Eti saa tisa walizani watafanya maajabuYale lile nyimbo baya vile ndio waliacha kulala wakenda kurikodi takataka?
Na huo ndo uhalisia. Alifanya kwa kutafuta attention ya kua wakwaza kutoa nyimbo na sio majonzInawezekana Diamond aliwahi kutoa oda mapema ili jamaa wa mawinguni wasije wakamtangulia, "n mtazamo tu"[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
waliimba wakiwa usingiziniYale lile nyimbo baya vile ndio waliacha kulala wakenda kurikodi takataka?
Ubaya wa hiyo Ngoma ni upi?waliimba wakiwa usingizini
Msechu pekee ndio amefanikiwa kuimba nyimbo ya maombelezo wengine wote utapolo
kwan kunamtu kasema n mbaya...?Ubaya wa hiyo Ngoma ni upi?
Kama sio wimbo mbaya kwanini mnauponda?kwan kunamtu kasema n mbaya...?
me nafuata mkumbo tu, cjui kwa walio usikiliza🏃♂️🏃♂️🏃♂️Kama sio wimbo mbaya kwanini mnauponda?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣me nafuata mkumbo tu, cjui kwa walio usikiliza🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Yale lile nyimbo baya vile ndio waliacha kulala wakenda kurikodi takataka?
Yaani msechu ndio katoa hit somg ya mekoWamezidiwa na pita msechu mtu mmoja tu nakaenda studio mchana bila shaka [emoji23]
Hiyo ya Peter Msechu inaitwaje?Yaani msechu ndio katoa hit somg ya meko
Msechu pekee ndio amefanikiwa kuimba
Nyimbo ya maombolezo❌nyimbo ya maombelezo