Madaraka ni laana kubwa Afrika kuliko tunavyochukulia!

Madaraka ni laana kubwa Afrika kuliko tunavyochukulia!

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,935
Mifano iko mingi sana!

Marehemu Sankara wa Burkina Faso alipinduliwa na kuuwawa na aliekiwa Rafikie wa karibu na msiri wake Bless Compaore. Marehemu Patrce Emely Lumumba alipinduliwa na mtu wake wa karibu Joseph Kasavubu kwa ushirikiano wa wabelgiji na Mobutu Sese Seko.

Na mfano wa hivi karibuni kabisa ni pale kiongozi wa Korea kaskazini Kim Ill Jong alipomuuwa mjomba wake Jang Song Thaek, kaka wa kuzaliwa tumbo moja na mama yake mzazi Kim Ill Jong.

Hakuishia hapo tu, bali pia kwa kuhofia kupoteza kiti chake cha urais. Kim Jong Ill alimuuwa kaka yake wa kizaliwa tumbo moja aliyejulikana kwa jina la Kim Jong Nam, mauaji yaliyotekelezwa huko Malaysia kwa vikosi maalumu vya kikachero wakati akiwasili Airport jijini Kuala Lumpur!

Kuna watu Mashuhuri Duniani na Africa kwa ujumla waliopoteza maisha yao sababu ya kitu inaitwa Madaraka ya uongozi hususan wa dola kuu.

Watu kama Chris Hani, Steve Biko(s'Africa), Thom Mboya, Robert Ouko, (Kenya)Samora Machel(Mozambique)na hata askofu Jaral luwum kule Uganda. Kwa uchache tu.

Nimetoa mifano hiyo michache huku nikiacha kutaja historia za wafalme waliokuwa wakiuwa kaka zao na kujisimika ufalme badala yao.

HITIMISHO langu!
Kwa wanasiasa wengi Duniani, kwao madaraka huwa ni maktamu na wako tayari kuwaondoa hata wale waliokuwa wakiwaamini sana, ili mradi tu wakalie kiti cha enzi.

Kwa sababu tunashuhudia watu wakiwaua ndugu zao wa damu ili tu washike nafasi zao za uongozi.

Kwa hiyo Madaraka ni kama kitu kilicholaaniwa kuliko vitu vyote. Sababu mtu akishanogewa na madaraka anageuka kuwa adui wa kila mtu anayedhania kwamba anaweza kuhatarisha nafasi yake ya Madaraka.

Mfano mwingine ni Paul Kagame wa Rwanda ambaye amewaweka ndani au kuwaua wale wote anadhani wanahatarisha utawala wake.

Akiwemo aliyewahi kuwa Waziri mkuu wa Rwanda Pastor Bizimungu. Anayetumikia kifungo cha nyumbani kisicho na ukomo.
 
Umezunguka mkuu

Nenda kwenye point we jamaaa!!

Nani huko amekaribia kukatishwa uhai kisa madaraka!!?

Wahuni wamegeukana kwani!!?
Hapana mkuu!
Hizi ban za kujitakia naziogopa na hivyo nimeacha kila member aweke tafakuri yake humu.
Na wahuni hawajageukana bali bado wanaigeuza tu!
Hata Yesu alimwambia Yuda Iskariote..."utanikana mara tatu kabla ya majogoo kuwika" na kweli ilitokea!
Nashukuru umenishtua NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
 
Kuna mwingine anataka miaka 15 madarakani, na ameanza kumeza wote wanao jaribu kupinga! Madaraka matamu asikwambie ntu.
 
Kuna mwingine anataka miaka 15 madarakani, na ameanza kumeza wote wanao jaribu kupinga! Madaraka matamu asikwambie ntu.
Kwa uoni wako wa jicho la mwewe!

Mimi siwezi kukupinga mkuu!

Madaraka ya kiafrika ni laana kuliko chochote.
 
