Made in Tanzania

Made in Tanzania

Viwanda vya nguo Tanzania sababu hatuna msingi wa viwanda
Mfano hatuna viwanda vikubwa vya spinning ambavyo vitakua vinatengeneza nyuzi (yarn) both za kisasa na za asili zitokanazo na cotton
Hatuna viwanda vya kutengeneza nyuzi ? As far as nguo are concerned moja ni gharama za uzalishaji hivyo bei kuwa kubwa mbili its all about marketing..., Hata hizo Nike unazovaa ingawa ni American Company ila zinatengenezwa India sababu ni cheaper kuzitengeneza huko..., Kwahio binafsi hapa kuna mawili kama tunaweza kuzalisha nguo na kujivisha cheaply kuliko kununua nje tufanye hivyo ila kama gharama ni ndogo basi tununue kwenye gharama ndogo na tujikite kwenye mengine ambayo we can do it cheaply....
Tungekua na viwanda imara vya nguo watu wasingeenda china
Watu wanakwenda China sababu ni cheaper na sio sisi tu dunia nzima wanakwenda China..., pili watu wanakwenda USA na pengine sababu ya marketing na Brand wanavaa kina Nike Adidas na Calvin Klein sababu ya marketing na branding...., kwahio kuondoa hilo inabidi kubadilisha mentality ya watu...
Ili utengeneze majiko unahitaji uweze kununua steel au chuma kwa bei nafuu sasa Tanzania hatuna smelter za pog iron, aluminium na copper
Matokeo yake chuma (steel) aluminium na copper tunaagiza nje mwisho wa siku gharama za kutengeneza bidhaa jamii ya steel au aluminium zinakua juu matokeo yake hatuwezi shindana na wazalishaji wa nje
Kwenye mfano wangu nilisema tunaweza kufanya hata assembling au kuingia hata PPP's na wazalishaji wakubwa kutoka huko whichever is cheaper..., sometimes kama soko lako sio kubwa kunakuwa hakuna economical sense ya kufanya kila kitu.., China wanaweza kufanya mengi sababu wanauzia Dunia nzima hivyo economy of scale hata wakiuza peanuts faida ndogo ndogo nyingi inazaa faida kubwa...
Ndo maana kwenye post yangu ya kwanza kuna proposal naandika ya kutengeneza
Pig iron smelter
Aluminium smelter
Copper smelter
Spinning plant
Na nyinginezo
Sina shida na kufanya lolote ila ninachosema cha kufanya tufanye tu kama tunaweza kukifanya kwa ubora na gharama ndogo kuliko vinginevyo....
 
Hatuna viwanda vya kutengeneza nyuzi ? As far as nguo are concerned moja ni gharama za uzalishaji hivyo bei kuwa kubwa mbili its all about marketing..., Hata hizo Nike unazovaa ingawa ni American Company ila zinatengenezwa India sababu ni cheaper kuzitengeneza huko..., Kwahio binafsi hapa kuna mawili kama tunaweza kuzalisha nguo na kujivisha cheaply kuliko kununua nje tufanye hivyo ila kama gharama ni ndogo basi tununue kwenye gharama ndogo na tujikite kwenye mengine ambayo we can do it cheaply....

Watu wanakwenda China sababu ni cheaper na sio sisi tu dunia nzima wanakwenda China..., pili watu wanakwenda USA na pengine sababu ya marketing na Brand wanavaa kina Nike Adidas na Calvin Klein sababu ya marketing na branding...., kwahio kuondoa hilo inabidi kubadilisha mentality ya watu...

Kwenye mfano wangu nilisema tunaweza kufanya hata assembling au kuingia hata PPP's na wazalishaji wakubwa kutoka huko whichever is cheaper..., sometimes kama soko lako sio kubwa kunakuwa hakuna economical sense ya kufanya kila kitu.., China wanaweza kufanya mengi sababu wanauzia Dunia nzima hivyo economy of scale hata wakiuza peanuts faida ndogo ndogo nyingi inazaa faida kubwa...

Sina shida na kufanya lolote ila ninachosema cha kufanya tufanye tu kama tunaweza kukifanya kwa ubora na gharama ndogo kuliko vinginevyo....
Swala sio kukubali kirahisi kwenda china
Unaondoaje huu umaskini ulio-tamalaki nchi nzima
Njia mojawapo ni kupitia viwanda
Njia nyingine ni kupitia rasilimali sisi kama nchi hatuna rasilimali za kutosha za kuondoa umaskini
 
A
Maono mazuri Dennis...

PIA,

Fanya mazoezi ya umodelishi wa viwanda vidogo vidogo halafu viwe ndani ya mtandao wa viwanda vya 'ukubwa wa kati' na 'ukubwa kabisa' halafu ushiriki mawazo.

Japo uadilifu na usanifu wako unajikita kwenye 'kutengeneza fedha na ajira kwa jamii ya Watanzania fanya mazoezi ya kuimajinisha sura ya namna ya 'uchumi wa kazi'.

Namna ya kuuona uchumi wa kazi: fikiria namna tofauti ya wanajamii kustawi pasipo dhana khasa za 'fedha ama kujenga ukwasi' bali kujishughulisha kwa ajili ya mahitaji yao ya karibu na muhimu ya kila siku--pesa inaweza kuwa ni matokeo tu; ama umiminishi wa hazina/pumzi/mtaji wa shughuli...

Mahitaji ya karibu na muhimu, ukiyaotea, yataelekea kwenye ujenzi/uboreshaji/uendelezaji wa makazi na uzashalishaji wa vyakula, bidhaa za chakula, madawa n.k -- pia mavazi.

Jenga ujuzi wa matumizi ya 'Akili Bandia' ili kuchungua mipangilio ya shughuli na mahitaji ya ujuzi ama/na kujengea ujuzi kwa wadau wa maendeleo--kwa hivyo hili linataka ujiandae kwa ujenzi wa mtandao wa mafundi wa mipango na mameneja wa miradi...

JITAHIDI KUJENGA MTANDAO WA JUHUDI NA UTENDAJI wa kutimiza maono--watu shughuli zao na maendeleo...

Unaweza, humu humu JF, kuibua mawazo, kufanya utunzi/ubunifu wa mbinu-kazi, na basi kuratibu vitendo kwa ajili ya uendelezi wa vipaji na uwezo wa kujisuka kitaasisi--kugema utayari wa wanajamii wenzako wanaoweza kuwa na dhamira na mapenzi ya kuleta mabadiliko katika jamii.

