Made in Tanzania

Made in Tanzania

Made in Tanzania" ni project proposal itakayoonyesha namna ya kupata fedha zitakazotumika kujenga viwanda vya awali hapa Tanzania kama njia ya kuufanya uchumi wa Tanzania kuwa na uzalishaji (productive).

Kilichonishawishi kufanya hichi nachofanya sahivi;-
Kuona Tanzania inaondoka na umaskini uliotamalaki kila kona ya nchi, ni matumaini yangu viwanda vya awali vitakamilika na vitavutia ukuaji wa kasi wa viwanda vya upili ambavyo vitaondoa umaskini Tanzania.

Viwanda vya awali vitabadilisha malighafi asilia na kua malighafi wezeshi zitakazokuwa zinatumiwa na viwanda vya upili kuzalisha bidhaa za mtumiaji wa mwisho, na hivi viwanda ndo ambavyo Tanzania tunaviitaji kwa gharama yeyote ile. Viwanda vya awali lazima viwe vikubwa ili viwe na faida.

Mfano wa malighafi asilia ambazo viwanda vya vya awali vitabadilisha na kuwa malighafi wezeshi ni kama zifuatazo
  • Bauxite
  • Iron ore
  • Soda ash
  • Quartz sand
  • Limestone
  • Cotton
  • Coal

Vifuatavyo ni viwanda vya awali vitavyojengwa hapa Tanzania
FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjini. Cost:- usd 2 billionProduct;- High purity pig iron

Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-

Uses
• Steel making
• Alloy making
• Foundry
• In automotive castings
• Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjini
Cost:- usd 2 billion
Products;-
• Aluminium coil sheet and coil wire
• Aluminium in re-melt ingot
• Billet
• Slab ingot
• Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses
• Electrical cables
• Cooking utensils
• Food packaging
• Beer kegs
• Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjini
Usd:- usd 2 billion
Products;-
• Copper wire coil,
• ETP and oxygen-free copper bus bars
• Profiles
• Strips
• Sheets /tapes
• Alloys
• Magnet wires
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum

Price of copper as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjini. Cost:- usd 1 billionProducts;-
• Natural yarn
• Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses
• To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plant. Cost: usd 1 billionProduct;- Dry paper pulp.

Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.

Uses;-
• Paper printouts
• Receipts
• Post-its
• Envelops
• Paper cups
• Napkins
• Toilet rolls
• Tissues
• Cardboard
• Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
• Cheapest in Africa
Large Semiconductor and printed circuited board fabrication in Africa- Moshi mjini. Cost:- usd 15 billionProducts;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses
• Transistors
• Circuit boards
• Computer chips
• Bank operations
• Transportation
• Communications
• Medical
• Security networks
• Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Leather tanning factory. Cost:- usd 1 billionProduct;- • Leather. Quantity. 200,000 metres of leather a month
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjini. Cost:- usd 15 billionProducts;-
• Gasoline
• Diese
• Kerosene
• Jet Fuel
• Heating Oil
• Liquefied Petroleum Gas (LPG)
• Naphtha
• Asphalt
• Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day

Price of crude oil sub products
• Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- Songea. Cost:- usd 1 billionProducts;-
• Fused silica
• Fused quartz
• Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses;-
• Optical and optoelectronics devices,
• Microwave
• Dialectric materials
• Refractory materials
• Commercial glass
• Lighting systems
• Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaam. Cost:- usd 15 billionProduct;-
• Ethylene
• Propylene
• Benzene
• Toluene
• Xylenes
• Ammonia
• Methanol
• Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds

Price of plastic building blocks
• Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-Tabora. Cost: usd 1 billionProducts;-
• High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
• Nobium-tin alloy
• Tantalum pentoxide powder
• Nobium oxide powder

Price of nobium powder as a rawmaterial
• Cheapest in Africa
Large Installation of electricity in east africa. Initial starting 10,000 cost usd 15 billion10,000 Megawatts of electricity at first and target is 500,000 megawatts in long run