Kwa hiyo Madaraka ni kama kitu kilicholaaniwa kuliko vitu vyote. Sababu mtu akishanogewa na madaraka anageuka kuwa adui wa kila mtu anayedhania kwamba anaweza kuhatarisha nafasi yake ya Madaraka.
Huenda hiki ndio kilimcost Lissu? Lissu alikiwa tishio kwa nani?
 
Badilisha heading Mkuu. Unasema Afrika halafu mifano unatoa nje ya Afrika? Sio sahihi.

Hao ni vichaa acha kuhangaika nao, maana wanataka kulinganisha uhuru wa miaka 62 na wa 400+
Hawajui waliko toka wazungu wala waarabu.
Ma psychopath chinja baharini samaki wale walahi[emoji35]
 
Mifano iko mingi sana!

Marehemu Sankara wa Burkina Faso alipinduliwa na kuuwawa na aliekiwa Rafikie wa karibu na msiri wake Bless Compaore. Marehemu Patrce Emely Lumumba alipinduliwa na mtu wake wa karibu Joseph Kasavubu kwa ushirikiano wa wabelgiji na Mobutu Sese Seko.

Na mfano wa hivi karibuni kabisa ni pale kiongozi wa Korea kaskazini Kim Ill Jong alipomuuwa mjomba wake Jang Song Thaek, kaka wa kuzaliwa tumbo moja na mama yake mzazi Kim Ill Jong.

Hakuishia hapo tu, bali pia kwa kuhofia kupoteza kiti chake cha urais. Kim Jong Ill alimuuwa kaka yake wa kizaliwa tumbo moja aliyejulikana kwa jina la Kim Jong Nam, mauaji yaliyotekelezwa huko Malaysia kwa vikosi maalumu vya kikachero wakati akiwasili Airport jijini Kuala Lumpur!

Kuna watu Mashuhuri Duniani na Africa kwa ujumla waliopoteza maisha yao sababu ya kitu inaitwa Madaraka ya uongozi hususan wa dola kuu.

Watu kama Chris Hani, Steve Biko(s'Africa), Thom Mboya, Robert Ouko, (Kenya)Samora Machel(Mozambique)na hata askofu Jaral luwum kule Uganda. Kwa uchache tu.

Nimetoa mifano hiyo michache huku nikiacha kutaja historia za wafalme waliokuwa wakiuwa kaka zao na kujisimika ufalme badala yao.

HITIMISHO langu!
Kwa wanasiasa wengi Duniani, kwao madaraka huwa ni maktamu na wako tayari kuwaondoa hata wale waliokuwa wakiwaamini sana, ili mradi tu wakalie kiti cha enzi.

Kwa sababu tunashuhudia watu wakiwaua ndugu zao wa damu ili tu washike nafasi zao za uongozi.

Kwa hiyo Madaraka ni kama kitu kilicholaaniwa kuliko vitu vyote. Sababu mtu akishanogewa na madaraka anageuka kuwa adui wa kila mtu anayedhania kwamba anaweza kuhatarisha nafasi yake ya Madaraka.

Mfano mwingine ni Paul Kagame wa Rwanda ambaye amewaweka ndani au kuwaua wale wote anadhani wanahatarisha utawala wake.

Akiwemo aliyewahi kuwa Waziri mkuu wa Rwanda Pastor Bizimungu. Anayetumikia kifungo cha nyumbani kisicho na ukomo.
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu atang'amua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapana mkuu!
Hizi ban za kujitakia naziogopa na hivyo nimeacha kila member aweke tafakuri yake humu.
Na wahuni hawajageukana bali bado wanaigeuza tu!
Hata Yesu alimwambia Yuda Iskariote..."utanikana mara tatu kabla ya majogoo kuwika" na kweli ilitokea!
Nashukuru umenishtua NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
Mkuu acha uongo Yesu hakuwai kumwambia Yuda Iskariote kuwa atamkana mara tatu, acha uongo mkuu.
Labda kama unamzungumzia yule Yesu Mkenya.
 
Back
Top Bottom