kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,651
- 6,966
Wana JF naomba msaada wenu nifanyenini? Ndugu yangu miaka 27 (male) anatumia Bangi na Unga(heroin au cocaine). kama familia tumejitahidi sana kumsaidia naona tunashindwa, sasa amefikia hatua ya kutembea bila viatu barabarani na kulala chini ya madaraja Ubungo. Tunahisi anaelekea kwenye ukichaa. Please Bandungu naomba ushauri wenu ili nduguyangu aweze kupona.