Price of electricity both for industrial and household
• Cheapest in eastern africa
Mfano wa malighafi wezeshi zitakazozalishwa na viwanda vya awali kama nilivyoorodhesha hapo juu;-
  • Steel
  • Silicon wafer
  • Polyethylene
  • Thermoplastic polyurethane
  • Pulp
  • Nyuzi za kutengenezea vitambaa
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Copper wire coil
  • Na nyinginezo
Viwanda vya upili vitatumia malighafi wezeshi zitakazokua zinazalishwa na viwanda vya awali hapa Tanzania.
Mfano wa viwanda vya upili
  • Viwanda vya nguo
  • Viwanda vya magari
  • Viwanda vya viatu na malapa
  • Viwanda vya simu
  • Viwanda vya pikipiki
  • Viwanda vya bajaji
  • Viwanda vya wire (cable)
  • Vinginevyo
Hauna kazi ya kufanya Nini?

Watu wenye akili nzuri ya kuweza kuendesha viwanda vya namna hiyo utawapata wapi hapa Tanzania??
 
Viwanda vya upili vitatumia malighafi wezeshi zitakazokua zinazalishwa na viwanda vya awali hapa Tanzania.
Mfano wa viwanda vya upili
  • Viwanda vya nguo
  • Viwanda vya magari
  • Viwanda vya viatu na malapa
  • Viwanda vya simu
  • Viwanda vya pikipiki
  • Viwanda vya bajaji
  • Viwanda vya wire (cable)
  • Vinginevyo
Made in Tanzania ni aibu, mtu kaka chuo miaka mitatu . Kapigwa matheories kibao ya kina malthus sijui kina mafalsafa ya kina secretes. Anakuja kutengeneza kiatu cha plastiki mpaka kamba 😂
Kiatu ukivaa bila soksi kinakata kama kiwembe. Waafrika tuna lana wallahi
20240930_125206.jpg
 
Made in Tanzania" ni project proposal itakayoonyesha namna ya kupata fedha zitakazotumika kujenga viwanda vya awali hapa Tanzania kama njia ya kuufanya uchumi wa Tanzania kuwa na uzalishaji (productive).

Kilichonishawishi kufanya hichi nachofanya sahivi;-
Kuona Tanzania inaondoka na umaskini uliotamalaki kila kona ya nchi, ni matumaini yangu viwanda vya awali vitakamilika na vitavutia ukuaji wa kasi wa viwanda vya upili ambavyo vitaondoa umaskini Tanzania.

Viwanda vya awali vitabadilisha malighafi asilia na kua malighafi wezeshi zitakazokuwa zinatumiwa na viwanda vya upili kuzalisha bidhaa za mtumiaji wa mwisho, na hivi viwanda ndo ambavyo Tanzania tunaviitaji kwa gharama yeyote ile. Viwanda vya awali lazima viwe vikubwa ili viwe na faida.

Mfano wa malighafi asilia ambazo viwanda vya vya awali vitabadilisha na kuwa malighafi wezeshi ni kama zifuatazo
  • Bauxite
  • Iron ore
  • Soda ash
  • Quartz sand
  • Limestone
  • Cotton
  • Coal

Vifuatavyo ni viwanda vya awali vitavyojengwa hapa Tanzania
FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjini. Cost:- usd 2 billionProduct;- High purity pig iron

Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-

Uses
• Steel making
• Alloy making
• Foundry
• In automotive castings
• Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjini
Cost:- usd 2 billion
Products;-
• Aluminium coil sheet and coil wire
• Aluminium in re-melt ingot
• Billet
• Slab ingot
• Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses
• Electrical cables
• Cooking utensils
• Food packaging
• Beer kegs
• Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjini
Usd:- usd 2 billion
Products;-
• Copper wire coil,
• ETP and oxygen-free copper bus bars
• Profiles
• Strips
• Sheets /tapes
• Alloys
• Magnet wires
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum

Price of copper as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjini. Cost:- usd 1 billionProducts;-
• Natural yarn
• Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses
• To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plant. Cost: usd 1 billionProduct;- Dry paper pulp.

Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.

Uses;-
• Paper printouts
• Receipts
• Post-its
• Envelops
• Paper cups
• Napkins
• Toilet rolls
• Tissues
• Cardboard
• Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
• Cheapest in Africa
Large Semiconductor and printed circuited board fabrication in Africa- Moshi mjini. Cost:- usd 15 billionProducts;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses
• Transistors
• Circuit boards
• Computer chips
• Bank operations
• Transportation
• Communications
• Medical
• Security networks
• Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Leather tanning factory. Cost:- usd 1 billionProduct;- • Leather. Quantity. 200,000 metres of leather a month
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjini. Cost:- usd 15 billionProducts;-
• Gasoline
• Diese
• Kerosene
• Jet Fuel
• Heating Oil
• Liquefied Petroleum Gas (LPG)
• Naphtha
• Asphalt
• Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day

Price of crude oil sub products
• Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- Songea. Cost:- usd 1 billionProducts;-
• Fused silica
• Fused quartz
• Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses;-
• Optical and optoelectronics devices,
• Microwave
• Dialectric materials
• Refractory materials
• Commercial glass
• Lighting systems
• Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaam. Cost:- usd 15 billionProduct;-
• Ethylene
• Propylene
• Benzene
• Toluene
• Xylenes
• Ammonia
• Methanol
• Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds

Price of plastic building blocks
• Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-Tabora. Cost: usd 1 billionProducts;-
• High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
• Nobium-tin alloy
• Tantalum pentoxide powder
• Nobium oxide powder

Price of nobium powder as a rawmaterial
• Cheapest in Africa
Large Installation of electricity in east africa. Initial starting 10,000 cost usd 15 billion10,000 Megawatts of electricity at first and target is 500,000 megawatts in long run

Price of electricity both for industrial and household
• Cheapest in eastern africa
Interesting
 
Tanzania iliwahi kubahatika kuwa na Rais mmoja tu aliyekuwa na maono! Bahati mbaya na yeye aliamini kwenye sera moja tu, na ya kufikirika ya Ujamaa!!

Angechanganya mazuri machache ya Ujamaa na mazuri machache ya Ubepari kama walivyofanya China miaka ya 1970's; huenda na sisi leo hii tungekuwa kama China, Korea, au Singapore.
 
Made in Tanzania ni aibu, mtu kaka chuo miaka mitatu . Kapigwa matheories kibao ya kina malthus sijui kina mafalsafa ya kina secretes. Anakuja kutengeneza kiatu cha plastiki mpaka kamba 😂
Kiatu ukivaa bila soksi kinakata kama kiwembe. Waafrika tuna lana wallahiView attachment 3140436
Sio kosa kutengeneza viatu vya plastic
 
Maono mazuri Dennis...

PIA,

Fanya mazoezi ya umodelishi wa viwanda vidogo vidogo halafu viwe ndani ya mtandao wa viwanda vya 'ukubwa wa kati' na 'ukubwa kabisa' halafu ushiriki mawazo.

Japo uadilifu na usanifu wako unajikita kwenye 'kutengeneza fedha na ajira kwa jamii ya Watanzania fanya mazoezi ya kuimajinisha sura ya namna ya 'uchumi wa kazi'.

Namna ya kuuona uchumi wa kazi: fikiria namna tofauti ya wanajamii kustawi pasipo dhana khasa za 'fedha ama kujenga ukwasi' bali kujishughulisha kwa ajili ya mahitaji yao ya karibu na muhimu ya kila siku--pesa inaweza kuwa ni matokeo tu; ama umiminishi wa hazina/pumzi/mtaji wa shughuli...

Mahitaji ya karibu na muhimu, ukiyaotea, yataelekea kwenye ujenzi/uboreshaji/uendelezaji wa makazi na uzashalishaji wa vyakula, bidhaa za chakula, madawa n.k -- pia mavazi.