Unahitaji ujuzi na utundu wa kujipangilia na kujisukuma mbele kitaasisi; hili linakutaka uzingatie matumizi bora ya rasilimali zozote zilizopo na tena uwe na ujuzi na upeo kubaini vipaji, ujuzi na umahili wa wengine unaoweza kuwafikia/wakakufikia.

Chukulia kuwa JF inaweza kuwa ni sehemu mojawapo ya wewe kuweza kuwafikia/kuwapata wadau wa utekelezaji wa maono yaliyoko kwako. Livalie njuga hili suala hili, kinamna hii, ili upate wepesi kuibadilisha sura na mwenendo wa jamii yetu kwa 'Hamadi kibindoni...'

Hmmm​
Akili mnemba hii
 
Swala sio kukubali kirahisi kwenda china
Unaondoaje huu umaskini ulio-tamalaki nchi nzima
Njia mojawapo ni kupitia viwanda
Njia nyingine ni kupitia rasilimali sisi kama nchi hatuna rasilimali za kutosha za kuondoa umaskini
Tumekuwa na bahati tupo wakati wa Technological Revolution (Manufacturing sio rahisi hususan sasa hivi Competition kutoka China; thus tusifanye sababu tu ya kufanya tufanye iwapo kuna advantage and we can do it cheaper than alternative) ndio maana hata wengine wamenyanyua mikono; sasa cha maana ni kuangalia hili basi la teknolojia lisitupite vilevile tuwe self reliant na tuwe na sustainability.., hapo ndio pa kuanzia sababu being a developing country na since wapanga bei ni developed country ni ngumu sana kudhani hata tukitoa products kosher tutapewa value for money...

After all do we need mataifa ya nje ku provide basic needs kwa wananchi wetu ?
 
Tumekuwa na bahati tupo wakati wa Technological Revolution (Manufacturing sio rahisi hususan sasa hivi Competition kutoka China; thus tusifanye sababu tu ya kufanya tufanye iwapo kuna advantage and we can do it cheaper than alternative) ndio maana hata wengine wamenyanyua mikono; sasa cha maana ni kuangalia hili basi la teknolojia lisitupite vilevile tuwe self reliant na tuwe na sustainability.., hapo ndio pa kuanzia sababu being a developing country na since wapanga bei ni developed country ni ngumu sana kudhani hata tukitoa products kosher tutapewa value for money...

After all do we need mataifa ya nje ku provide basic needs kwa wananchi wetu ?
Hakuna kitu kirahis kwenye hii dunia
Ndo maana miaka 60+tumeshindwa kuondoa umaskini

Bei ya bidhaa za mtumiaji wa mwisho inategemea na cost of production za mahali husika sio kweli watu wanapanga bei

Kwenye jambo lolote linalohusu kuendelea kunahitaji sacrifice kubwa sana
Changamoto yakwako kila jambo unaona haliwezekani bahati mbaya ndo fikra ambazo viongozi wote wa afrika wanazo
 
Hakuna kitu kirahis kwenye hii dunia
Ndo maana miaka 60+tumeshindwa kuondoa umaskini
Hakuna kitu kigumu bali ni complications zisizo na mpango, huwezi kupanda mchicha ukavuna bangi..., Na ninaposema ugumu na urahisi katika manufacturing ukitaka kushindana na China ni ngumu sababu wana advantage ya economy of scale kwa sasa hivyo ni vigumu kushindana nao pricewise....., na hizo so called developed countries nyingi zimefika hapo kwa kufanya faulo.., by the way definition ya Umasikini inabidi uipitie vizuri sababu on paper India ni moja ya nchi zenye uchumi mkubwa ila ukienda ground ni moja ya nchi yenye mafukara wa kutupwa..., its all about sustainability na ili uwe sustainable kwanza uangalie jinsi ya kuweza kuwalisha watu wako na kuwapa basic needs na sio kukesha unakimbizana na dollar ili ununue bidhaa ambazo unaambiwa ni bora na za kwako hazina ubora..., yaani kuanzia asubuhi hadi usiku unawaza jinsi ya kulisha mataifa ya nje na sio jinsi gani watu wako watashiba....
Bei ya bidhaa za mtumiaji wa mwisho inategemea na cost of production za mahali husika sio kweli watu wanapanga bei

Kwenye jambo lolote linalohusu kuendelea kunahitaji sacrifice kubwa sana
Changamoto yakwako kila jambo unaona haliwezekani bahati mbaya ndo fikra ambazo viongozi wote wa afrika wanazo
Nani kasema mambo hayawezekani ? Wewe wakati unawaza kutengeneza magari sijui kuuzia soko gani la nje au ndani na kama la ndani pekee ni kwamba utakachouza wala hakitakidhi kulipa wafanyakazi let alone to break even..., mimi ninawaza kuanzia kidogo kidogo na kuwa self reliant bila kutegemea Hisani au dollar ya mtu wa nje ili kuweza kuishi..., vilevile kwanini tusumbuke kila tunapolima Korosho soko la dunia litasemaje ili tuweze kuuza wakati watu tuna matumbo na kurosho ni tamu na kila mtu anataka kula...

By the way unaongelea kupanga bei ? Jiulize mfano Diamond ni nani anayeweza kucheza na bei yake zaidi ya De Beers.... yaani wewe ukigundua mgodi leo wanaweza wakaflush the market na diamond ikashuka bei na wewe kushindwa kuuza....

Au muulize Nyerere kuna kipindi alivyoona pamba ni earner mkubwa wa dollar akafanya jitihada kuongeza uzalishaji double..., lakini punde si punde kipindi cha mauzo Pamba ikashuka half price..., ukiweka na kuanzia mafuta, mbolea n.k. ambayo tulinunua kutoka nje mwisho wa siku ilikuwa ni Hasara.....

