Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,609
MmmmmmmhWanaume wote wa jf tuna hela, ndiyo maana wadangaji wengi wanajiunga jf kwa kasi wakijua kabisa huku hakosi hela ya pango.
Wewe hujui kuna wadangaji wanaendesha maisha yao kupitia wanaume wa jf?
DuhAnd vice versa!! Sio KE tu hata nyie ME
Na wenye kuringa waacheni waringe kwa raha zao. Siku mkijua kiduku lilo ni gate man wa crdb Bank msishtuke coz hapa ni mtandaoni, waacheni watu wajinafasi na kufurahisha nafsi zao vile wanaweza.
Kuna ID nitazizamia PM siku sio nyingi, nilikuwa nahisi ni wababa kumbe vichaliii tu vya size 😂😂🏃🏃🏃🏃
Ngoja nimuulize joanah kama kweli naye wa mtaani au wewe mchinja viazi umeamua kumuignore
Uzuri ni kwamba nna aibu sana, kwa iyo ilo la kukutongoza kwangu haliwezekani ata kama kweli nakuaminiaNaunga mkono hoja ya Zero IQ ....tena kitaa cha maji matitu
Siku ukitaka kunitongoza usisite kufanya hivyo maji ya gundu ,waambie na wengine sasa
Samahani bestHahaha! Mkuu umenifurahisha san.
Kiduku Lilo akiona hapa lazima aanzishe uzi. Utasikia natokwa na machozi ya huruma.
Natumia GMC sijui Shangingi 22, Sijui utasikia alienda NASA kufanya Interview.
Depal jiandae kupewa milion 5 Ya Bando
Aaaah wapiWanaume wote wa jf tuna hela, ndiyo maana wadangaji wengi wanajiunga jf kwa kasi wakijua kabisa huku hakosi hela ya pango.
Wewe hujui kuna wadangaji wanaendesha maisha yao kupitia wanaume wa jf?
Kabisa, hata nyie wanaume acheni kujikweza
Sana wapoKumbe kunaowenye kujikweza eh....
Naunga mkono hoja ya Zero IQ ....tena kitaa cha maji matitu
Siku ukitaka kunitongoza usisite kufanya hivyo maji ya gundu ,waambie na wengine sasa
[emoji109][emoji123][emoji109][emoji123][emoji23][emoji23][emoji23] yawezekana ukawemo
Samahani best
Naomba nitumie link ya Uzi wowote wa Kidukulilo niusome
Mana nashindwa kuupata ili nami nipate madini ya anavyowakimbiza huku Na Mambo yake ya Uhaya( majisifu ya kupitiliza)
Thanks
Nasikia tu toka kwa comments but sijacome across Na threads zake
Samahani best
Naomba nitumie link ya Uzi wowote wa Kidukulilo niusome
Mana nashindwa kuupata ili nami nipate madini ya anavyowakimbiza huku Na Mambo yake ya Uhaya( majisifu ya kupitiliza)
Thanks
Nasikia tu toka kwa comments but sijacome across Na threads zake
Samahani best
Naomba nitumie link ya Uzi wowote wa Kidukulilo niusome
Mana nashindwa kuupata ili nami nipate madini ya anavyowakimbiza huku Na Mambo yake ya Uhaya( majisifu ya kupitiliza)
Thanks
Nasikia tu toka kwa comments but sijacome across Na threads zake
"Joanah Gundu" nimevuta picha umeolewa na Maji ya Gundu.
Hao ni hao hao wakina Amberruty, Mwajuma wa kwamtogole, jane, lightness, Anna, Amina, Rachel, wale wanaokudanga, beki tatu wa hapo home kwako NK.
Perfect combo
Mrs Gundu
"Joanah Gundu" nimevuta picha umeolewa na Maji ya Gundu.
Kulwa wangu..!!!Perfect combo
Mrs Gundu