Madee: Siamini katika ubaguzi wa rangi

Madee: Siamini katika ubaguzi wa rangi

Mimi nafikiri kwa suala la George Floyd wenye hisia za ubaguzi ni watu weusi. Kwanini wasichukulie tu kwamba Floyd ameuwawa na askari wanaangalia rangi ya askari aliyehusika? Kama Floyd angeuwawa na askari mweusi ingekuwaje hapo?
 
Mimi nafikiri kwa suala la George Floyd wenye hisia za ubaguzi ni watu weusi. Kwanini wasichukulie tu kwamba Floyd ameuwawa na askari wanaangalia rangi ya askari aliyehusika? Kama Floyd angeuwawa na askari mweusi ingekuwaje hapo?


Mkuu sio George Floyd tu, ni suala la muda mrefu sana. Kama ilivyo kwa instutions nyingine, huko Marekani Police department inatumika sana kuwakandamiza watu weusi. Usichulie hili swala kijuujuu tu. Watu wanabaguliwa kwa ajili ya rangi ya ngozi sana tu.
 
Mimi nafikiri kwa suala la George Floyd wenye hisia za ubaguzi ni watu weusi. Kwanini wasichukulie tu kwamba Floyd ameuwawa na askari wanaangalia rangi ya askari aliyehusika? Kama Floyd angeuwawa na askari mweusi ingekuwaje hapo?

Tatizo unaangalia nusu nusu, kilio cha ubaguzi wa rangi marekani hakijaanzia kwa Floyd,

Kuna series ya matukio yanayohusisha nguvu nyingi za askari dhidi ya watu weusi!

Lakini pia Floyd anatumika kutoa ya moyoni kuhusu ubaguzi unaondelea dhidi ya weusi kwenye maeneo mengi kama afya, elimu, positions kwenye ajira nk!
 
Mkuu sio George Floyd tu, ni suala la muda mrefu sana. Kama ilivyo kwa instutions nyingine, huko Marekani Police department inatumika sana kuwakandamiza watu weusi. Usichulie hili swala kijuujuu tu. Watu wanabaguliwa kwa ajili ya rangi ya ngozi sana tu.
Pamoja na kupata raisi Mwafrika kwa miaka 8?
 
Ubaguzi ni suala pana sana, wazungu kwa wazungu wanabaguana, watu weusi wenyewe tunabaguana ILA sijui kwann mtu mweusi akibaguliwa na mzungu inakua issue kubwa sana..

Ni bora ubaguliwe na mzungu kuliko hao wanaojiita "Black America" hawa mbwa ni wabaguzi sana kwa weusi wenzao tunaotoka au tuliozaliwa Africa, wanatuona kama mavi vile sisi tuliozaliwa Africa.. Kuna watu weusi wangapi walioua wazungu kinyama..?? Au ni watu wangapi wameuawa na polisi huku Africa na tupo kimya tu business as usual au ni polisi wangapi weusi wameua watu weusi uko Marekani..?? Ila akiuawa mtu mweusi na askari mweupe inakua Ubaguzi.. Ujinga tu

Issue ya Floyd ni askari mpumbavu tu alishindwa kutimiza majukumu yake ila haina uhusiano wowote na unaguzi wa rangi.. Ni sisi tu watu weusi kujiona ni Victim kwenye kila kitu tunachofanyiwa na mtu mweupe ILA kiuhalisia ubaguzi upo kila Mahali mpk kwenye familia zetu..

Mi kwa upande wangu hawa "Black America" hata siwaonei huruma wana dharau sana waAfrica mbwa hao hasa yule msanii Chris Rock.. Wapambane na hali zao uko..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
President of Manzese Tip Top ktk pess yake.
 
yeye yuko manzese, anamaana kwamba waandamani wote, kutoka miji yote mikubwa ya marekani ni wapuuzi, yeye anauelewa na ubaguzi kuliko wao,,,anamaanisha ikibidi waje kwake awape kozi juu ya ubaguzi wa rangi, huku ye yuko manzese wao wako frontline na ubaguzi wa rangi
Kuna weusi na weupe wengi Marekani pia hawaamini kile kifo Ni kutokana na ubaguzi,
Anyway inawezekana alichochewa na ubaguzi lakini uta prove vipi? Sababu Ni mzungu ndio kamuua? Kwani Askari weusi Hawaui watuhumiwa Weusi?
 
Mtuu mwenyewe hajielewi hana akili ..lijama la manzese ..lazma aropoke hajuw kinachoendelea duniani zaidi ya usani mafimafi
 
Mimi nafikiri kwa suala la George Floyd wenye hisia za ubaguzi ni watu weusi. Kwanini wasichukulie tu kwamba Floyd ameuwawa na askari wanaangalia rangi ya askari aliyehusika? Kama Floyd angeuwawa na askari mweusi ingekuwaje hapo?
Issue kubwa ni Police brutality towards black american... rangi ya police inakuja baadae. Na huo ukatili wa police ndo umehemsha hisia za ubaguzi baada ya matukio kuwa mengi ya police kuwadhuru weusi kuliko weupe. Na kama George alikua mharifu kuna taratibu za kumkamata na kwenda thibitisha uhalifu wake sio kumkaba kwa goti wakati umeshamfunga pingu.

semper fidelis
 
Rais wa Manzese Madee Ali amesema kuwa haamini kwenye ubaguzi wa Rangi unaotajwa kuendelea Duniani na hata George Floyd inawezekana alikuwa mhalifu.

Madee amezungumza hayo kupitia kipinfi cha XXL cha *CloudsFm. Nikimnukuu Madee "Siamini kwenye ubaguzi wa rangi, hata yule jamaa aliyekatishwa uhai wake Marekani inawezekana alikuwa Mhalifu".


Na yeye shenzi type.

semper fidelis
 
Wewe unashindwa kuelewa, swala hili la kifo cha George Floyd limeamsha upya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi. Hata kama hukuguswa na kifo chake moja kwa moja, lakini jina lake linatumika na wapigania haki za watu weusi Duniani.
Eti haki za mtu mweusi duniani.

Hivi huku Afrika mnavyouana wenyewe kwa wenyewe mamia kwa mamia nako kuna polisi wa kizungu ?
 
Eti haki za mtu mweusi duniani.

Hivi huku Afrika mnavyouana wenyewe kwa wenyewe mamia kwa mamia nako kuna polisi wa kizungu ?


Tatizo hujui kitu, kwahiyo siwezi kubishana na wewe mbumbumbu. Haya mambo huwezi kujua kama hukwenda shule au ujawahi kutembea Duniani, wewe nenda kabishane mambo ya kubet ndio saizi yako. Bye bye 👋
 
Hawa Marais wa kujipa uongozi wanashida Sana wengine kina tundulisu wamesha jiapisha kua Marais wa taifa la Facebook live ipo siku watatwambia hawakubalian na kitu kinacho itwa kupinga ushoga
 
Back
Top Bottom