 
Hakuna kitu kigumu bali ni complications zisizo na mpango, huwezi kupanda mchicha ukavuna bangi..., Na ninaposema ugumu na urahisi katika manufacturing ukitaka kushindana na China ni ngumu sababu wana advantage ya economy of scale kwa sasa hivyo ni vigumu kushindana nao pricewise....., na hizo so called developed countries nyingi zimefika hapo kwa kufanya faulo.., by the way definition ya Umasikini inabidi uipitie vizuri sababu on paper India ni moja ya nchi zenye uchumi mkubwa ila ukienda ground ni moja ya nchi yenye mafukara wa kutupwa..., its all about sustainability na ili uwe sustainable kwanza uangalie jinsi ya kuweza kuwalisha watu wako na kuwapa basic needs na sio kukesha unakimbizana na dollar ili ununue bidhaa ambazo unaambiwa ni bora na za kwako hazina ubora..., yaani kuanzia asubuhi hadi usiku unawaza jinsi ya kulisha mataifa ya nje na sio jinsi gani watu wako watashiba....

Nani kasema mambo hayawezekani ? Wewe wakati unawaza kutengeneza magari sijui kuuzia soko gani la nje au ndani na kama la ndani pekee ni kwamba utakachouza wala hakitakidhi kulipa wafanyakazi let alone to break even..., mimi ninawaza kuanzia kidogo kidogo na kuwa self reliant bila kutegemea Hisani au dollar ya mtu wa nje ili kuweza kuishi..., vilevile kwanini tusumbuke kila tunapolima Korosho soko la dunia litasemaje ili tuweze kuuza wakati watu tuna matumbo na kurosho ni tamu na kila mtu anataka kula...

By the way unaongelea kupanga bei ? Jiulize mfano Diamond ni nani anayeweza kucheza na bei yake zaidi ya De Beers.... yaani wewe ukigundua mgodi leo wanaweza wakaflush the market na diamond ikashuka bei na wewe kushindwa kuuza....

Au muulize Nyerere kuna kipindi alivyoona pamba ni earner mkubwa wa dollar akafanya jitihada kuongeza uzalishaji double..., lakini punde si punde kipindi cha mauzo Pamba ikashuka half price..., ukiweka na kuanzia mafuta, mbolea n.k. ambayo tulinunua kutoka nje mwisho wa siku ilikuwa ni Hasara.....

HAkuna jambo halina complication
Jambo lolote lenye kuhusu maslai ni gumu hakuna atakayekuruhusu upate hayo maslai yeye anayoyapata

Sababu mwenzako alifeli jambo flani kusikufanye uogope kufanya jambo hilo alilofeli

Nilichokuona unaogopa changamoto au challenge usiziogope hizo ni sehemu za maisha

Unaweza fanikiwa bila changamoto yeyote ile ila usipotumia nguvu kubwa kulinda mafanikio yanaondoka na utagundua nguvu ya kuyalinda mafanikio ni kubwa kuliko hata ile ya kuyatafuta ndo maisha yako hivyo
 
HAkuna jambo halina complication
Jambo lolote lenye kuhusu maslai ni gumu hakuna atakayekuruhusu upate hayo maslai yeye anayoyapata

Sababu mwenzako alifeli jambo flani kusikufanye uogope kufanya jambo hilo alilofeli

Nilichokuona unaogopa changamoto au challenge usiziogope hizo ni sehemu za maisha

Unaweza fanikiwa bila changamoto yeyote ile ila usipotumia nguvu kubwa kulinda mafanikio yanaondoka na utagundua nguvu ya kuyalinda mafanikio ni kubwa kuliko hata ile ya kuyatafuta ndo maisha yako hivyo
Aisee naona nasema hiki wewe unasema kile tunazunguka tu..., Kuna sehemu nimesema tusifanye ? Nimekwambia kuanzia mwanzo itakuwa ni upuuzi kufanya jambo ambalo unaweza kulinunua kwa gharama nafuu kuliko kufanya ukaendelea kulifanya..., na moja ya jambo hilo ni viwanda vya magari.....; Hata Toyota angekuwa anategemea soko la Japan peke yake angeshafunga kiwanda....; Na hata yeye alishatoka huko kwenye kufanya kila kitu Inhouse na kufanya oursourcing pamoja na Just in Time Production (Kanban)
 
Aisee naona nasema hiki wewe unasema kile tunazunguka tu..., Kuna sehemu nimesema tusifanye ? Nimekwambia kuanzia mwanzo itakuwa ni upuuzi kufanya jambo ambalo unaweza kulinunua kwa gharama nafuu kuliko kufanya ukaendelea kulifanya..., na moja ya jambo hilo ni viwanda vya magari.....; Hata Toyota angekuwa anategemea soko la Japan peke yake angeshafunga kiwanda....; Na hata yeye alishatoka huko kwenye kufanya kila kitu Inhouse na kufanya oursourcing pamoja na Just in Time Production (Kanban)
Kama unaona ni upuuzi kuingia gharama kubwa leo ila ikakusaidia baadae basi unasafari ndefu sana kifikra

Changamoto kubwa sana ya waafrika tunapenda shortcut tunashindwa kuelewa vitu vizuri vinagharama
Mfano sahivi zaidi ya asilimia 90 ya bidhaa tunazotumia zinatoka nje ya nchi wewe unaona tuendelee hivi hivi kwa sababu tu kuagiza nje ni rahisi
 
Kama unaona ni upuuzi kuingia gharama kubwa leo ila ikakusaidia baadae basi unasafari ndefu sana kifikra
Naanza kupata mashaka na uelewa wako...., naruadia tena haya maneno...
It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy.

Sasa ebu niambie tuna comparative advantage gani ya kutengeneza magari kwa sasa hivi, hiki ndio kipaumbele ? Ngoja nikupe mfano halisi..., Rover iliyopo Birmingham ilikuwa inapata hasara za kufa mtu hadi wakaiuza kwa Pound Moja.., BMW ilinunua Rover ila bado wakawa wanatenegeneza kila siku wanakula hasara hadi ikafika wakati serikali inawapa ruzuku ili wasihamishe kiwanda sababu ajira zingepotea ila mwisho wa siku wakashindwa nadhani hata wao waliiuza na mpaka kuna wakati TATA ya India ikawanunua....

Moral of the story sio kila kitu ni cha kufanya unafanya yale ambayo una uhakika wa soko la uhakika na unaweza kuyafanya kwa urahisi zaidi..., tena kipindi hiki cha corporations unaweza ukaingia UBIA na Kampuni kubwa ambayo tayari ina soko na experience hata walete huku ufanye assembly..., atleast in doing so unaweza ukawaconvince kwamba badala ya kuleta huku wewe utakuwa una supply kanda ya huku....

