Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yona milembeAkutwala ekilo omusima omushana
Yona milembe
u mama huruma uko pote wala sio kwa wahaya tu wapare je? Wanyakyusa je? And the list goes on... Sie wasomi bwana hyo ilikuwa zamani kama huna uwezo wa kumpata mdada wa kihaya usimwage pumba zako hapana ni akinamama-huruma mno. Kwao hawana hiana kuwasaidia wengine shida zao za kimwili! Taabu itakupata km wewe unataka kufuga kwa matumizi yako pekee..kwa hilo andika maumivu.
u mama huruma uko pote wala sio kwa wahaya tu wapare je? Wanyakyusa je? And the list goes on... Sie wasomi bwana hyo ilikuwa zamani kama huna uwezo wa kumpata mdada wa kihaya usimwage pumba zako hapa
tambuka noyesitela .. libata...!
ahahah wanshekya ninyestella infact nina a confidence ya buhaya.tambuka noyesitela .. libata...!
ahaha Ta finest bati ne birungi bigila bakamababyoNolwo enkoko etalya mukiloi enyenje tiyaugilaba amunwa
nice:
But mnawaangusha wahaya, maana sifa za madem wa kihaya mlizoziandika ina imply hao madem ni wa one time tu wala si wa kuoa!!
ahaha Ta finest bati ne birungi bigila bakamababyo
tambuka noyesitela .. libata...!
Nolwo enkoko etalya mukiloi enyenje tiyaugilaba amunwa
ahahah wanshekya ninyestella infact nina a confidence ya buhaya.
ahaha Ta finest bati ne birungi bigila bakamababyo
Nolwo enkoko etalya mukiloi enyenje tiyaugilaba amunwa
The Finest...Mkiti anarequest tafsiri haraka iwezekanavyo......kwan PM......:tape:
The Finest - Tukutane Baa Mpya @ 6:00pm Mkumbushe na Babu - This was hilarious:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
The Finest...Mkiti anarequest tafsiri haraka iwezekanavyo......kwan PM......:tape:
ni kweli, tulisahau kabila moja, wapare, hawana hata uchoyo jamani. Kuna siku moja nilikuwa nafanya kazi mkoa mmoja hivi, sasa kipindi hicho nilikuwa sijaoa bado. nikapanga nyumba moja na mchaga mmoja ivi aliyekuwa amemuoa mpare, walikuwa na watoto wawili. yule mpare alikuwa mfupi, mweusi na alikuwa na kiuno cha mviringo sana, na alikuwa ni mzuri actually. bwanake alikuwa anafanya kazi za kusafiri siku zingine. sasa ilitokea siku moja akaniomba anioshee vyombo, bwanake alikuwa katili sana, nikaogopa, nikakataa. akawa anataka sana mtoto wake awe karibu na mimi(mtoto wa miaka mitatu), hadi mtoto wake akanizoea mimi kama mjomba. siku zingine anapenda kuja kukaa na mimi. ikatokea siku moja nimetoka kazini nimechoka, nikafungua mlango nikaingia ndani, nikashangaa mtu anakuja ameweka ubwabwa,na ndizi uganda za nyama, na nyama kwenye vyombo ameviunganisha...akanikwekea mlangoni afu akakimbia haraka ili asionekane na mtu.u mama huruma uko pote wala sio kwa wahaya tu wapare je? Wanyakyusa je? And the list goes on... Sie wasomi bwana hyo ilikuwa zamani kama huna uwezo wa kumpata mdada wa kihaya usimwage pumba zako hapa
Ni wazuri mno
Umbo namba nane
Wana rangi ya ngozi nzuri sana hasa ukielekea kunako
Wanajua sana shughuli ya majamboz
Wana joto la kutosha
Wachapa kazi sana
Wanajua kukuweka sawa kihisia
Usipoonekana lazima akutafute mpaka akupate
Hawajawahi kuchakachuliwa na mapenzi ya kichawi
Wana maneno yenye mvuto muda wote
Akikasirika hakunyimi ila atakulipizia kwenye shughuli maana atakukimbiza mchakamchaka
Mwenzenu nime oza nimekufa kwa mademu wa kihaya