Mademu wa kinyarwanda

Mademu wa kinyarwanda

Usiogope Lizzy, hapo li inasimama kuwakilisha kuwa ni toto la kagame yaani kwa maneno mengine toto zuriiiiiiiiii hahaha............Ukifuatilia posti niliyojibu utaelewa fresh.

Pamoja sana.

Tumia lugha nzuri,sawa dogo??? nitarudi!:wink2::hand:
 
sikuwezi....kwaheri!!!

kama umemtusi babu nakuja kukuharibu hiyo nanii yako!!!:A S 13:
Babu yako hatusiwi kirahisi namna hyo.........Kaka mkubwa akisoma unampiga mkwala mdogo wake patachimbika shauri yako.
 
mm ninadhan hawana maujanja kama warembo we2 mana wao wanafikir kila ki2 ni bei juu alafu cunajua tena walizoea vita na ndo mana wamechelewa kujua nini ni nini na wap ni wap alafu pia yan hawana ki2 cha ku2tishia kiukwel labda urefu wao 2uu mana cunajua watz waweng wafup kama mbilikimo mademu lakn
 
Babu akauliza hivi:
Kwa kifupi naomba kufahamishwa.

Hapa magriit thinkaz wanajadili nini hasa jumatatu hii?:rain:
Mjumbe akajibu hivi
chochote kile unachokifahamu kuhusu madem wa kinyarwanda.....discussd
Kaka mdogo kumbe naye alikuwepo
Big braza una mning'inio ziada??!!! Hapa tunajadili watoto wa kagame leo
Mjukuu advocate wa babu akaibuka kutetea maslahi ya babu yake
sikuwezi....kwaheri!!!

kama umemtusi babu nakuja kukuharibu hiyo nanii yako!!!:A S 13:
Kaka mdogo akasawazisha mambo nje ya mahakama.
Babu yako hatusiwi kirahisi namna hyo.........Kaka mkubwa akisoma unampiga mkwala mdogo wake patachimbika shauri yako.

Case closed....babu anarudi kitandni kutafakari uumbaji wa Mungu katika jinsia za kike za watoto wa Kigali
 
Babu akauliza hivi:

Mjumbe akajibu hivi

Kaka mdogo kumbe naye alikuwepo

Mjukuu advocate wa babu akaibuka kutetea maslahi ya babu yake

Kaka mdogo akasawazisha mambo nje ya mahakama.


Case closed....babu anarudi kitandni kutafakari uumbaji wa Mungu katika jinsia za kike za watoto wa Kigali
:bounce::bounce: :A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41::A S 41: :first:
 
mwambie,wale hawanaga shida na hilo.....l.o.l
ni hapo umpoteze,utakuja tukana screen hapa....l.o.l:wink2:
aaaah kwako tena, hiyo haina tabu..........wewe si ndo mwenyewe bana, hawa wengine wapo wapo tu........Ila we ndio kila kitu. Yaani nitazunguka weeeee lakini mwisho wa siku narudi kwako kipipi moyo wangu.
 
aaaah kwako tena, hiyo haina tabu..........wewe si ndo mwenyewe bana, hawa wengine wapo wapo tu........Ila we ndio kila kitu. Yaani nitazunguka weeeee lakini mwisho wa siku narudi kwako kipipi moyo wangu.

kipipi moyo kwa mikono miwili atakupokea tu....hana neno,alishakukubali ulivyo na atazidi kukubali.....l.o.l:decision:
 
kipipi moyo kwa mikono miwili atakupokea tu....hana neno,alishakukubali ulivyo na atazidi kukubali.....l.o.l:decision:
Hapo ndio napokupendea wangu..........hebu chukua hii kwanza :hug:
 
Mbona issue ya shingo ndefu na miguu mizuri havijatajwa hapa...wanasifika kwa hayo pia
 
Nakushauri muulize member mmoja humu jf anitwa mamushka,yeye ni mnyarwanda atakupa data full....m-pm tu ana noma!
 
Unatafuta kabila au mwanamke??? Mie huwa sipendi mtu anayezungumzia ukabila, udini, uraia kwaheri

Umeelewa vibaya watu tunatofautiana kulingana na mahali tunapotoka kimaumbile na kitabia mfano angalia miili ya wanawake wa mbeya na wa singida wanatofautiana sana. Hapa mjadala ni wanawake wa Rwanda.
 
Back
Top Bottom