Jenga ujuzi wa matumizi ya 'Akili Bandia' ili kuchungua mipangilio ya shughuli na mahitaji ya ujuzi ama/na kujengea ujuzi kwa wadau wa maendeleo--kwa hivyo hili linataka ujiandae kwa ujenzi wa mtandao wa mafundi wa mipango na mameneja wa miradi...

JITAHIDI KUJENGA MTANDAO WA JUHUDI NA UTENDAJI wa kutimiza maono--watu shughuli zao na maendeleo...

Unaweza, humu humu JF, kuibua mawazo, kufanya utunzi/ubunifu wa mbinu-kazi, na basi kuratibu vitendo kwa ajili ya uendelezi wa vipaji na uwezo wa kujisuka kitaasisi--kugema utayari wa wanajamii wenzako wanaoweza kuwa na dhamira na mapenzi ya kuleta mabadiliko katika jamii.

Unahitaji ujuzi na utundu wa kujipangilia na kujisukuma mbele kitaasisi; hili linakutaka uzingatie matumizi bora ya rasilimali zozote zilizopo na tena uwe na ujuzi na upeo kubaini vipaji, ujuzi na umahili wa wengine unaoweza kuwafikia/wakakufikia.

Chukulia kuwa JF inaweza kuwa ni sehemu mojawapo ya wewe kuweza kuwafikia/kuwapata wadau wa utekelezaji wa maono yaliyoko kwako. Livalie njuga hili suala hili, kinamna hii, ili upate wepesi kuibadilisha sura na mwenendo wa jamii yetu kwa 'Hamadi kibindoni...'

Hmmm​
 
Maono mazuri Dennis...

PIA,

Fanya mazoezi ya umodelishi wa viwanda vidogo vidogo halafu viwe ndani ya mtandao wa viwanda vya ukubwa wa kati na ukubwa kabisa halafu ushiriki mawazo.

Japo uadilifu na usanifu wako unajikita kwenye 'kutengeneza fedha na ajira kwa jamii ya Watanzania;, fanya mazoezi ya kuimajinisha sura ya namna ya 'uchumi wa kazi'.

Namna ya kuuona uchumi wa kazi: fikiria namna tofauti ya wanajamii kustawi pasipo dhana za 'fedha ama kujenga ukwasi' bali kujishughulisha kwa ajili ya mahitaji yao ya karibu na muhimu ya kila siku--pesa inaweza kuwa ni matokeo tu; ama umiminishi wa hazina/pumzi/mtaji wa shughuli...

Mahitaji ya karibu na muhimu, ukiyaotea, yataelekea kwenye ujenzi/uboreshaji/uendelezaji wa makazi na ushalishaji wa vyakula, bidhaa za chakula, madawa n.k -- pia mavazi.

Jenga ujuzi wa matumizi ya 'Akili Bandia' ili kuchungua mipangilio ya shughuli na mahitaji ya ujuzi ama/na kujengea ujuzi kwa wadau wa maendeleo--kwa hivyo hili linataka ujiandae kwa ujenzi wa mtandao wa mafundi wa mipango na mameneja wa miradi...

JITAHIDI KUJENGA MTANDAO WA JUHUDI NA UTENDAJI wa kutimiza maono--watu shughuli zao na maendeleo...

Unaweza, humu humu JF, kuibua mawazo, kufanya utunzi/ubunifu wa mbinu-kazi, na basi kuratibu vitendo kwa ajili ya uendelezi wa vipaji na uwezo wa kujisuka kitaasisi--kugema utayari wa wanajamii wenzako wanaoweza kuwa na dhamira na mapenzi ya kuleta mabadiliko katika jamii.

Unahitaji ujuzi na utundu wa kujipangilia na kujisukuma mbele kitaasisi; hili linakutaka uzingatie matumizi bora ya rasilimali zozote zilizopo na tena uwe na ujuzi na upeo kubaini vipaji, ujuzi na umahili wa wengine unaoweza kuwafikia/wakakufikia.

