Niko makini 😂She
Shem la mashem utakaa ba cheque book kabisa😂
Afanye wepesi 🤣🤣Nakuona unaomba kwa code 🤣🤣🤣
Kama hawaweezi kazi nyumbani nani anawafulia pichu?😩Unajua kazi ya elimu na exposure? Mademu wa kishua wanakulia kwenye ustaarabu, wanasoma shule nzuri, wanasoma vitabu na kusafiri halafu washindwe kujitambua?
Mmmmmh mzuri usoni moyo sasaUnamsingizia mdogo angu, mbona mpole kafundwa kafundika yule..!!
🤣🤣 LamomyHuwa najituma ili utumie😂😂
Blank cheque? Nakuona shemNiko makini 😂
Sema lolote😩
hivi mama umemaliza lini mambo ya masomo?🤣Wee usinifanye sijui ulichomaanisha 🤣🤣🤣
Ww tu sijui unafeli wapi? 😂😂😳 humu kumbe wanapatana? Mbona hawatuambii
Sidhani kama hiyo tabia inatokana na ushua. Mbona Missy Gf ni wakishua, lakini anapiga mzigo heavy kama mashine ya mjerumaniDemu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Aweke mzigo 🤣🤣🤣Afanye wepesi 🤣🤣
Mimi ni pet dog habweki wa mapambo tu ndani. Halafu mdomo mzito kama una gundi🤣🤣Ww tu sijui unafeli wapi? 😂😂
Alimaliza kila kitu hamna excuse ulichagua mwenyewe😀Yule mama alieimba huyo ni chaguo lako mpeni maua yke
🤣🤣🤣 Isije kutokea km yale ya USA 🇺🇸🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Mwenzio kasema mfanyie wepesi 🤣🤣🤣Blank cheque? Nakuona shem
Imeisha hiyo mbona?🏃♂️Mwenzio kasema mfanyie wepesi 🤣🤣🤣
Nyie mna tafsiri za ki Jezebel tupu, tena kwa JK kulikuwa na misemo ya ajabu, “Ukitaka kula, sharti nawe uliwe” hapo ndio anamaanisha nini?!! 😂😂hivi mama umemaliza lini mambo ya masomo?🤣
maana waliokua masomoni kipindi cha JK ni watu wa kipekee sana wanajua kila kitu na wana majibu ya kila swali au neno kwa maana zao....
mfano unaweza mwambia mtu fanya juu chini jpili uskose kanisani...tafsiri yake mbona utakimbia 🤣
🤣🤣🤣🤣 Sawa manunuMimi ni pet dog habweki wa mapambo tu ndani. Halafu mdomo mzito kama una gundi🤣🤣
🤣🤣🤣 alikufanya nini?Mmmmmh mzuri usoni moyo sasa