KERO Madanguro Dar, Serikali za mitaa mnalipwa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Njoo na nyege zako🤣🤣🤣🤣💺💺💺
 
mkiambiwa wasichana wakivunja ungo miaka 14 waolewe mnawalalamikia waislamu , basi waacheni waliwe umri miaka 14 kwenye madanguro
Hil nalo likatazamwe🤣🤣🤣🤣💺
 
Ihalalishwe...wapewe elimu.....waboreshewe mazingira......walipe kodi......si vyema kupingana na ukweli.....hakuna mamlaka yenye uwezo wa kuzuia.
 
Chalamila acha unafiki...kumbuka na wewe ulipita humo.....Anza kukamata wabunge Dodoma.
 
Madanguro yawe na bafu ndani
 
Kulikuw na black American alikuwa na YouTube channel yake.. jamaa alikuwa anaenda madanguru za huku dar na maclub akiwaokota hao madada poa anarecodi hadi wale wanapoingia kwenye room
 
Kulikuw na black American alikuwa na YouTube channel yake.. jamaa alikuwa anaenda madanguru za huku dar na maclub akiwaokota hao madada poa anarecodi hadi wale wanapoingia kwenye room
inaitwaje hiyo channel?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…