Madawa ya kulevya: Mtanzania afia Dubai, wengine wadaiwa kukamatwa China na Brazil

Madawa ya kulevya: Mtanzania afia Dubai, wengine wadaiwa kukamatwa China na Brazil

Akina Chambuso ni Wabongo hakuna mzanzibari hapo.,

Kwa sasa watanzania ni balaa tupu kwa madawa ya kulevya, Serikali lazima igangamae. Hii ni aibu na ni doa kubwa sana kwa taifa letu Tanzania. Kwa mfano: Italia pekee ina wafungwa zaidi ya 40 raia wa Tanzania wanaofungwa kwa madawa ya kulevya. Naamini kuwa Ubalozi wa Tanzania Italia unazo taarifa za watanzania hawa wanaofungwa madawa ya kulevya. Jamani Vijana wanaisha kwa biashsra hii. Serikali ni lazima iwe serious na swala hili. Hali ni mbaya kwa watanzania wanaoishi Italia ambao wengi wanaishi kwa kuhusika na biashara biashara hii, hasa mji wa Napoli. Inakadiriwa kuwa Tanzania ni nchi ya pili kwa skendo za madawa ya kulevya nchini Italia ikizidiwa na Nigeria pekee.
 
katiba mpya iishe, tuwe na passport mbili za kusafiria, hii ya kibongo tutaitumia Namanga na Mtukula tu
 
Ooooh mzigo ukiutia kwenye suitcase then ukaupaka mafuta ya simba eti mbwa anaukimbia na hataki kuunusa na unapeta. Mara sijui ukienda kufanyiwa makarama kwa waganga hutasumbuliwa kwenye airport yoyote.
Haya ndio matokeo yake haya

Unabisha ?

madawa ya kulevya.jpg
 
Ooooh mzigo ukiutia kwenye suitcase then ukaupaka mafuta ya simba eti mbwa anaukimbia na hataki kuunusa na unapeta. Mara sijui ukienda kufanyiwa makarama kwa waganga hutasumbuliwa kwenye airport yoyote.
Haya ndio matokeo yake haya

Sayansi haidanganywi na uganga
 
Naulizia kuna jamaa alikuwa anaitwa Yasini pale sinza madukani ana duka la used yupo wapi?
 
JF takuwa jukwaa la hovyo sana km mods wanaanza kushindana na wachangiaji kwa kuondoa threads na kuweka nyingine zenye ujumbe sawa...wengine huenda mbali kupiga ban kwa sababu za kuchekesha.Mengi sana nimetahadharisha humu ndani ila kuna mods wakiingia tuu...Niliwahi andika humu ndani kuwa mara nyingi hawa punda km uchunguzi haujafanyika basi mashirika ya kimarekani huwa hayatibui , huwaashi ili waweze track mapapa..muda wote huo hawa punda huw ana impressive track records hadi mapapa kuwaamini sana,kuwa ni moto ktk kuruka vihunzi....na kwa nchi km zetu punda huamini vitu ulivyovitaja hapa....Niliandika kuwa isku nchi fulani zikianza daka punda basi Mapapa bongo wajue wanakaribiwa, na hata km walidhani wanapiga issue na wamarekani, wajue wenzao walicheza ktk namna wakiingia mahakamani hawatashindwa na kuigharibu serikali yao...Haha..sasa mbwa wa kizugu wamejifunza wapi simba?na km wanamjua ni wazi watakavyo jibehave mbele ya mshukiwa basi askari watajiuliza kwanini mbwa wao kawa mwoga....ila kuna ex-rays za siri ,zinawekwa kuepeusha raia kulia mionzi na privacy.

Wewe nawe unataka kukuelewa mpaka niwe na Masters?
 
Uchaguzi ujao wapinzani watakuwa na mengi ya kuikosoa CCM hadi muda utakuwa mdogo
 
Uchaguzi ujao wapinzani watakuwa na mengi ya kuikosoa CCM hadi muda utakuwa mdogo

So far wapinzani wanasemaje kuhusiana na madawa ya kulevya?
 
Kama hizi habari ni za kweli basi zinatia faraja kwa vijana wa kitanzania ambao hawajajihusisha na utumiaji na uuzaji wa dawa hizo. Pongezi kwa nchi zote zilizohusika kuwakamata hao silent killers, Mungu awape maarifa zaidi muendelee kuwakamata.
 
Nchi ikipuuza tu ELIMU. Au kutoa elimu isiyo sahihi matokeo yake ndo haya. Hili tunalo.. naona bora serikali isimamishe yote iwekeze KIUKWELI kwenye ELIMU.
Bila hivyo.. mtaniambia.

Yani uliyoyasema niyakweli kabisa nchi ikishashindwa kujiwekeza kwenye swala la elimu matatizo yake ndo haya, hivi mfano hawa vijana waliofeli mwaka jana wote wataenda wapi kama sio huko huko, ndio maana ulimwengu akasema "Kuku tuliowafungulia asubuhi ndio hao sasa wanarudi" ukutafakari kwa makini msemo huu unamaana kubwa sana
 
CCM wanaposhindwa kusimamia hili ni kukuza minya ya wapinzan kupita

walishaalaniwa..hawana pa kutokea...wameshaanzisha avalanche ya uovu....ni wazi sasa uovu unapandana km music ktk CD changer....hata CCM wenyewe hawajui nini kinatokea....kila wakigusancho kinanajisika...kinageuka uovu mkubwa ,tena uovu wenye mimba kubwa....ambao haraka nao unazaa ..
 
Wewe nawe unataka kukuelewa mpaka niwe na Masters?

Kuna mahalai nimekudai masters?Sasa km wewe unadhani masters ndio kipimo cha juu kabisa cha kuelewa alichaondika mtu..then unazidi nichekesha.........sasa utaipataje hiyo masters kabla ya kuelewa maandiko mengine?Unaongelea HABARI YA KUKU NA YAI BILA SABABU....au ndio kuthibitishia wana jukwaa kuwa nisemacho ni kweli..?

Poole..drama si CCM tuu...ndio tanzania yetu hii....nadhani somo la logic na reasoning linahitai anza mapema ili ktk umri mdogo watu mjifunze kabla ya kuja kimbizwa na mitihani ktk level za juu.
 
Back
Top Bottom