Chukulia kuwa JF inaweza kuwa ni sehemu mojawapo ya wewe kuweza kuwafikia/kuwapata wadau wa utekelezaji wa maono yaliyoko kwako. Livalie njuga hili suala hili, kinamna hii, ili upate wepesi kuibadilisha sura na mwenendo wa jamii yetu kwa 'Hamadi kibindoni...'

Hmmm​
Viwanda vidogo vitakua haraka kama kukiwa na viwanda vya awali mfano kama plastic raw material zitakua zinazalishwa hapa Tanzania itakua ni rahis kutengeneza bidhaa yeyote ya plastic kwa sababu raw material za plastic zipo

Kinachoipa wakati mgumu Tanzania ni raw material zote zinazotakiwa kiwandani tuna-import kutoka nje ya nchi
 
  • Viwanda vya magari
It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy.

Hayo ya viwanda vingine tuwaachie wachina na tununue huko (they are the industry of the World; cha maana let us try to be as sustainable as possible jambo ambalo vitu vidogo tu tunashindwa... Case Study ni sasa hivi tunawapa wana vijiji majiko ya gesi na kununua gesi kutoka nje wakati tuna umeme wa kutosha ambao kila mtanzania anaweza kuzalisha na hata kuuza nje....

Kwahio badala ya viwanda vya magari sijui ndege na ndoto kama hizo tuanze tu kuwauzia Afrika Umeme...

 
Viwanda vidogo vitakua haraka kama kukiwa na viwanda vya awali mfano kama plastic raw material zitakua zinazalishwa hapa Tanzania itakua ni rahis kutengeneza bidhaa yeyote ya plastic kwa sababu raw material za plastic zipo

Kinachoipa wakati mgumu Tanzania ni raw material zote zinazotakiwa kiwandani tuna-import kutoka nje ya nchi
UMEKAZA NIA SANA KWENYE 'UZALISHAJI" na UZALISHAJI MALI' KULIKO WATU WENYEWE

Haudhani hivi?

Mdogo mdogo, fanya mazoezi ya 'Kuwaona watu'--watu na mawezekano; haya ya viwanda unaweza 'kuyaweka kiporo'--ama kuyarudia upya unapokuwa na mwangaza bora... Ama kuyasukuma kama 'mpango wa kando'.

Chochote ukifikiriacho, weka watu kama ndiyo 'Taa na Dira' ya maisha na kujichagulia...

Ulimwengu wa leo hili, hutafundishwa hili 'Shuleni' ama 'Chuoni'--huko sana sana mtu/mwanajamm anaweza kugeuzwa 'mtumika' wa 'mifumo ya mali' na 'uzalishaji mali'....

Hili lina mazuri na mabaya yake wakati mmoja hata mwingine--japo kwa ujumla, SI JAMBO BORA kwa maana hili ni shauri rahisi lenye nasibu ya kutweza 'heshima ya utu wa mtu/mwanajamii'...

Mambo ya 'Mnyonge hana Haki' ni tunda bovu la mfumo wa biashara wa jamii; kuna namna yake ya ubayana wenye kuleta hata muktadha akilifu wa kana kwamba: hata wewe unaweza kuwa 'umeathirika na unyonge' -- ndiyo basi maana ya mapelekeo ya dhana rahisi ya kuibuka na madhumuni ya 'made in Tanzania'... hili lawa ni 'shauri la faraja'/kuwazia Tanzania Imara kwa msingi wa viwanda kama vya 'mabeberu'...

Hakuna ubaya kuhusu kudhamiria 'Ubeberu'; sema huu huja kwa utundu na ujuzi wa kuruhusu mifumo ya 'wenyekuwa nacho' na 'wasio nacho' wakati wote... Ni vema kuwa na akili kama beberu, lakini jiongeze ili kujiangazia mawezekano ya Ujamaa.

Ulimwengu ulipo sasa, Ujamaa unawezakana--unahitaji tu 'wanajamii na taasisi zao' kujiongeza--kujua ilivyobora.

