Smartbrain
Senior Member
- Mar 23, 2013
- 184
- 34
tunataka mjadala wa mustakabali wa elimu yetu,sio kila kukicha mabadiliko yasiyokua na tija
Fanyen hvyo hta kwenye divisions angalau III ianzie point 28..lasivyo elimu ya Tanzania itaelekea shmon...
National Examination council of Tanzania(NECTA).Serikali kwa kupitia Wizara ya Elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya alama za mitihani ya Kidato cha Nne.Hapo awali madaraja yalikuwa ni kama ifuatavyo:A=81%-100%B=61%-80%C=41%-60%D=21%-40%F=0-20%Mabadiliko mapya ni kama ifuatavyo:A=80%-100%B=65%-79%C=50%-64%D=35%-49%F=0-20%Taarifa hii imetolewa mapema ili wanafunzi wa Kidato cha Nne waanze kujiandaa vyema na Mitihani yao.Taarifa hii imetolewa katika ukurasa wa FACEBOOK wa NECTA! Na imeagizwa kutembelea Website yao ambayo ni ( http:/www.necta.go.tz).
kati ya f na d kuna kuanzia 21% mpaka 34% ni barajas gani? August hizo points zinapelekwa wapi?
Mwanafunzi nanayepata alama kati ya 21 na 34 anakuwa katika daraja gani?[/QUOTE
hapo inaonesha ni D.