Changamoto kubwa sana ya waafrika tunapenda shortcut tunashindwa kuelewa vitu vizuri vinagharama
Na kutokujua vitu vizuri ndio upofu wa hali ya juu..., na kujua huko inabidi ufanye opportunity cost ili kufahamu ufanye nini na kwa wakati gani..., kabla haujawaza kutengeneza na kuuzia wa mbali kwanza waza kutengeneza hata kuwalisha waliokuzunguka
Mfano sahivi zaidi ya asilimia 90 ya bidhaa tunazotumia zinatoka nje ya nchi wewe unaona tuendelee hivi hivi kwa sababu tu kuagiza nje ni rahisi
Na hayo nimesema wapi ? Nimeanza kabisa kuanzia mwanzo kusema wakati huu kuna pesa za bure za Nishati Safi ya Umeme kwanini tusitumie umeme kupikia na hata kufanyia assembly majiko hapahapa kuliko kuendelea kutumia LPG tunayoagiza kutoka nje....

Yaani hapo soko tayari lipo, Umeme upo na Assembly za majiko wala sio jambo geni kuna kipindi kulikuwa na Majiko ya Sahara yanakuwa assembled Mwanza.... All the pieces are here...

Ila kama tunaweza kupata hayo majiko kwa sumni wakati sisi uwezo wetu ni kutengeneza kwa Tshs 5 itakuwa ni Ujuha kuyatengeneza sisi badala ya kununua...
 
Hivyo viwanda labda una-uelewa navyo ila ungekua na uelewa navyo usingeongea ulichoongea

Viwanda vyote hivyo vitagusa watu kwa asilimia mia moja sababu hata mtu wa kawaida anaweza fungua kiwanda sababu raw material zitakua nyingi na zinapatikana hapa hapa na sio kama sahivi raw material zinatoka nje ya nchi
SI KILA MWANAJAMII ANA NDOTO YA KUWA NA KIWANDA

... Iwe kidogo ama Kikubwa.

Mali ghafi ni 'rasilimali' -- ikiwa unafikiria 'Maendeleo ya Kweli ya Watu' ni vema kufahamu, ili kujisimamia na kujiendesha kiutendaji daima lipo hitaji la kulandanisha 'uhitaji' na 'uzalishaji mali/Utoaji huduma' katika jamii yenye mseto wa watu/wanajamii wenye urazini...

Urazini maana yake mwenendo wa kiakili katika kujiuliza uliza maswali na kujijibu wewe mwenyewe; ambavyo ndiyo asili ya 'mwangaza wa utu bora' na 'elimu' na 'Utashi'.

'Mwangaza wa utu bora' na 'elimu' ndiyo kitovu cha 'ufanyaji maamuzi' na basi 'KUJICHAGULIA'...

Maisha ni Kujichagulia...

Katika sura pana mambo viwanda ni shughuli ya tija katika kuleta wepesi wa kimaisha, kuishi na uisho.

Je, tunaishi Duniani kwa kusudi makusudi yepi labda?

Hichi ni kitendawili, kila mtu atafutie jawabu lake la kumfaa...

Dhana ya 'Kugusa watu asilimia mia moja', inapokuja kwenye muingiliano wa shauri la 'ulukuki wa viwanda', ni shauri la juu juu sana kuhusu ukweli na ufasaha wa mambo... Pasipo uono mifumo, ni kukosa vina vya tafsiri kwa mashauri ya USHAWISHI na KUJICHAGULIA.

Wakati unaweza kudhani jamii inashida na 'rasilimali hii ama ile; ukweli wa mambo unaweza ikawa ni kwamba: jamii yenyewe imekosa 'Uimajinishi' ama/na "Upendo' katika ushirika wake wa kimaisha, kuishi na muisho--hata kwa hivyo 'vichache vilivyopo'.

Uimajinishi na Upendo ndiyo viwili vinavyotangamanisha Urazini na Nia; Upendo hudhamiria Uhuru/Liberti, Uzima na Udhamirifu wa furaha. Watu wenye kushiriki 'Upendo' hutumikiana--kutumikiana ndiyo nasibu ya shughuli za uzalishajimali ama/na utoaji wa huduma.

Upendo, kupitia uimajinishi, ndiyo huleta ubunifu kwa ajili ya kurahisishiana maisha miongoni mwa wanajamii; kila mtu mwenye moyo na mapendo anayo akili yenye urazini kwenye kuazimia 'Ushirika' katika makusudi ya mapenzi mema kwa jamii yake.

Kwa hivyo dhana ya kudai: 'Uelewa wa hivyo viwanda...' labda kudhani mwingine aliyekatika masikilizano 'hana uelewa' inaweza tu kuwa 'ubinafsi' wa kujidhania unaimajinishi ambao wengine hawana--jambo ambalo kiufundi ni ubatili wa kimawazo na kujiwazia utu; Ama tuseme, 'halihusu/halihusiki...' Badala ya nidhamu/utabia huu, ingalikuwa ni bora 'kushiriki tu fikra ama wazo' moja kwa moja na kuruhusu urutubishaji wa mawazo/mafikara.

Ni jambo lenye kheri kushiriki 'uimajinishi wa kimawazo na wengine' huku ukitambua fika, kila mtu anaouwezo wa kuimajini--labda awe amedanganyika/hadaika kudhani yeye ni 'kilaza'; Sasa si 'tabia njema/adabu njema' kuwadhania watu wengine, watu wengine nje ya mtu mmoja na kule kujiwazia utu binafsi, kuwa ni 'mbulula'--mbulula ila wewe fulani bin fulani ndiyo unayosuluhu mujaribu; kwa kuwa hili linaweza kuwa 'pepo la ujivuni' na kujiinua...

KUJISHUSHA kuna manufaa yake ili jitihada binafsi zipate baraka za kimaisha, kuishi na uisho.

Tanzania kwa mfano, ni taifa la watu wenye kujengewa misingi ya Utu bora kwa ajili ya Maendeleo ya Taifa lenyewe la Watanzania.

Kila mwanajamii wa taifa hili 'si mbulula', na wala si 'kondoo wa matoleo' kwa ajili ya wachache wanaodhani wanacho cha kujua khasa na hali wengine wawe ni wasindikizaji; ndiyo kuna muktadha wa 'mioyo iliyovunjika' lakini hili lisiwe sababu ya nasibu ya wachache kudhani 'Unyonge wa Wanajamii' ni kwa kuwa 'wanaakili ndogo/vilaza'... Kwa kuwa dharau, ukosefu wa tumaini na upendo ni mambo yanayotulazimu kuuwasha 'Mwenge wa Uhuru' kwa ajili taifa katika kujijenga/mabadilikoni.

