Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
With the sixth word, you lost all sense.Hii ni nchi ya viwanda sio viwonder 4,000 kama wenzetu.
Msalimie king kaka, mwambie namkubali sana toka pande za +255Hii ni nchi ya viwanda sio viwonder 4,000 kama wenzetu.
King Kaka yupo anakula bata licha ya kuwagusa kidevu wanasiasa.Msalimie king kaka, mwambie namkubali sana toka pande za +255
Ngoja nifatilie mkuu ntakujuza, ila hata kwenu yapo hayo, kuna kipindi nilikuwa namfatilia ahmed ali nae alikuwa anatupatia yaliyofichikanaKing Kaka yupo anakula bata licha ya kuwagusa kidevu wanasiasa.
Vipi kwenu huko mbona tunasoma mambo ya hatari kwenu, kwamba jamaa alitekwa na wasiojulikana, kisha polisi wakasema wanaye wao ndio walimkamata, baadaye wanakana kwamba sio kweli na hawakumkamata.
Ngoja nifatilie mkuu ntakujuza, ila hata kwenu yapo hayo, kuna kipindi nilikuwa namfatilia ahmed ali nae alikuwa anatupatia yaliyofichikana