OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simba kazi mnayo mnamuogopa sana GS, sisi tutampa huyo huyo urais Injinia Hersi Saidi kiboko ya Makolo . Huyu GSM siyo bahili kama Hindi ndiyo maana Makolo wanamgwaya na kumuhofia sana.
Kwa sababu Yanga wengi ni mazuzu, watamshambulia Madega. Madega ana hoja nzito sana.
Nenda makao makuu ya simba kaulize hivi utajibiwaBil 20 za mwamedi ziko wapi?
Makolo hawawezi kuhoji Bil 20 wanamgwaya Hindi. Hindi janja janja sanaBil 20 za mwamedi ziko wapi?
Hersi kawazidi akili mpka kawasajilia kulwa kikumbaSimba kazi mnayo mnamuogopa sana GS, sisi tutampa huyo huyo urais Injinia Hersi Saidi kiboko ya Makolo . Huyu GSM siyo bahili kama Hindi ndiyo maana Makolo wanamgwaya na kumuhofia sana.Yanga ina kikosi imara na bado unafanya usajili wa maana GSM hawataki mchezo mchezo ni Back to Back mpaka Makolo mkome
Mwekezaji ni GSM sio Eng Hersi,
Kwa sababu Yanga wengi ni mazuzu, watamshambulia Madega. Madega ana hoja nzito sana.
Wakithibutu kuhoji anasusaMakolo hawawezi kuhoji Bil 20 wanamgwaya Hindi. Hindi janja janja sana
Bil 20 ziko kwenye account ipi we kolo
Kwa sababu Yanga wengi ni mazuzu, watamshambulia Madega. Madega ana hoja nzito sana.
Huna hoja wewe makele tyuu aongee raisi wenu wa zamaniii mumtaje simba kafikaje sasa ukooooSimba kazi mnayo mnamuogopa sana GS, sisi tutampa huyo huyo urais Injinia Hersi Saidi kiboko ya Makolo . Huyu GSM siyo bahili kama Hindi ndiyo maana Makolo wanamgwaya na kumuhofia sana.Yanga ina kikosi imara na bado unafanya usajili wa maana GSM hawataki mchezo mchezo ni Back to Back mpaka Makolo mkome
Mechi 2 chaliiiiMsimu ujao mtaishangilia YANGA mpende msipende
Nakumbuka walivyokuwa wanamuogopa Yusuph Mehbib Manji mpaka wakamfanyia figisu za kumfilisi na kumfunga.Simba kazi mnayo mnamuogopa sana GS, sisi tutampa huyo huyo urais Injinia Hersi Saidi kiboko ya Makolo . Huyu GSM siyo bahili kama Hindi ndiyo maana Makolo wanamgwaya na kumuhofia sana.Yanga ina kikosi imara na bado unafanya usajili wa maana GSM hawataki mchezo mchezo ni Back to Back mpaka Makolo mkome
Chalii wa R.Chugga au?Mechi 2 chaliiii