Madaraja ya mserereko na msawazo wa madaraja umekwama wapi? Tusilete siasa ili kujizolea umaarufu bungeni na vyombo vya habari

Madaraja ya mserereko na msawazo wa madaraja umekwama wapi? Tusilete siasa ili kujizolea umaarufu bungeni na vyombo vya habari

Mcheki HRO wako haraka akupe jibu
Baadhi ya watumishi hawajapanda Madaraja kwa zaidi ya miaka 12 , kwa Hali hiyo utendaji kazi uliotukuka utakuwepo?
Serikali inatakiwa kundi Rika lote wapande Madaraja , unakuta watumishi wameanza kazi pamoja na elimu yao inafanana lakikini wanatofauti kubwa ya Madaraja yao. Ifike mahali Hili suala lifanyiwe kazi kwa vitendo na isiwe propaganda tu.
 
Tujibu wewe maana wewe ni kiongoz mwandamizi
na taarifa nilizonazo utumishi wametuma majina ya watu wachache sana kwenye halmashauri ,wametuma majina 5000 kati ya watu elfu 54 wanaotakiwa kupandishwa vyeo Kwa njia ya mserereko
 
Hii itapunguza moral ya kufanya Kaz pia italeta ubaguz mahali pa Kaz wengine wanapata mserereko halafu wengine wanakosa
 
Mtu amekosa haki yake anaanzaje kuvumilia na waziri alisema asiachwe hata mmoja lakin watu wengi waliohakikiwa wameachwa
Kuna watumishi wamepandishwa daraja Mwezi June 2024, ndiyo hayo yanaitwa "Mserereko au wamepandishwa Kwa utaratibu wa kawaida"?
 
Kuna watumishi wamepandishwa daraja Mwezi June 2024, ndiyo hayo yanaitwa "Mserereko au wamepandishwa Kwa utaratibu wa kawaida"?
hao wamepandishwa Kwa utaratibu wa kawaida ,ninaowasemea ni wale ambao unakuta tangu aajiriwe amekaa miaka 6,7 ,8 au 9 bila kupandishwa cheo wakat serikali tayar Kuna ambao mwez June na hii July wamepandishwa vyeo nao walioathiriwa na zoez la uhakiki lakin serikali imewasahau kabisa wa mserereko Sasa sijui tatzo ni nin,
 
Back
Top Bottom