Madam Wema Sepetu, tusamehe Watanzania

Madam Wema Sepetu, tusamehe Watanzania

Kwa mujibu wako. Mimi nawajua viongozi wa makahaba ambao ni wakuu wa mashirika ya Umma na wanasiasa wakubwa, bila kusahau mashoga. Madam Wema Sepetu ni mwanamke jasiri, malkia wa nguvu... Kila sekta ana mafanikio, hadi siasa ambayo amethubutu kugombea Ubunge wakati akina nyie mkibwabwaja majukwaani nyuma ya keyboard.

duh...mkuu mafanikio ya huyo dada ni kuuza mbunye au?

Manake anamake headline kwa kugawa uloda kwa vijana na wanaume wa rika na ghiliba mbalimbali

Pia ni maarufu katika suala la utoaji wa mimba ambalo yeye mwenyewe yuko Proud nalo

Mkuu kuwa na makhaba ambao ni wakuu wa mashirika ya Umma na wanasiasa wakubwa hakumfanyi bosi wako pia kutokuwa kahba......
 
Mkuu vipi uko sawa sawa au ushavurugwa huko...........?
 
Thread nzuri sana hii.

Natumia nafasi hii kumuomba msamaha madam pia. Nimekua nikichekelea pindi watanzania Wenzangu wanapomchafua bila kujali Umuhimu wake. Watu wametajirika kwa kuuza magazeti ya kumchafua wala hajawa na kinyongo na Mtu.

Wema Sepetu sio malaya tena hana tabia chafu. Hajui kubadilisha mabwana hadi labda mabwana wamuumize na kumuacha bila sababu. Kwenye mapenzi Wema hajui kuchanganya mabwana, akipenda amependa na yupo wazi si sawa na Wasanii wengine ambao hujui mumewe ni nani kwani wanao wengi.

Madam Wema Sepetu anafaa kuwa Mke na Mama wa Familia kwani kapitia mikimikiki mingi ya maisha na ana uvumilivu wa hali ya juu. Kama kuumizwa kaumizwa sana.

Wema Sepetu tusamehe Sisi Watanzania, tumekukosea sana. Sijawahi sikia Wema kagonganisha mabwana, kafumaniwa wala kachukua mume wa Mtu.

Tusamehe Madam Wema, tupo chini ya Miguu yako




Una nyege ya kizee au unatumia sarcasm kumchafua Wema? Yaani unataka kuniambia kwa akili yako kweli Wema anafaa kuwa mke wa mtu, kwa vigezi vipi anavyokidhi yeye? Wacha kutuchefua hapa sie wanaume wastaarabu.
 
Una nyege ya kizee au unatumia sarcasm kumchafua Wema? Yaani unataka kuniambia kwa akili yako kweli Wema anafaa kuwa mke wa mtu, kwa vigezi vipi anavyokidhi yeye? Wacha kutuchefua hapa sie wanaume wastaarabu.
Aisee ningekuwa mwanaume ningemweka ndani huyu bibie. Anafaa kuwa mke ndio, tena mwema, fighter na anayejua kucheza na akili za watu...
Mengine ni maneno ya magazeti ambayo hata kama yangekuandama wewe ungeonekana kituko.
 
Mnaomba msamaha mmefanyaje kwani? Mi nitoeni kwenye list ya watanzania waombao msamaha huo. Nilisahau Kumbe maddame ni Role model wa" boys" na " girls" . Am too old for this.
 
duh...mkuu mafanikio ya huyo dada ni kuuza mbunye au?

Manake anamake headline kwa kugawa uloda kwa vijana na wanaume wa rika na ghiliba mbalimbali

Pia ni maarufu katika suala la utoaji wa mimba ambalo yeye mwenyewe yuko Proud nalo

Mkuu kuwa na makhaba ambao ni wakuu wa mashirika ya Umma na wanasiasa wakubwa hakumfanyi bosi wako pia kutokuwa kahba......
Hakuna mahali nilikotaja ukahaba mimi, kwa kuwa najua ni brand tu hiyo... Watu tushazushiwa mengi mitaana hadi level za familia. Kama una la kupinga pinga hoja za post ya kwanza; mfano niambie kuwa Wema hajawahi kushinda Taji la Miss Tanzania, hamiliki moja ya kampuni chache za filamu na management ya wasanii, hana line yake ya lip stick,...
Mengine ni chuki tu! Umalaya hadi wazazi wenu wamefanya...
 
Mnaomba msamaha mmefanyaje kwani? Mi nitoeni kwenye list ya watanzania waombao msamaha huo. Nilisahau Kumbe maddame ni Role model wa" boys" na " girls" . Am too old for this.
Madame ni Mtanzania, so do hao boys and girlz ambao ndo watatuhudumia tukishazeeka...
Hujafa hujaumbika, acha kudharau watoto wa watu!
 
Hakuna mahali nilikotaja ukahaba mimi, kwa kuwa najua ni brand tu hiyo... Watu tushazushiwa mengi mitaana hadi level za familia. Kama una la kupinga pinga hoja za post ya kwanza; mfano niambie kuwa Wema hajawahi kushinda Taji la Miss Tanzania, hamiliki moja ya kampuni chache za filamu na management ya wasanii, hana line yake ya lip stick,...
Mengine ni chuki tu! Umalaya hadi wazazi wenu wamefanya...
dah..haya mzee endelea kukazana kusifia kubwa la makahaba
 
Aisee ningekuwa mwanaume ningemweka ndani huyu bibie. Anafaa kuwa mke ndio, tena mwema, fighter na anayejua kucheza na akili za watu...
Mengine ni maneno ya magazeti ambayo hata kama yangekuandama wewe ungeonekana kituko.


Kumbe hata Domo ni mwandishi wa habari anaposema Wema si mtafutaji na hajishughulishi na lolote kazi scandals na kupiga domo?
 
Salamu Wema Sepetu Mtakatifu mama Ubaya.
Umejaa Neema
Ubaya yu nawe
Umebarikiwa kuliko wauza sura wote
Na hakuna uzao wa tumbo lako, jinsi ulivyobarikiwa
Utuombee sisi wasaga lami
Sasa na saa ya kulosti kwetu
Mia
Mweeh! hii kali sasa
 
Salamu Wema Sepetu Mtakatifu mama Ubaya.
Umejaa Neema
Ubaya yu nawe
Umebarikiwa kuliko wauza sura wote
Na hakuna uzao wa tumbo lako, jinsi ulivyobarikiwa
Utuombee sisi wasaga lami
Sasa na saa ya kulosti kwetu
Mia
hahahahaaaa,duuuh...nimecheka sana hasa hapo mwisho ulipomalizia iyo sala!
mia=amen?we kweli kiranga
 
Back
Top Bottom