Kwa hivyo ni vema kujitahidi kuelewa tofauti na maendeleo kwa mipango shirikishi badala ya mipango kwa urazini shindilifu wa wachache ama fulani wa kidhania yeye ni kinara wa mawazo...

Dennis, tumia muda kujijenga na maarifa ya mipango--mipango ya maendeleo ya jamii... Udhanifu wako wa nguvu ya viwanda ni seti ndogo ya ujuzi wa kusuka mipango ya maendeleo ya jamii.

Sema, kudhania viwanda ni 'mpango mzima' ni shauri lililo na muktadha akilifu wenye kufanana kabisa na kile wenye kuzungumza kwa lugha kiingereza hutaja kama 'Comprehensive Rational Planning'; jambo hili daima linachangamoto zake za kisera na mapengo katika uwezo wa kiutekelezaji wake kulingana na taasisi za umma na mifumo iliyopo.

Japo bado 'Unajitafuta'; kwa kuwa bado hauoneshi maarifa na utambuzi kuhusiana na 'masuala ya hali halisi' ya kusuasua kwa maendeleo mjini na vijijini... Inakuhitaji sana sana uwe na maarifa ya taasisi za maendeleo ya umma na mifumo. Labda wakati mmoja unaweza kuja kung'amua, nchi ama taifa husogea kimaendeleo kwa nguvu ya Utaasisi na kujipanga--watu wengi, wenye ujuzi na uweledi tofauti tofauti, kusimama kama chombo hai kimoja...

Viwanda na Maendeleo huandamana na changamoto nyingi za kiutawala na usimamizi wa maendeleo kutokana na watu walengwa na mazingira yao wakati mmoja hata mwingine--iwe mjini ama vijijini. Usipokuwa na Uzingatiaji wa 'Mazingira hayo' ya jamii za vijijini na kijijini basi ujue fika, suala la maendeleo kwa nguvu ya viwanda linamashauri yasiyo na mashiko ya ubayana wa mambo...​
 
SI KILA MWANAJAMII ANA NDOTO YA KUWA NA KIWANDA

... Iwe kidogo ama Kikubwa.

Mali ghafi ni 'rasilimali' -- ikiwa unafikiria 'Maendeleo ya Kweli ya Watu' ni vema kufahamu, ili kujisimamia na kujiendesha kiutendaji daima lipo hitaji la kulandanisha 'uhitaji' na 'uzalishaji mali/Utoaji huduma' katika jamii yenye mseto wa watu/wanajamii wenye urazini...

Urazini maana yake mwenendo wa kiakili katika kujiuliza uliza maswali na kujijibu wewe mwenyewe; ambavyo ndiyo asili ya 'mwangaza wa utu bora' na 'elimu' na 'Utashi'.

'Mwangaza wa utu bora' na 'elimu' ndiyo kitovu cha 'ufanyaji maamuzi' na basi 'KUJICHAGULIA'...

Maisha ni Kujichagulia...

Katika sura pana mambo viwanda ni shughuli ya tija katika kuleta wepesi wa kimaisha, kuishi na uisho.

Je, tunaishi Duniani kwa kusudi makusudi yepi labda?

Hichi ni kitendawili, kila mtu atafutie jawabu lake la kumfaa...

Dhana ya 'Kugusa watu asilimia mia moja', inapokuja kwenye muingiliano wa shauri la 'ulukuki wa viwanda', ni shauri la juu juu sana kuhusu ukweli na ufasaha wa mambo... Pasipo uono mifumo, ni kukosa vina vya tafsiri kwa mashauri ya USHAWISHI na KUJICHAGULIA.

Wakati unaweza kudhani jamii inashida na 'rasilimali hii ama ile; ukweli wa mambo unaweza ikawa ni kwamba: jamii yenyewe imekosa 'Uimajinishi' ama/na "Upendo' katika ushirika wake wa kimaisha, kuishi na muisho--hata kwa hivyo 'vichache vilivyopo'.

Uimajinishi na Upendo ndiyo viwili vinavyotangamanisha Urazini na Nia; Upendo hudhamiria Uhuru/Liberti, Uzima na Udhamirifu wa furaha. Watu wenye kushiriki 'Upendo' hutumikiana--kutumikiana ndiyo nasibu ya shughuli za uzalishajimali ama/na utoaji wa huduma.

Upendo, kupitia uimajinishi, ndiyo huleta ubunifu kwa ajili ya kurahisishiana maisha miongoni mwa wanajamii; kila mtu mwenye moyo na mapendo anayo akili yenye urazini kwenye kuazimia 'Ushirika' katika makusudi ya mapenzi mema kwa jamii yake.

Kwa hivyo dhana ya kudai: 'Uelewa wa hivyo viwanda...' labda kudhani mwingine aliyekatika masikilizano 'hana uelewa' inaweza tu kuwa 'ubinafsi' wa kujidhania unaimajinishi ambao wengine hawana--jambo ambalo kiufundi ni ubatili wa kimawazo na kujiwazia utu; Ama tuseme, 'halihusu/halihusiki...' Badala ya nidhamu/utabia huu, ingalikuwa ni bora 'kushiriki tu fikra ama wazo' moja kwa moja na kuruhusu urutubishaji wa mawazo/mafikara.

Ni jambo lenye kheri kushiriki 'uimajinishi wa kimawazo na wengine' huku ukitambua fika, kila mtu anaouwezo wa kuimajini--labda awe amedanganyika/hadaika kudhani yeye ni 'kilaza'; Sasa si 'tabia njema/adabu njema' kuwadhania watu wengine, watu wengine nje ya mtu mmoja na kule kujiwazia utu binafsi, kuwa ni 'mbulula'--mbulula ila wewe fulani bin fulani ndiyo unayosuluhu mujaribu; kwa kuwa hili linaweza kuwa 'pepo la ujivuni' na kujiinua...

KUJISHUSHA kuna manufaa yake ili jitihada binafsi zipate baraka za kimaisha, kuishi na uisho.

Tanzania kwa mfano, ni taifa la watu wenye kujengewa misingi ya Utu bora kwa ajili ya Maendeleo ya Taifa lenyewe la Watanzania.

