSS lilikuwa ji la kijana mmoja aitwaye Kamese. Huyu alikuwa ni minister of finance wa Daruso 2004/5.

Kwasabab ya uzoefu wake wa kuandika proposal kuomba hela ya kusapoti matamasha na bonanza nyingi za chuo enzi.hizo. Kamese akiwa meiz ya mwisho agraduate Bcom yake aliandika andik juu ya kuanzisha hii project ya BSs.
Ikiwa na the same heading and everything akaipeleka kwa mzee Mengi (rip). By then madam alikuwa.ndio mtu wa karibu sana na mzee ambaye alikuwa anasoma barua na kumpelekea alilipenda wazo La kamese. Hapo hapo akalifanya editing liwe.lake na kuliwakilisha kama lake.

Kamese akiwa.anafuatilia majibu yake kwa majibu ya njoo.kesho njoo kesho kesho haikufika na akashtukia 2006 kama.2005 mwishon kazi ikaanza.

Swala hili kamese aalilipeleka hadi mahakaman na judge augustino (rip) alimwita.na kumshauri.sana.kamese.

Ugomvi.ulikuwa mkubwa sana Mengi akamuita kamese ofcn wayamalize kamese akaogopa kwenda enzi.hizo ofc yakeipo pale haidary plaza.

So madam alichukua wazo la Kamese akalifanya lake na from there hakuwah kumpa kamese hata asante. Na kamese kwasabb alikuwa ni kijana mdogo aliamua kuacha kwasabb alihoffia kujiongezea maadui.

Madam amtafute Kamese akatubu. Vya kudhukumu havidumu
Duuuh kwahiyo madam utapeli hajaanza kwa washinda wa bss,ila ndio bss imefika ukingoni kufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wana JF ni matumaini yangu mpo wazima kabisa katika kipindi hiki cha karantini tuendelee kuchukua tahadhari.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kwenu madam Ritta na timu nzima ya BSS kwanza niwapongeze kwa kazi kubwa mliofanya na mnayoendelea kufanya ya kuinua vipaji vya watanzania hususan katika muziki.

Hivi majuzi mmepata changamoto kubwa kutoka kwa wasanii na Mashabiki wenu kila mtu akiongea lake wengine wakitoa matusi, kashfa na madukuduku mbalimbali .

Nawasihi kazeni moyo, vumilieni msiyumbishwe sana na maneno ya watu maana wengi wao ni wanafiki wamesahau mema yote mliyowatendea kwa baya moja ambalo hawana uhakika nalo na hii ndio tabia ya wengi wetu.

Nawatakia kila la heri katika kazi yenu njema.
Madam lita poseni lipa hela za watu.. acha kujikombakomba jf
 
Naona jana yeye na yule dogo wameenda BASATA,akadai alishindwa kumuingizia hela sababu dogo hakuwa na account.

Kwa mujibu wa bwana Mungereza anadai dogo kishafunguliwa account na kishaingiziwa milion 5 nyingine wata mwingizia baadae,sasa hatujui hizo 45 mil ataingiziwa lini.


Hao akiongea kwa uchungu sababu watu kumwita tapeli.
 
Naona jana yeye na yule dogo wameenda BASATA,akadai alishindwa kumuingizia hela sababu dogo hakuwa na account.

Kwa mujibu wa bwana Mungereza anadai dogo kishafunguliwa account na kishaingiziwa milion 5 nyingine wata mwingizia baadae,sasa hatujui hizo 45 mil ataingiziwa lini.
Kumbe ndo mchakato hapo ndipo ulipofikia dah ila huyu bibi lita poseni ni tapeli... tutapiga kelele mpaka hizo 45 zilizobaki zilipwe!
 
Back
Top Bottom