Don Calvino
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 113
- 29
Kuhalalisha matumizi ya madawa ya kulevya duniani je itafanya bei ya kununua ishuke kisha wauzaji wakubwa kukata tamaa na biashara hiyo? Ndio mikakati moja yapo ya Obama na nchi zingine pamoja na Marekani Kusini...