Kila mwanajamii wa taifa hili 'si mbulula', na wala si 'kondoo wa matoleo' kwa ajili ya wachache wanaodhani wanacho cha kujua khasa na hali wengine wawe ni wasindikizaji; ndiyo kuna muktadha wa 'mioyo iliyovunjika' lakini hili lisiwe sababu ya nasibu ya wachache kudhani 'Unyonge wa Wanajamii' ni kwa kuwa 'wanaakili ndogo/vilaza'... Kwa kuwa dharau, ukosefu wa tumaini na upendo ni mambo yanayotulazimu kuuwasha 'Mwenge wa Uhuru' kwa ajili taifa katika kujijenga/mabadilikoni.

Kwa hivyo ni vema kujitahidi kuelewa tofauti na maendeleo kwa mipango shirikishi badala ya mipango kwa urazini shindilifu wa wachache ama fulani wa kidhania yeye ni kinara wa mawazo...

Dennis, tumia muda kujijenga na maarifa ya mipango--mipango ya maendeleo ya jamii... Udhanifu wako wa nguvu ya viwanda ni seti ndogo ya ujuzi wa kusuka mipango ya maendeleo ya jamii.

Sema, kudhania viwanda ni 'mpango mzima' ni shauri lililo na muktadha akilifu wenye kufanana kabisa na kile wenye kuzungumza kwa lugha kiingereza hutaja kama 'Comprehensive Rational Planning'; jambo hili daima linachangamoto zake za kisera na mapengo katika uwezo wa kiutekelezaji wake kulingana na taasisi za umma na mifumo iliyopo.

Japo bado 'Unajitafuta'; kwa kuwa bado hauoneshi maarifa na utambuzi kuhusiana na 'masuala ya hali halisi' ya kusuasua kwa maendeleo mjini na vijijini... Inakuhitaji sana sana uwe na maarifa ya taasisi za maendeleo ya umma na mifumo. Labda wakati mmoja unaweza kuja kung'amua, nchi ama taifa husogea kimaendeleo kwa nguvu ya Utaasisi na kujipanga--watu wengi, wenye ujuzi na uweledi tofauti tofauti, kusimama kama chombo hai kimoja...

Viwanda na Maendeleo huandamana na changamoto nyingi za kiutawala na usimamizi wa maendeleo kutokana na watu walengwa na mazingira yao wakati mmoja hata mwingine--iwe mjini ama vijijini. Usipokuwa na Uzingatiaji wa 'Mazingira hayo' ya jamii za vijijini na kijijini basi ujue fika, suala la maendeleo kwa nguvu ya viwanda linamashauri yasiyo na mashiko ya ubayana wa mambo...​
Hakuna sehemu nimesema kila mwananchi atakua na kiwanda labda unionyeshe
 
Hakuna sehemu nimesema kila mwananchi atakua na kiwanda labda unionyeshe
SAWA

Logikos anakueleza vitu vingi kwa kusudi jema kabisa--kukujenga!

Miye 'ninakukumbusha' ambayo ni vigumu kukumbushwa na 'msomi mashudu'--nje ndani ya elimu dunia.

Unayohiari ya kupokea kwa kushukuru ama 'kufumbia mambo' na 'kuhamisha goli'...

Labda boresha ujuzi wako wa mazungumzo ili unufaike na kujijenga kimashauri...

Wala hakuna haja ya 'Ubishi' ama 'kutafuta malumbano'.

Unayomazuri tu na tena makubwa uliyoyakamia--unaweza kuyafikia; jenga udugu.. na zaidi jenga ushirika/upendo na wengine.

Kamwe usichukulie haya ni malumbano ya hoja ama ubishani; tafuta kheri katika kuchangamana na wanajamii wenzako wanaovutiwa na akili yako ya kudhamirika ama kudiriki makubwa.

Kwa mfano, kuna mengi yanakusubiri ukionesha moyo wa shukrani na kukaribishana na wenzako...

Logikos kazungumza kuhusu utengenezaji wa majiko ya umeme--kuna jambo linaweza kuota na kumea kutoka kwenye kutaniko hili...

Kwa hivyo chukulia hii kama fursa--siyo malumbano ya hoja.

Ungekuwa na jicho la kuona na kutambua fursa vya kuatamisha biashara labda sasa tungekuwa tumeshaanza kuzungumza 'mazingira yamekaaje ya kuanzisha kiwanda vya uundaji wa majiko'--je, tulione hili kifursa za kibiashara ama tulichukulie kiujasiriamali jamii...

Kama shauri hili lingalikidhi uthamani wa suluhu za kinishati na matumizi, basi miye kama mtu ningalileta mashauri ya mwangaza...

Mambo ya thamani ya fedha na miradi yanachangamoto zake kijamii na upokeaji; kuna namna ya kuyaona haya
kibiashara ama kuona kisuluhu za maisha na 'mazoea ya kitekinolojia'.

Kwa hivyo kuna wazo la kuthaminisha 'Shughuli'; tuseme kwa mfano (1) Ununuzi wa kibei poa wa bidhaa, ama (2) Uanzishaji wa viwanda unaogharimu fedha nyingi mwanzoni ila baadaye unaweza kukadirisha manufaa ya kutotegemea bidhaa kutoka ng'ambo...

Haya huwa na uweledi wake wa mipango na usanifu wa biashara; lakini kudhamiria biashara kubwa kuna 'hatihati' zake za kuzisimamisha; tunaweza kuchagua biashara zisizo na hatihati kubwa na mashaka ya mbeleni badala ya zile zenye zinazoweza kushindwa--biashara huria na masoko vina 'mitihani yake'.

Ndivyo basi tuwe makini ikiwa tunajinasibu na shughuli kwa ajili ya 'fedha na mitaji' ama 'tunadhamiria shughuli kwa ajili ya 'Kujitegemea'--labda tukianza na ubunifu wa bidhaa, uhitaji na kujitegemea ndipo tutajijengea umahiri wa taasisi za kibiashara zinazoweka kuvuka hata nje ya mipaka yetu ya kitaifa...

Vyovyote vile, upo uhitaji mkubwa sana wa wanajamii kutangamanisha kazi na huduma kwa utendaji/nafasi ya mtu mmoja mmoja na tena vikundi... Biashara ni taasisi; inaweza kuwa ni kwa ajili ya ushawishi wa (1) kiukwasi; ama hata pia (2)'ushirika wa kazi na matunda yake'...

