Super Tuesday
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 636
- 727
Nimekumbuka miaka ya nyuma kuna mshikaji wangu alikuwa anataka kutoka kimuziki lakini alikuwa haimbi style ya hiphop sasa akaamua kumshirikisha msanii mmoja huyo msanii akamwambia kwenye mashairi yao waweke neno ganja ili kuwarusha masela, mshikaji akamwambia ata tukiitaja ganja kwenye mashairi yetu masela wenyewe hawatakuja kwenye show na hata wakija wataruka ukuta badala ya kulipa kiingilio.