Mengi kampiga chini kakosa hadi udhamini!!!
NJE YA MADA:hivi haya mashindano kwanini huwa lazima kuwe na jaji mwenye makuzi kama Salma kwa bongo,Kate Henshaw(Nigeria got talents),Simon (British got talent),yniaani hawa wanafana kila kitu kuponda na kukatisha tamaa,sielewi kwanini majaji wengi wa mashindano ya aina hii lazima kuna mmoja ni mnoko,Simon ni mnoko sana,Kate Henshaw anavyojibu yaani afadhali hata Salma Jabir,Salmar mwenyewe mapozi na majibu ya haja,kwanini hawa majaji baadhi lazima wawe umiza kichwa!