Inawezekana kuthubutu kufikiri tofauti...

Kwa hivyo unaweza kuimarisha upeo na uelewa wako juu ya wanajamii na jamii... Maendeleo ni watu halafu vitu; mtaji mkubwa wa jamii ni 'akili zao' kwa hivyo kadiri unanyoshikiri yale yaliyo ndani ya wanajamii wenyewe 'kujiongeza' basi unakuwa umeonesha njia khasa...

Hmmm
 
It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy.

Hayo ya viwanda vingine tuwaachie wachina na tununue huko (they are the industry of the World; cha maana let us try to be as sustainable as possible jambo ambalo vitu vidogo tu tunashindwa... Case Study ni sasa hivi tunawapa wana vijiji majiko ya gesi na kununua gesi kutoka nje wakati tuna umeme wa kutosha ambao kila mtanzania anaweza kuzalisha na hata kuuza nje....

Kwahio badala ya viwanda vya magari sijui ndege na ndoto kama hizo tuanze tu kuwauzia Afrika Umeme...

Hilo ni wazo lako na una-uhuru wa kufikiri hivyo
Ila kwa kupitia wazo lako ni ngumu sana kuondoka kwenye umaskini
Tanzania ni maskini sana
 
UMEKAZA NIA SANA KWENYE 'UZALISHAJI" na UZALISHAJI MALI' KULIKO WATU WENYEWE

Haudhani hivi?

Mdogo mdogo, fanya mazoezi ya 'Kuwaona watu'--watu na mawezekano; haya ya viwanda unaweza 'kuyaweka kiporo'--ama kuyarudia upya unapokuwa na mwangaza bora... Ama kuyasukuma kama 'mpango wa kando'.

Chochote ukifikiriacho, weka watu kama ndiyo 'Taa na Dira' ya maisha na kujichagulia...

Ulimwengu wa leo hili, hutafundishwa hili 'Shuleni' ama 'Chuoni'--huko sana sana mtu/mwanajamm anaweza kugeuzwa 'mtumika' wa 'mifumo ya mali' na 'uzalishaji mali'....

Hili lina mazuri na mabaya yake wakati mmoja hata mwingine--japo kwa ujumla, SI JAMBO BORA kwa maana hili ni shauri rahisi lenye nasibu ya kutweza 'heshima ya utu wa mtu/mwanajamii'...

Mambo ya 'Mnyonge hana Haki' ni tunda bovu la mfumo wa biashara wa jamii; kuna namna yake ya ubayana wenye kuleta hata muktadha akilifu wa kana kwamba: hata wewe unaweza kuwa 'umeathirika na unyonge' -- ndiyo basi maana ya mapelekeo ya dhana rahisi ya kuibuka na madhumuni ya 'made in Tanzania'... hili lawa ni 'shauri la faraja'/kuwazia Tanzania Imara kwa msingi wa viwanda kama vya 'mabeberu'...

Hakuna ubaya kuhusu kudhamiria 'Ubeberu'; sema huu huja kwa utundu na ujuzi wa kuruhusu mifumo ya 'wenyekuwa nacho' na 'wasio nacho' wakati wote... Ni vema kuwa na akili kama beberu, lakini jiongeze ili kujiangazia mawezekano ya Ujamaa.

Ulimwengu ulipo sasa, Ujamaa unawezakana--unahitaji tu 'wanajamii na taasisi zao' kujiongeza--kujua ilivyobora.

Inawezekana kuthubutu kufikiri tofauti...

Kwa hivyo unaweza kuimarisha upeo na uelewa wako juu ya wanajamii na jamii... Maendeleo ni watu halafu vitu; mtaji mkubwa wa jamii ni 'akili zao' kwa hivyo kadiri unanyoshikiri yale yaliyo ndani ya wanajamii wenyewe 'kujiongeza' basi unakuwa umeonesha njia khasa...

