Madeleka umeudanganya umma wa watanzania kwa mara nyingine tena

Madeleka umeudanganya umma wa watanzania kwa mara nyingine tena

Wanatuambia kwamba, kile tunachoona hakipo!. Zaidi ni jinsi ambavyo wanonekana na kusikika kuwa hawajipanga linapokuja suala la DPW.
Inashangaza sana kuona na kusikia Wakuu wa Serikali wakikanyagana; na kuitetea DPW wakati wao DPW, kwa maoni yangu, ndio waliopaswa na kuwa na wajibu wa kujibu maswali mengine, halafu tukisema Mkataba umewabana wanasema ' ahh' haya ni makubaliano yetu' 'hatuna mkataba' Rubbish!

Hawana mkakati na wanakosa sauti ya pamoja.
yani ni kama hakuna msemaji wa Serikali. Mtu yeyote na mtu yeyote anaweza kuzungumza na waandishi wa habari, na kutoa taarifa! Wamejichanganya, There is a systemic failure
unadhani hivyo, mbona naon wamepangua hoja zenuzote za upotoshashi, mfano
1. haijauzwa
2. zanzibar
3. Dubai siyo nchi
4. ardhi imeuzwa
5. nazingine zote
 
Mpango umekuwa makubaliano tena!!
Ccm mazwazwa sana
 
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.

Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango wowote, achilia mbali makubaliano au mkataba, bali mpango wowote na kisha kuutungia sheria.

Haya mambo ya kusoma kifungu kimoja na kuacha kingine aliyesema Jerry Silaha
jana kwenye mkutanoWake na waandishi wa habari, lengo lenu ni kupotosha umma wa Watanzania, na hii sio nzuri.


Madeleka tunajua wazi kwamba unaitaka Tabora Mjini 2025, Mzee Slaa anaitaka Karatu 2025 na Mwambukusi anaita Mbeya Mjini 2025, hivyo msitumie jukwaa la DPW kujiimarisha kisiasa, semeni ukweli hata Mungu atawasaidia kwani uwongo hautawapeleka kokote.

Image
madeleka huwa hana akili, anajua tu kuongea, hata mahakamani hana akili. halafu mwangalieni kwa umakini, alikuwa polisi aliyefikia rank ya inspector, na unafikiri leo hii kweli ataacha kuwa royal kwa serikali? changa la macho huyo.
 
Madeleka ulisema kwamba Bunge halina mamlaka ya Kujadili au kupitisha Makubaliano, lakini lina mamlaka ya kufanya hivyo kwenye mikataba tu.

Huu sio ukweli, Bunge linauwezo pia wa kujadili mpango wowote, achilia mbali makubaliano au mkataba, bali mpango wowote na kisha kuutungia sheria.

Haya mambo ya kusoma kifungu kimoja na kuacha kingine aliyesema Jerry Silaha
jana kwenye mkutanoWake na waandishi wa habari, lengo lenu ni kupotosha umma wa Watanzania, na hii sio nzuri.


Madeleka tunajua wazi kwamba unaitaka Tabora Mjini 2025, Mzee Slaa anaitaka Karatu 2025 na Mwambukusi anaita Mbeya Mjini 2025, hivyo msitumie jukwaa la DPW kujiimarisha kisiasa, semeni ukweli hata Mungu atawasaidia kwani uwongo hautawapeleka kokote.

Image
Unaelewa maana ya mpango.
 
unadhani hivyo, mbona naon wamepangua hoja zenuzote za upotoshashi, mfano
1. haijauzwa
2. zanzibar
3. Dubai siyo nchi
4. ardhi imeuzwa
5. nazingine zote
Hata kama wamejibu hayo, unaweza kusema hapa kuwa hayo majibu yametoka sehemu moja(from A-one reliable source). Manake kila mmoja aliyekuja kwa utetezi amekuja kivyake....wewe hapa umejikita kumshusha, na kumbeza Madeleka kwa lengo la kuondoa uhalali wa hoja zake kuhusu "Makubaliano" Vs " Mkataba"

Madeleka alisema, kiunagaubaga, kwamba kwaavile Bunge limejadili na kuridhia
basi ina maana wamejadili na kuridhia Mkataba. Na ndicho bunge lilichokifanya Hivyo basi sio sahihi Kusema ni makubaliano wakati Bunge ilichokifanya ni Kujadili na Kuridhia Mkataba kulingana na 63(3)(e)

Wewe "Mipango" umetoa wapi? Makubaliano ni Mipango? Bunge lilisema ati Leo tunajadili na kuidhinisha?

Hebu tuwekee yale yaliyosemwa na Mwenyekiti wa kamati ya Bunge hapa tuone ni wapi walitumia kipengele na sehemu hiyo ya 63(3)(c).

sasa mnaokota okota, kama wale wanaoutetea mkataba na kupotosha halafu mnageuka mnasema wakosoaji wa mkataba wanapotosha!
 
Kwamba mpango aka a plan ni sawa na makubaliano aka agreement kwa lugha ya malkia...
Hii inchi ina watu wa hovyo sana, na mwenye post atakua mmoja wao.
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaruhusu rais kuongoza mihula miwili (2) mfululizo ya urais kwa maana ya miaka 10.. ila ikiwapendeza wabunge wetu wanaweza wakafanya namna kurekebisha hicho kifungu ili kukidhi mahitaji yetu kwa sasa.. Mama Samia aongoze hadi 2040.
 
Back
Top Bottom