Made in Tanzania

Made in Tanzania

nijothemaster

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
324
Reaction score
56
Ningependa kujua bidhaa zetu za Kitanzania zinazotengenezwa na watanzania. Tuzitaje hapa mahala popote ambapo zipo bila kujali ukubwa wa uzalishaji....

Mimi inaanza;

1. Sabuni za gwanji (nyingi hazina label)
2. Ndala za Masai (nyingi hazina label)

Karibu..
 
Back
Top Bottom