Tanzania, lipo hitaji la mapinduzi kwa hilo jambo la pili... Ujamaa na Kujitegemea kunatutaka 'tuwe na akili ya kibepari' na akili ya Kijamaa kwa wakati mmoja...

Logikos anapenda uhuru wa kibiashara na masoko; miye kama mtu ninapenda ujamaa na tena ujasiriamali wa kijamii--kwa hivyo, mimi kama mtu inanipasa nimueelewa Logikos mpaka mwisho halafu nijumuishe la Logikos na Langu, sote wawili kama wanajamii wa Tanzania--kwa dhumuni lile lile moja: Maendeleo ya Jamii.

Logikos, unaweza kuunda jiko zuri na lenye manufaa lakini mwanajamii akaona ni 'local/la kienyeji sana'--wewe unathamini (1) kifanyachokazi ama (2) muonekano wa kifanyachokazi?

Mazoea yana tabu yake, tunaweza kubuni majiko lakini muonekano na ubora wake tukautengeneza/kuukadirishia shughuli endelevu ya maboresho...

Maboresho na viwango vya ubora kwenye biashara huria na kwenye ujasiriamali jamii vina 'michakato tofauti'; labda kwenye biashara ya mkondo mpana hili linahitaji usanifu na utafiti maendelezo uliorasmi--Je, wapi ni sehemu nzuri ya kupeleka 'mapinduzi ya tekinolojia rahisi'--mjini ama vijini--kwa aina ipi ya bidhaa kwa mfano?

Jiko ni bidhaa ya kimkakati kwa mawezekano yote mawili, wepesi wa kimaisha kwa waliomjini ama vijijini...

Tunaweza kuzungumza hili na majiko kama 'zoezi' la kuatamisha suluhu za kitekinolojia, unaonaje?

Tudhamirie Jiko Ambukizi Moto Umeme, na pia bidhaa muambata za suluhu ya namna hiii...​
 
Logikos anapenda uhuru wa kibiashara na masoko; miye kama mtu ninapenda ujamaa na tena ujasiriamali wa kijamii--kwa hivyo, mimi kama mtu inanipasa nimueelewa Logikos mpaka mwisho halafu nijumuishe la Logikos na Langu, sote wawili kama wanajamii wa Tanzania--kwa dhumuni lile lile moja: Maendeleo ya Jamii.​
Actually mkuu mimi ninaamini katika Soko Huria..., ila ninajua katika soko huria hilo wakiachiwa mabepari na watu binafsi wengi watakufaa njaa (tutabaki na matajiri wachache na mafukara wengi sana) Hususan kipindi hiki cha teknolojia ambapo nguvu kazi haiitajiki tena hivyo mabepari wakiwa na vyanzo vyote vya uzalishaji bila kutoa ajira (ujira) dunia as we know it will not be peacefully...; leo hii mtu mmoja anaweza kulisha Tanzania nzima kwa kutumia combined harvester na machines zinazofanya kazi 24/7.....

Absolute Poverty anywhere is the threat to Society everywhere...., Kama tuna mifumo yenye ufanisi wa kuzalisha bila uhitaji wa nguvu kazi za watu kuweza kufanya na kulipwa hivyo kujipatia basic need is the recipe for disaster (Ndio maana binafsi ninaamini Capitalism as we know it, it is in its deathbed...

Kwahio mfumo ninaowaza mimi ni atleast kama China (Market Socialism) ila the Utopian Idea ni kuwa na Mali za UMMA /Industries (hususan kwenye huduma na basic needs vilevile commanding heights of the country economy) ila vyote hivyo viwe kwenye soko huru, kama private sector can do it better let them do it for profit; lakini state isiwe mbali to do it for welfare as the main objective...
 
Actually mkuu mimi ninaamini katika Soko Huria..., ila ninajua katika soko huria hilo wakiachiwa mabepari na watu binafsi wengi watakufaa njaa (tutabaki na matajiri wachache na mafukara wengi sana) Hususan kipindi hiki cha teknolojia ambapo nguvu kazi haiitajiki tena hivyo mabepari wakiwa na vyanzo vyote vya uzalishaji bila kutoa ajira (ujira) dunia as we know it will not be peacefully...; leo hii mtu mmoja anaweza kulisha Tanzania nzima kwa kutumia combined harvester na machines zinazofanya kazi 24/7.....

Absolute Poverty anywhere is the threat to Society everywhere...., Kama tuna mifumo yenye ufanisi wa kuzalisha bila uhitaji wa nguvu kazi za watu kuweza kufanya na kulipwa hivyo kujipatia basic need is the recipe for disaster (Ndio maana binafsi ninaamini Capitalism as we know it, it is in its deathbed...

Kwahio mfumo ninaowaza mimi ni atleast kama China (Market Socialism) ila the Utopian Idea ni kuwa na Mali za UMMA /Industries (hususan kwenye huduma na basic needs vilevile commanding heights of the country economy) ila vyote hivyo viwe kwenye soko huru, kama private sector can do it better let them do it for profit; lakini state isiwe mbali to do it for welfare as the main objective...
NIMEKUSOMA, NIMEPATA PICHA

Ahsante,

Ni kweli uholela wa mabepari na vyombo vyao vya kibiashara, ilivyo pia ni 'watu binafsi'--watu binafsi kitafsiri ya kisheria na mifumo ya kileo, ni mtambo wa kufarakanisha wanajamii kupitia utaasisi wa biashara na maslahi yake ya ubinafsi...

Sasa biashara ni kuuza na kununua, kwa vigezo na masharti vya 'maridhiano ya kimkataba' -- mkataba ilivyo ni makubaliano ya mabadilishano ya bidhaa/kazi/huduma/fedha ili kunufaika na matunda ya kazi, huduma, na umiliki wa mali.

Kiuono na ufikirifu mifumo, biashara ni mahusiano ya kuhamishiana sifa na hadhi za mahitaji ya kimazingira ya 'watu' kwa dhana ya fasili ya 'kiumbe halali cha utendaji wa kibiashara'. Masoko ni muktadha akilifu wa 'makutano ya muuzaji na mnunuzi' katika mapana ya utendaji wa kibiashara.

Inaweza kushangaza, lakini ndiyo ukweli wenyewe wa mambo, utendaji wa kibiashara si lazima uhusishe fedha ama/na uhalali wa 'mali binafsi' kama kiini cha msingi; matumizi ya fedha na utaasisi wote mzima wa mambo ya fedha ni zao ya wanajamii wenyewe 'kujichagulia' msingi wa maisha, vipewavyo thamani na ustawi wao...

