Madawa ya kulevya hayana shida kihivyo, kilichopo ni vita tu ya kiuchumi

Madawa ya kulevya hayana shida kihivyo, kilichopo ni vita tu ya kiuchumi

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Miaka ya 1800 kulitokea kitu kinaitwa opium war. Hii ilikuwa ni vita kati ya Waingereza na Wachina. Ni kwamba waingereza walikuwa wanauza sana hii opium kwa wachina na kuingiza pesa nyingi sana.

Sasa Wachina wakaona watu wao wanakuwa mateja, wakapiga marufuku matumizi ya Opium. Waingereza wakawapa 'siku tatu' wabatilishe au kitawaka. Kikawaka, Wachina wakapigwa na biashara ikaendelea.

Hii opium ndiyo inatumika kutengeneza heroin. Na mwilini dawa hii inafanya kazi kama pombe inavyofanya kazi. Na ukizidisha madhara yake yanafanana na ya pombe.

Wamarekani walipiga vita heroin kwa nguvu sababu zilikuwa zinatoka nchi za kikomunist. Hawakutaka wacommunist wapate pesa.

Kwenye vita hii ya sasa na Cocaine na nchi za latin America shida ni pesa. Hizi nchi zinavuna mabilioni ya pesa kwa kuuza cocaine US, so ili kupambana na hilo ndiyo wakaleta ban na vita dhidik ya madawa hayo. Cocaine ni kama kahawa tu.

Vita ya madawa ni uzushi mtupu.
 
Nimejikuta nacheka hapo lwenye "cocain ni kama kahawa tu" wale mateja ndo wanaharibiwa na hiyo kahawa au mimi ndo sielewi unamaanisha nini
 
Nimejikuta nacheka hapo lwenye "cocain ni kama kahawa tu" wale mateja ndo wanaharibiwa na hiyo kahawa au mimi ndo sielewi unamaanisha nini
Wale wa kutoka udenda ni heroin, ambayo anakuwa kama mtu aliyelewa sana. Cocaine wanatumia maexecutives.
 
Dogo red giant nakupinga Sana katika andiko lako. Hii vita haina uzushi bali ni ngumu na complicated na haitawahi kutokomezwa. Wanachojaribu ni kuipunguza tu.
Ni ngumu sababu ni pesa nyingi zinahusika. Wanaopigana hawapigani eti kulinda afya ya jamii.
 
Miaka ya 1800 kulitokea kitu kinaitwa opium war. Hii ilikuwa ni vita kati ya waingereza na wachina. Ni kwamba waingereza walikuwa wanauza sana hii opium kwa wachina na kuingiza pesa nyingi sana. Sasa wachina wakaona watu wao wanakuwa mateja, wakapiga marufuku matumizi ya Opium. Waingereza wakawapa 'siku tatu' wabatilishe au kitawaka. Kikawaka, wachina wakapigwa na biashara ikaendelea. Hii opium ndiyo inatumika kutengeneza heroin. Na mwilini dawa hii inafanya kazi kama pombe inavyofanya kazi. Na ukizidisha madhara yake yanafanana na ya pombe.

Wamarekani walipiga vita heroin kwa nguvu sababu zilikuwa zinatoka nchi za kikomunist. Hawakutaka wacommunist wapate pesa.

Kwenye vita hii ya sasa na Cocaine na nchi za latin America shida ni pesa. Hizi nchi zinavuna mabilioni ya pesa kwa kuuza cocaine US, so ili kupambana na hilo ndiyo wakaleta ban na vita dhidik ya madawa hayo. Cocaine ni kama kahawa tu.

Vita ya madawa ni uzushi mtupu.
Inaelekea hujui kitu chochote kuhusiana na madhara ya madawa ya kulevya...mi naomba ili somo liingie zaidi anza kutumia heroin, au mpe hata ndugu yako hiyo kahawa inayoitwa heroin. Na hapo ndo utajua kwanini pusha wa madawa ya kulevya Wai huwa hawatumii...wanauza tu
 
Hayana madhara uliyokaririshwa. Ni kama pombe na kahawa tu. Tena dawa kama cocaine na bangi zinamadhara kidogo kuliko pombe.
 
Dogo red giant nakupinga Sana katika andiko lako. Hii vita haina uzushi bali ni ngumu na complicated na haitawahi kutokomezwa. Wanachojaribu ni kuipunguza tu.
Mkuu ina maana haufahamu kama CIA wameuza sana crack kwa black americans ili kupata hela za kufanya operations zao. Issue ni maslahi tu.
 
Miaka ya 1800 kulitokea kitu kinaitwa opium war. Hii ilikuwa ni vita kati ya waingereza na wachina. Ni kwamba waingereza walikuwa wanauza sana hii opium kwa wachina na kuingiza pesa nyingi sana. Sasa wachina wakaona watu wao wanakuwa mateja, wakapiga marufuku matumizi ya Opium. Waingereza wakawapa 'siku tatu' wabatilishe au kitawaka. Kikawaka, wachina wakapigwa na biashara ikaendelea. Hii opium ndiyo inatumika kutengeneza heroin. Na mwilini dawa hii inafanya kazi kama pombe inavyofanya kazi. Na ukizidisha madhara yake yanafanana na ya pombe.

Wamarekani walipiga vita heroin kwa nguvu sababu zilikuwa zinatoka nchi za kikomunist. Hawakutaka wacommunist wapate pesa.

Kwenye vita hii ya sasa na Cocaine na nchi za latin America shida ni pesa. Hizi nchi zinavuna mabilioni ya pesa kwa kuuza cocaine US, so ili kupambana na hilo ndiyo wakaleta ban na vita dhidik ya madawa hayo. Cocaine ni kama kahawa tu.

Vita ya madawa ni uzushi mtupu.
Biashara ya pesa mingi hii, mpaka sasa ninaweza kuzalisha 98% purity ya heroin kilichobaki ni kujenga mahabara nigeuke Ambrosia😂
 
Back
Top Bottom