Hmmm
Hivyo viwanda labda una-uelewa navyo ila ungekua na uelewa navyo usingeongea ulichoongea

Viwanda vyote hivyo vitagusa watu kwa asilimia mia moja sababu hata mtu wa kawaida anaweza fungua kiwanda sababu raw material zitakua nyingi na zinapatikana hapa hapa na sio kama sahivi raw material zinatoka nje ya nchi
 
Ni wazo zuri, ila matatizo mengi katika nchi za kiafrica yanafanana. Kabla hatujaenda mbali, ni nchi zipi za kiafrika zimefanikiwa kwenye hilo?​
 
Hilo ni wazo lako na una-uhuru wa kufikiri hivyo
Ila kwa kupitia wazo lako ni ngumu sana kuondoka kwenye umaskini
Tanzania ni maskini sana
Haya ya kwanza sio maneno yangu ni maneno aliyosema Adam Smith the father of Modern Economy..., kwamba sio busara kujaribu kutengeneza kitu kwa gharama wakati unaweza kukinunua kwa bei nafuu..., ndio maana niweka magari (kutengeneza magari hata nchi kama UK zimeshindwa na kuacha kutokana na comparative advantages walizonazo nchi nyingine) na hata mkisema mfanye assembling plant ya magari kama Toyota ili yaweze kuuzwa East Africa nadhani nchi zilizotuzunguka zipo more poised kufanya hivyo (South Africa being one)

Haya ya pili nikakuonyesha jambo dogo tu kama la ku-assemble majiko ya umeme na kushusha umeme ili watu wapikie (soko / uhitaji /need) ipo kubwa tu wala hatufanyi hivyo na tunauza product ambayo kuna alternative lakini tunaagiza kutoka nje...

In short kuusu viwanda vya kama nguo sio kwamba havipo..., ila quality na production costs as well as cultural / fashion watu wananunua mitumba (cheaper and more quality) than anything which can be manufactured by the likes of Mwatex et al....
 
Haya ya kwanza sio maneno yangu ni maneno aliyosema Adam Smith the father of Modern Economy..., kwamba sio busara kujaribu kutengeneza kitu kwa gharama wakati unaweza kukinunua kwa bei nafuu..., ndio maana niweka magari (kutengeneza magari hata nchi kama UK zimeshindwa na kuacha kutokana na comparative advantages walizonazo nchi nyingine) na hata mkisema mfanye assembling plant ya magari kama Toyota ili yaweze kuuzwa East Africa nadhani nchi zilizotuzunguka zipo more poised kufanya hivyo (South Africa being one)

Haya ya pili nikakuonyesha jambo dogo tu kama la ku-assemble majiko ya umeme na kushusha umeme ili watu wapikie (soko / uhitaji /need) ipo kubwa tu wala hatufanyi hivyo na tunauza product ambayo kuna alternative lakini tunaagiza kutoka nje...

In short kuusu viwanda vya kama nguo sio kwamba havipo..., ila quality na production costs as well as cultural / fashion watu wananunua mitumba (cheaper and more quality) than anything which can be manufactured by the likes of Mwatex et al....
Viwanda vya nguo Tanzania sababu hatuna msingi wa viwanda
Mfano hatuna viwanda vikubwa vya spinning ambavyo vitakua vinatengeneza nyuzi (yarn) both za kisasa na za asili zitokanazo na cotton

Tungekua na viwanda imara vya nguo watu wasingeenda china

Ili utengeneze majiko unahitaji uweze kununua steel au chuma kwa bei nafuu sasa Tanzania hatuna smelter za pog iron, aluminium na copper
Matokeo yake chuma (steel) aluminium na copper tunaagiza nje mwisho wa siku gharama za kutengeneza bidhaa jamii ya steel au aluminium zinakua juu matokeo yake hatuwezi shindana na wazalishaji wa nje
Ndo maana kwenye post yangu ya kwanza kuna proposal naandika ya kutengeneza
Pig iron smelter
Aluminium smelter
Copper smelter
Spinning plant
Na nyinginezo
 
Back
Top Bottom