bahatibahati
Member
- Jul 4, 2023
- 44
- 84
Hivi karibuni yametolewa matamko mengi kwa watumishi kwamba KATIKA MWAKA huu wa fedha 2023/2024 unaoishia June hii 2024 watumishi wote watawekwa kundi Rika Ili wasitofautiane Madaraja kwa kuzingatia seniority.
Ndiyo maana maafisa utumishi kutoka HALMASHAURI zote nchini walielekezwa na mh. Waziri wa Tamisemi kupitia taarifa za watumishi wote na walikaa kwa muda wa wiki mbili DODOMA. Wakipitia taarifa za mtumishi Mmoja hadi mwengine kama walielekezwa na mamlaka.
Hali imekuwa tofauti kwani miongozo inayopelekwa kwa watumishi haitoe tafsiri ya msawazo au mserereko.
Hii inaumiza sana mfano Anita ya 2014 awe sawa na aliyeajiriwa 2005?
Waziri waambieni watumishi ukweli kama bajeti imekwama wafahamu Hilo na nilitolewe taarifa.
Ndiyo maana maafisa utumishi kutoka HALMASHAURI zote nchini walielekezwa na mh. Waziri wa Tamisemi kupitia taarifa za watumishi wote na walikaa kwa muda wa wiki mbili DODOMA. Wakipitia taarifa za mtumishi Mmoja hadi mwengine kama walielekezwa na mamlaka.
Hali imekuwa tofauti kwani miongozo inayopelekwa kwa watumishi haitoe tafsiri ya msawazo au mserereko.
Hii inaumiza sana mfano Anita ya 2014 awe sawa na aliyeajiriwa 2005?
Waziri waambieni watumishi ukweli kama bajeti imekwama wafahamu Hilo na nilitolewe taarifa.