Mademu msije anza 'shobo' kwa Samatta

Wow!Miss you much my popoma,welcome back dearest!
 
Ivi wakuu ile tuzo ina mpunga kias gan
 
Nifah ni moto wa kuotea mbali,warumi mpe shikamoo ake nifah maana kwa sasa uko nyuma sana ktk kuibua ubuyu,y
Uwiiiiii msinichonganishe na warumi binamu yangu tafadhwalini jama!
Halafu yote kayaleta mwendawazimu lolowapi
 
Asante mkuu,usijali siku hizi kuna option ya kufollow huku,nifollow unifuatilie vizuri.
Enjoy

Naogopa kukufollow usije ukamwaga ubuyu unaonihusu supastar mimi huku JFπŸ˜€πŸ˜€ (kidding).....nitafanya hivyo, warumi chaliiiiiiiiii😎
 
Ndugu watanzania wenzangu niwatoe tu hofu kuwa mrembo Wema kwa sasa yupo bize kurudi madarakani huko Madale baada awamu ya Zari kufikia ukingoni. Kwahiyo bwana mdogo Samatta awe huru hata kuonana na dada yake Wema ili kupata nasaha kabla ya kwenda Ubelgiji.
 

Taarifa hii ningeiamini if, and only if, kama ubuyu huu angeuleta niffa hapa...otherwise!! Siamini kitu, ila comment kutoka kwa niffa na evelyn salt, mybe na kwa mbaaaaali, kutoka kwa warumi inaweza ikanibadilisha msimamoπŸ˜›:πŸ˜›
 
Jamani wekeni ile barua wema anaonywaa asimsogeleee samata
 
hahaahahahaah...kubwa la makahaba ...Weeema Abraaaahaaaam Sepetungaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…