🤣 mimi ni apostle lakini siwezi jua maana yake wala maana yako kwa mambo flani flani kadha wa kadha mpaka nizame maombini zaidi...Usikatae unahusika na unajua maana zake 🤣
We ukimuona muulize🤣🤣🤣🤣 alikufanya nini?
Nafuga kuku mkuu, so naeza pika hata wawili😄😄Wewe Si umenyimwa nyama Jana 🤒
Dah naogopa kusema hapa nitapigwa mie 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ka ugonjwa gani teena.??
Mi wangu zote anafanya vizuri sana, kifupi kazi za nyumbani sigusi.!! Na hivi nna wakaka wa dukani basi mpk mbwa wanawaangalia wao.!!?Yaani najitahidi kunfundisha Sema napenda kupika mwenyewe kama nikiwahi kurudi maskani tofauti na hapo inabidi Nile hukohuko
Anapiga kazi balaa kikubwa king'amuzi kiwepo na bundle lake kuchat lisiishe
Nambie bhana 🤣🤣🤣Dah naogopa kusema hapa nitapigwa mie 🤣🤣🤣🤣
Unakuwa kama msomali unahama na mali zako.....🤣Mi wangu zote anafanya vizuri sana, kifupi kazi za nyumbani sigusi.!! Na hivi nna wakaka wa dukani basi mpk mbwa wanawaangalia wao.!!?
Nikiolewa naenda nao wote kwa mume 🤣🤣🤣 nikiachika narudi nao kwangu sitaki hekaheka miyee
Haya njooo pm nikuambieNambie bhana 🤣🤣🤣
Au njoo pm uning’ate sikio
🤣🤣🤣 Si useme kirikouWe ukimuona muulize🤣
Mapema nishafika 😍Haya njooo pm nikuambie
Zama basi uje na maana zake 🤣🤣 mimi ni apostle lakini siwezi jua maana yake wala maana yako kwa mambo flani flani kadha wa kadha mpaka nizame maombini zaidi...
ndio naweza pata mwanga...
vinginevyo siwezi jua hata...
Eee ndio 🤣🤣🤣Unakuwa kama msomali unahama na mali zako.....🤣
Nakuuliza ww kirikouWe ukimuona muulize🤣
Kabisa kabisaaaa....ila kuna watu hawawezi elewa wanakuona mvivu tuEee ndio 🤣🤣🤣
Ila kuna maisha ukiyazoea kuolewa unaona jau ujue
🤣 hapana hiyo haifaiZama basi uje na maana zake 🤣
Chupa na kizibo mmekutanaKabisa kabisaaaa....ila kuna watu hawawezi elewa wanakuona mvivu tu
Nikifikiria kwangu nafanyiwa kila kitu afu niolewe li mtu likanitumikishe.!!! Nachoka roho na mwili 🤣🤣🤣🤣Kabisa kabisaaaa....ila kuna watu hawawezi elewa wanakuona mvivu tu
Utajiju 🤣Chupa na kizibo mmekutana
unafanya vijana wasite kuingia kwenye ndoa kwa hofu,Eee ndio 🤣🤣🤣
Ila kuna maisha ukiyazoea kuolewa unaona jau ujue