Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ukinipa kazi ya maombi nitaifanya kwa bidii sana,Mmmhhh mmmh mmmh 🤔🤔🤔🤔kondoo wakae Kwa kutulia I smell fishy
hiyo nakuhakikishia kabsaaa mchana kweupe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukinipa kazi ya maombi nitaifanya kwa bidii sana,Mmmhhh mmmh mmmh 🤔🤔🤔🤔kondoo wakae Kwa kutulia I smell fishy
hiyo ni ugumu na changamoto kidogo sana katika hii jukumu kubwa sana niko nayo🤣🤣 Nabii wa mchongo
Barikiwa sanaukinipa kazi ya maombi nitaifanya kwa bidii sana,
hiyo nakuhakikishia kabsaaa mchana kweupe...
Kama kweli wewe ni mtenda kazi katika shamba la bwana huwezi tikiswa na vijichangamoto kama hivihiyo ni ugumu na changamoto kidogo sana katika hii jukumu kubwa sana niko nayo
Napokea hiyo Baraka ya Mungu,Barikiwa sana
Mademu wa kishua wanafaa waolewe na maboy wa kishua au mwanaume ambaye tayari amejipata la sivyo akikutana na kambwela lazima moto uwakeDemu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
aah yaaan hii mi napita nayo vizuri sana mwendo wa ngiri bila mbambamba yeyote aise....Kama kweli wewe ni mtenda kazi katika shamba la bwana huwezi tikiswa na vijichangamoto kama hivi
Nilishaokoka, now nipo vizuri kabisa. Sema side effect niliyoipata Toka kwa mashangazi nikwamba nadeka sana 😅😅😅Ukiachana na harakati za na mishangazi,Kijana anafaa kuwa mume,labda Analyse yeye mwenyewe aje athibitishe kama alishaokoka na mashangazi
Hakuna Cha kuogopa, hii ni kama ndege haina reverse. Uamuzi ukipita umepita 😅😅Ngoja nitulie Yasijetokea ya rushayna na zungu 🤣🤣🤣
Nikimbie niende wapi Mimi, kwa Missy Gf ndio nishafika 😅😅Yes,hamna wakati unatakiwa kuomba mdogo wangu kama huu ,sisi familia yako Lamomy Tayana-wog tutaingia kwenye vita kuu si ya damu na nyama bali katika falme za Giza tukisaidiwa na nabii wa familia Tlaatlaah kuhakikisha shemeji Analyse hakimbii mpaka aoe
Ukipeleka shamba, tunakuja kuvuna 😅Mwambie awahi kabla pesa hatujapeleka shamba 🤣🤣
Bado hajadai ana pressure!Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Tutamjazia nziiiAtajua kachumbia wamakonde au wandengereko.
😂😂😂😂 Nishaanza kulewa mvinyo ebu niache nitapaliwa.!! Hizo huduma, ni huduma gani?🤣🤣hiyo sasa hiyo haiitwi fungu la10 ni tegemeza mama mchungaji hiyo ni sadaka ya kawaida,
Hata na hivo kazi ya kwanza muhimu sana ya mama mchungaji ukiachilia zile zingine za ndani,
ni kuhakikisha Apostle ana vaa vizur, anakula ipasavyo na wakati wote anapohitaji huduma ya mama mchungaji bas isichelewe...
Na Mungu akubariki sana