BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Mcheki HRO wako haraka akupe jibu
Baadhi ya watumishi hawajapanda Madaraja kwa zaidi ya miaka 12 , kwa Hali hiyo utendaji kazi uliotukuka utakuwepo?
Serikali inatakiwa kundi Rika lote wapande Madaraja , unakuta watumishi wameanza kazi pamoja na elimu yao inafanana lakikini wanatofauti kubwa ya Madaraja yao. Ifike mahali Hili suala lifanyiwe kazi kwa vitendo na isiwe propaganda tu.