Madam Ritta nakupenda una moyo mzuri

Madam Ritta nakupenda una moyo mzuri

Habarini!

Nampenda huyu Mama ana moyo mwema sana ni mkarimu, anamoyo wa kujali vile vile ni mchangamfu hata kwa mtu asiye mfahamu.

Katika sanaa ya Tanzania kainua vipaji vingi sana sote tunajua hilo ni mchapakazi mzuri, mpenda amani asiye na makuu na yeyote.

Wabaya wachache wanajaribu kumchafua lakini wapi, wameishia kujipakaza mavi yao wenyewe .Sifa zake na uaminifu wake unambeba ,unatengeneza njia hata kwenye visiki

Isingekuwa kwa Msaada wako Madam Ritta Kala Jeremiah na msechu tungewajulia wapi?

Kayumba, Jumanne Iddi Menina na Walter wangejikwamuaje? Hamisi na Meshack wangetoboaje?

Wakati wengine wanafanya matusi ,wewe endelea kufanya kazi mwisho wa siku sifa zako njema zinaenezwa kila pembe ya nchi.

Kila la heri Madam wetu mpendwa Ritta Paulsen.
Hivi mmelipwa mje mumsafishe eeh!!?

Alipe hela za watu.
 
Huyu mama dunia ya sasa si kama zamani ,akizima hela za watu hamna media na watangazaji wakipewa kidogo basi haki inapotea ,sasa hivi ukidhulumu hata YouTube unawekwa na hata waziri anakutafuta ,na pia sasa hivi kumekuwa na platforms nyingi za kufikia wakubwa ,mwaka hii mpaka kampa dogo mil 5 kwanza ina maana hana hela alikuwa anamkwepa akidhani ni kama zamani .unaendaa shindano kubwa na dogo wa watu umemkalisha miezi yote unakuja tena kumpa mil 5 nyingine mnaandikishana kumaliza.

Huyu mama sidhani kama atarudi mwaka huu na hiyo BSS
 
Habarini!

Nampenda huyu Mama ana moyo mwema sana ni mkarimu, anamoyo wa kujali vile vile ni mchangamfu hata kwa mtu asiye mfahamu.

Katika sanaa ya Tanzania kainua vipaji vingi sana sote tunajua hilo ni mchapakazi mzuri, mpenda amani asiye na makuu na yeyote.

Wabaya wachache wanajaribu kumchafua lakini wapi, wameishia kujipakaza mavi yao wenyewe .Sifa zake na uaminifu wake unambeba ,unatengeneza njia hata kwenye visiki

Isingekuwa kwa Msaada wako Madam Ritta Kala Jeremiah na msechu tungewajulia wapi?

Kayumba, Jumanne Iddi Menina na Walter wangejikwamuaje? Hamisi na Meshack wangetoboaje?

Wakati wengine wanafanya matusi ,wewe endelea kufanya kazi mwisho wa siku sifa zako njema zinaenezwa kila pembe ya nchi.

Kila la heri Madam wetu mpendwa Ritta Paulsen.
Kiukweli hata mimi ananivutia sijui kishaolewa. Anayejua namba yake ya simu anitumie
 
BSS ni hovyo, Hamna kitu sijui hata wanaimbaimba nini pale

Huyu Madam Rita nae ni tapeli, anafaidi pesa za matangazo lakini hawalipi vijana pesa zao.

Kumbafu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
amekulipa shilingi ngapi kuja kumpigia promo humu? mwambie awalipe stahiki zao washindi wa bongo star search kwanza kabla ya 'kujiosha osha' kwenye public
 
Habarini!

Nampenda huyu Mama ana moyo mwema sana ni mkarimu, anamoyo wa kujali vile vile ni mchangamfu hata kwa mtu asiye mfahamu.

Katika sanaa ya Tanzania kainua vipaji vingi sana sote tunajua hilo ni mchapakazi mzuri, mpenda amani asiye na makuu na yeyote.

Wabaya wachache wanajaribu kumchafua lakini wapi, wameishia kujipakaza mavi yao wenyewe .Sifa zake na uaminifu wake unambeba ,unatengeneza njia hata kwenye visiki

Isingekuwa kwa Msaada wako Madam Ritta Kala Jeremiah na msechu tungewajulia wapi?

Kayumba, Jumanne Iddi Menina na Walter wangejikwamuaje? Hamisi na Meshack wangetoboaje?

Wakati wengine wanafanya matusi ,wewe endelea kufanya kazi mwisho wa siku sifa zako njema zinaenezwa kila pembe ya nchi.

Kila la heri Madam wetu mpendwa Ritta Paulsen.
Nilichogundua kuwa watu wengi hapa hawajakuelewa,umesema ana moyo mzuri,ila hujasema ana roho nzuri....
 
Madam ni msafi
Hana haja ya kuoshw
Madam acha porojo ya kuwa unajibu kila post hapa haisadiii kitu, kalipe hela ya watu, dawa ya deni ni kulipa. Huwezi kuja kulia lia hapa kutafuta huruma ya watu, kalipe aisee.
 
Back
Top Bottom