Taasisi zote hupata marefu ya uzima wake na basi mifumo yake kulingana na wastani wa upeo na uwezo wa wanajamii wenyewe kujiamulia hatma za maendeleo, uthamani wa mambo yao na basi ustawi wao...

Ndivyo basi Ubepari hata sasa, kweli, upo kitandani--karibuni kukata roho; ni kwa utundu na uhuni ubepari unadumishwa katika mapana ya ustawi na uhai wa mataifa.

Ndivyo basi dhana ya usoshalisti wa kimasoko, kiufundi, ni utundu na maarifa ya kubayanisha mazingira huru ya masoko kama mapana muafaka ya jamii yenyewe kujitosheleza kijamii, maendeleo na ustawi na kumbe 'uholela' wa kusaka faida unashiriki kusudi la fedha na mitaji ili kufaa 'maslahi mapana ya jamii/umma kupitia mashirika yenye hisa za serikali'. Fedha kuwa aseti kimiminika cha ukwasi... Kwa kuwa, kipi kinaweza kuwa ni kizio cha uthamani wa mali ama huduma?

Hili linatukumbusha jambo moja adhimu, ukiondoa hitaji na umuhimu wa sera na vipaumbele vinavyolinda 'maslahi ya jamii', kupitia utendaji wa serikali na dola, wanajamii wenyewe wanahitaji 'kujielewa' na kuwa mstari wa mbele kujisuka kitaasisi kwa ajili ya ustawi na maendeleo yake na tunu zake za thamani kama taifa.

Kwa Tanzania udhamirifu wa ustawi na maendeleo ni fanusi ya tunu za Uhuru, Udugu, Haki na Amani...

Japo mchakato wa kujisuka na kujifuma kitaasisi, kwa jamii ya tuseme watu wapatao milioni sitini (60) yaweza kuchukua muda mrefu; uhitaji wa wanajamii wanaojielewa kulisukuma jahazi la utaasisi bora wa sura ya nchi na tawala uko pale pale...

Uongozi ni kuonesha njia, kuongoza njia ni Utaasisi...

Hili kwa jamii yetu wa watanzania linatukumbusha 'kutokulala na kuwa macho'--kwa maana bado kuna 'mapambano'....

Nchi yetu kuwa na msingi ya Ujamaa na Kujitegemea, jambo hili linatutaka sana wanajamii tuwe mstari wa mbele kuzitawala 'siasa za nchi'; kufanya hivi kwa kushirikiana na wale tunaowapa madaraka katika jamii.

Watu wa madaraka ni vitovu vyetu vya mienendo ya maisha na kujichagulia; Ujamaa ni mwenendo wa maisha na si 'Utaasisi wa Miundo-utendaji-Jamii ya namna za watoa Amri na Wapokea Amri'...

Kwa minajili ya hivi, demokrasi na ujamaa tukiwa na uono na ufikirifu mifumo, yawezakuwa jambo hili ni muktadha akilifu wa ufanyaji maamuzi juu ya taasisi zetu za umma na tena ustawi wa jamii ili kuleta hata 'Mapinduzi'--mapinduzi ya mifumo ya biashara huria inayotawala biashara globali...

Kwa hivyo tunaweza sisi kwa sisi, kama wananchi wenyenchi, tukapeana mwangaza kwamba muktadha wetu wa masoko na biashara vifuate utoshelezaji wa mahitaji na stara ya jamii kiuchumi na mazingira. Kila mtu awe na cha kufanya ili kuifikia ndoto ya maisha bora kwa kila mtanzania.

Katika ulimwengu wa leo, uwezekano upo wa kupangilia kishughuli/biashara na masoko kwa ajili ya manufaa ya wanajamii wote!

Matumizi ya akili bandia yanaweza kurahisisha hili, mtu yeyote asijidanganye ama kujipotosha kana kwamba kujifikirsha: mbona nchi zilizoendelea na hata kuleta maendeleo ya tekinolojia za Akili Bandia yenyewe hawawi 'Wasoshalisti'(?)

Akili Bandia inaweza kuchochea Ujamaa na kuleta mapinduzi makubwa duniani--hili la kukwamisha uwezekano huu LINARATIBIWA na 'wanaojijua' ili lisichukue upesi mkondo huu.

Kwa hivyo iko namna tunaweza kulimulika hili na kuonesha mawekano hata ya 'Mapinduzi' kwa matumizi ya Akili Bandia na Utengeneaji wa Kijamii. Hili linatutaka sana tuwe na uono na ufikirifu mifumo, kwa kuwa Akili Bandia nayo hutenda kwa Uono na Ufikirifu Mifumo....

Akili Bandia inaweza kubadilisha mfumo dume wa kiuchumi kuwa 'Mfumo mama wa Uchumi'...

Uchumi wa kazi ni muktadha akilifu wa 'Uchumi Mama' na hali Ubepari ni mfumo dume wa 'Uchumi Biashara'...

SASA, kamwe tusidhani tunahitaji kuona mahala huo uchumi mama halafu 'tudese...'

Wasomi wetu mashudu, hapa ndipo wanapotuangusha kwa kadiri ya wao kuwa ni watumishi wenyedhamana ya utendaji--utendaji wa hata kiserikali; na huku hawathubutu 'kulivumbua gurudumu jipya la maendeleo ya watu--watu na vitu'...

Kwa hivyo usanifu miundo ya utendaji wa kijamii kwa kutumia akili bandia unaweza kuwa unakamia kuvunja utendaji mpana kuwa utendaji wa kimafungu madogo madogo mengi yanayohodhiwa na utendanji wa wanajamii inaweza kuwa ni suluhu ya kuondokana na mifumo dume ya uchumi mauti wa kibepari wa leo...

Jamii yetu na dunia yetu inahitaji kuhama kiparadaimu ya utu na maendeleo ya kweli...

Fedha si msingi wa maendeleo, akili na watu wenyekujielewa wanaweza kuifumua na pia kuufuma mfumo wowote pale ule wa awali unaoishiwa pumzi ya uhai ya manufaa yake kwa jamii pana...

Tuthubutu kufikiria tofauti!

Hmmmm​
 
umewaza kama ninavyowaza Mimi..
Hapo shida ni nani wa ku-make a move...
 
Back
Top Bottom