TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Siyo kweli kuwa dawa za asili hazina kipimo maalumu kwa mtumiaji. Mtoaji wa dawa za asili ambaye siyo tapeli, lazima atakupa na maelezo ya kiasi gani utumie. Wengine kama umeenda kumchukulia mgonjwa dawa atakuuliza kama mgonjwa ni mtoto ama mtu mzima baada ya majibu anakuelekeza kiwango utakacho mpa.
Msukumo wa kibihashara kwenye dawa unaofanywa na makampuni ya kibepari ndiyo ambao unasababisha kudhalilisha na kudharau waganga wetu wa kiasili/kienyeji na tiba zao. Hawajari tena uhai wa mtu kama tunu bali wanajali uhai wa mtu kama mtaji ama kikuzio cha biahashara zao. Ni kweli baadhi ya dawa zao zina saidia lakini wao hawataki fair competition kwenye kutua huduma ya dawa ya kutibu. Wanataka wao wawe ndiyo wazalishaji na wauzaji pekee wa madawa. Na kwa sababu dawa zetu za asili ni rahisi sana kwenye gharama za uzalishaji basi wanaona hawawezi kushidana na sisi. Hivyo hujuma za namna zozote zitarajiwe kutoka kwao.
Ninachokiona hapa ni kuwa makini....na chanzo cha tiba zetu za asili (mimea) hawa jamaa si wema. Wanataka tuwe tegemezi kwa kila kitu...wamefanikiwa kuangamiza mimea yetu ya asili mfano migomba huko Uganda na Kagera ili tuwe tegemezi kwa chakula....na sasa watakuwa wako bize kutafuta aina ya mimea tunayotumia kama dawa asili ili waiharibu ili tutumie dawa zao tu...hasa baada ya kugundua tumeshtuka kuwa dawa zao sizote zinafaa kututibu magojwa yetu kama madawa yetu ya asili.
Msukumo wa kibihashara kwenye dawa unaofanywa na makampuni ya kibepari ndiyo ambao unasababisha kudhalilisha na kudharau waganga wetu wa kiasili/kienyeji na tiba zao. Hawajari tena uhai wa mtu kama tunu bali wanajali uhai wa mtu kama mtaji ama kikuzio cha biahashara zao. Ni kweli baadhi ya dawa zao zina saidia lakini wao hawataki fair competition kwenye kutua huduma ya dawa ya kutibu. Wanataka wao wawe ndiyo wazalishaji na wauzaji pekee wa madawa. Na kwa sababu dawa zetu za asili ni rahisi sana kwenye gharama za uzalishaji basi wanaona hawawezi kushidana na sisi. Hivyo hujuma za namna zozote zitarajiwe kutoka kwao.
Ninachokiona hapa ni kuwa makini....na chanzo cha tiba zetu za asili (mimea) hawa jamaa si wema. Wanataka tuwe tegemezi kwa kila kitu...wamefanikiwa kuangamiza mimea yetu ya asili mfano migomba huko Uganda na Kagera ili tuwe tegemezi kwa chakula....na sasa watakuwa wako bize kutafuta aina ya mimea tunayotumia kama dawa asili ili waiharibu ili tutumie dawa zao tu...hasa baada ya kugundua tumeshtuka kuwa dawa zao sizote zinafaa kututibu magojwa yetu kama madawa yetu ya asili.