Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) nae akamatwa Brazil

CCM ni janga la Taifa na ni Saratani, lazima ifutwe.Choma moto wezi haoooo,Weeeziiiiiiii, Weeeziiiiii.Fake people admire fake and weak leaders.KaGAME IS THE GREAT!Unamlinganisha na rais ambaye anaulizwa swali,'' kwanini nchi yako ni ,maskini na ombamba wakati ina kila kitu'' yeye anajibu:'' hata mimi nashangaa'' au unamlinganisha Kagame na mtu ambaye anajiita ''mtoto mwizi na mnafiki wa mkulima'' akibanwa kwa hoja anaanza kulia.Hawa watu ni aibu kwa Tanzania,Afrika na dunia.Aina ya viongozi hawa ni taswrira ya jamii wanayotokana nayo.Aibu gani hii Jamani!Ni zao la MaCCM.Tanzania twende sasa tuchukue silaha ya umoja tuyafute Majambazi haya yanayoturudisha nyuma kimaendeleo, tutaifishe mali za majizi haya kwani yanajulikana,yafilisiwe na kizazi chao chote yafungwe jela maisha au yanyongwe:Fisadi,mnafiki,mzandiki, mwongo, mchawi-Wote ni watu wa kuchoma moto!T uamke mama Tanzania!
 
She accept to be TOM mule to carry yeyo , but she didn't make it out of bay ,sorry girl you bounce on scanner
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…