Madam Wema Sepetu, tusamehe Watanzania

Duh.... wonders shall never end in this country .....tuna safari ndefu sana kuwafikia wenzetu
 
Aliyemfundisha lugha diamond ni WEMA au PENNY?? mbona mwanafunzi mwenyewe anasema ajafundishwa na WEMA!!!
Mimi ninachojua pamoja na lugha, Madam Wema Kamfundisha Diamond kuogelea. Huyu Madame Mungu azidi kumbariki hadi ashangae.
 
Houseboy wa Wema Sepetu nae Una mume? Kweli watanzania lazima waombe samahani
Hii nchi kuwa houseboy wa Madame Wema Abraham Sepetu ni zaidi ya kuwa na Degree ya Kwanza ya chuo cha umma, ni zaidi ya kada nyingi sana Serikalini. In fakt ikitokea madam akataka niwe hausiboi wake nitabarikiwa sana.
 
Duh.... wonders shall never end in this country .....tuna safari ndefu sana kuwafikia wenzetu
Diamond ni msanii wa Afrika, Ali Kiba ni Balozi wa Kimataifa wa kupinga ujangili. Rose Muhando, Belle 9, Navy Kenzo na wengine wana mikataba na makampuni ya kimataifa ya muziki. Hot Lulu na Richie wamekwala tuzo juzi, Bongo Movie inaenda kimataifa na wewe upo hapa unahubiri safari ndefu.

Endelea hommie, ila usisahau mchango wa Madam kwenye tasnia ya Burudani na Ulimbwende, utawasimulia wanao....
 

mhhhh mkuu sijajua unamsifu au unamponda
 
unamtetea, basi watu wasio maarufu waliopita hapo ni zaidi ya hao maarufu unaowajua, take it or leave it!
Juzi kamkana mkongo kuwa hamjui na wala hafikirii kuwa na mkongo. Ajabu mkongo kaamua kumwaga mboga. Huyu mama ubaya ni tatizo anahitaji canceling chibu amemuathiri Sana kisaikolojia hatulii na mwanaume mmoja.
 
Mimi ninachojua pamoja na lugha, Madam Wema Kamfundisha Diamond kuogelea. Huyu Madame Mungu azidi kumbariki hadi ashangae.
Sijawahi kumuona huyo madame akiwa amevaa hizo nguo za kuogelea. Au anaogeleaga na dera hata picha akiwa swimming pool sijawahi iona.
 
Kuna mtu aliniambia inayoitwa team Wema wapo wanaume lakini wengi ni makaka poa
 
hahahahahahah


sasa na wewe nawe uko too low

Huyu ni kiongozi wa makahaba

mfano mbovu kabisa katika jamii yetu ...asiyefaa kuigwa kabisa
 
hahahahahahah


sasa na wewe nawe uko too low

Huyu ni kiongozi wa makahaba

mfano mbovu kabisa katika jamii yetu ...asiyefaa kuigwa kabisa
Kwa mujibu wako. Mimi nawajua viongozi wa makahaba ambao ni wakuu wa mashirika ya Umma na wanasiasa wakubwa, bila kusahau mashoga. Madam Wema Sepetu ni mwanamke jasiri, malkia wa nguvu... Kila sekta ana mafanikio, hadi siasa ambayo amethubutu kugombea Ubunge wakati akina nyie mkibwabwaja majukwaani nyuma ya keyboard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…