Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

Hii ndio tanzania chini ya ccm mlegezo. Ni madawa ya kulevya kwa kwenda mbele. Lazima uraisi ununuliwe hela ya unga si ipo! Kwenye umeme wanaendalea kukwapua - ukijumlisha na hizi za mihadarati ukichanganya na umaskini wa watanzania, 2015 cdm wana kazi kubwa sana sana. Labda mungu ashushe baraka zake tuweze kuwaondoa hawa common criminals madarakani (ccm)
CCM ni janga la Taifa na ni Saratani, lazima ifutwe.Choma moto wezi haoooo,Weeeziiiiiiii, Weeeziiiiii.Fake people admire fake and weak leaders.KaGAME IS THE GREAT!Unamlinganisha na rais ambaye anaulizwa swali,'' kwanini nchi yako ni ,maskini na ombamba wakati ina kila kitu'' yeye anajibu:'' hata mimi nashangaa'' au unamlinganisha Kagame na mtu ambaye anajiita ''mtoto mwizi na mnafiki wa mkulima'' akibanwa kwa hoja anaanza kulia.Hawa watu ni aibu kwa Tanzania,Afrika na dunia.Aina ya viongozi hawa ni taswrira ya jamii wanayotokana nayo.Aibu gani hii Jamani!Ni zao la MaCCM.Tanzania twende sasa tuchukue silaha ya umoja tuyafute Majambazi haya yanayoturudisha nyuma kimaendeleo, tutaifishe mali za majizi haya kwani yanajulikana,yafilisiwe na kizazi chao chote yafungwe jela maisha au yanyongwe:Fisadi,mnafiki,mzandiki, mwongo, mchawi-Wote ni watu wa kuchoma moto!T uamke mama Tanzania!
 
Baada ya bondia na footballer sasa musichana ya movie (maana kila asiyekuwa na address mjini sasa anataka awe muigizaji ili atoke khaa ) na toto ya town imekwisha Brazil eeh wasichana nyie wadogo mna mambo makuu jamani hizi lace wig, peruvian, simu za bei ya juu, vitz mbona zitawapeleka pabayaa??

Ndugu kama hamjawasiliana na ndugu yenu huyu kaeni mkao wa kula kupokea bad news (sioni huruma maana kapenda mwenyewe kuwa punda) hivi kila siku hamuoni TV/News Paper na Blogs zikiandika kwamba hali ya hewa ni mbaya ?? mara meli, mara wengine wamekamatwa Ethiopia daah mnawapa wengine ugumu wanaosafiri na Passport za ki Tanzania full kuangaliwa mpaka sehemu zisitakiwa.

NB
wale wasichana wanaoshawishiwa kuwa mapunda na makontena na wengine wanathubutu kwenda kwa waganga kupewa dawa ili wasishikwe USIJARIBU hakuna cha mganga wala nini, tulizana na tafuta plan B ya maisha na nini cha kufanya please i beg nisiposisitiza hivi tutapoteza wengi.


SOURCE: sintah.com
She accept to be TOM mule to carry yeyo , but she didn't make it out of bay ,sorry girl you bounce on scanner
 
Back
Top Bottom