Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawaNafuga kuku mkuu, so naeza pika hata wawili😄😄
Mwenzio nazimia nipepe🙄😉😉😂😂😂😂Chauku hakiendi uku
Hata bush wakishua wapo, kama ambavyo mjini kuna waliochoka pia 😅😅Akhii me sio wa kishua kabisaa
nmetokea bush huko 🤣🤣🤣
Kataa ndoa, ndoa ni utapeli 🤣🤣🤣unafanya vijana wasite kuingia kwenye ndoa kwa hofu,
hebu wape moyo na uhakika wa raha na faida za ndoa bas,
ili hatimae waingie kwenye utakatifu wa ndoa kwa kujiamini na wakaungane na Mungu katika kazi ya uumbaji...
Na Mungu atakubariki sana..
Ukizimia unazimishwa na maji ili mood ya kuzimia ikate haraka🤣Mwenzio nazimia nipepe🙄😉😉
Mbususu nayo unawezaje kuikataaa🤣Kataa ndoa, ndoa ni utapeli 🤣🤣🤣
Hapna Mimi simsemei ila nimesema yakwangu yeye. Ninouma 🤣💘Nakuuliza ww kirikou
JamaniUkizimia unazimishwa na maji ili mood ya kuzimia ikate haraka🤣
Nilijua nawe ndio wakuniongoza kumbe ndio unanipoteza kwenye dira mazima huu utapeli nawezaje kuukwepa😂Kataa ndoa, ndoa ni utapeli 🤣🤣🤣
Ndio imarika iyo ndoa ushafungaJamani
🤣 🤣unanichekesha sana kwa sauti hadi wapendwa wanahisi nawacheka wao kumbe ni kondoo moja tu ndio analeta shidaKataa ndoa, ndoa ni utapeli 🤣🤣🤣
Tutafunga tuNdio imarika iyo ndoa ushafunga
Hii sauti niliyotoa htr ndoa inakuaje utapeli🤣 🤣unanichekesha sana kwa sauti hadi wapendwa wanahisi nawacheka wao kumbe ni kondoo moja tu ndio analeta shida
Mnasogeza siku mpka uzeee😂😂💘Tutafunga tu
🤣hii dunia ina mambo sana aise dahHii sauti niliyotoa htr ndoa inakuaje utapeli
Mapenzi ujinga na ufala kutongoza utongoze ww kufurai mfurai wote pesa utoe ww kwani zao zinaenda wapi😂🤣hii dunia ina mambo sana aise dah
ndoa ya uzeeni si iko slow sana 🤣Mnasogeza siku mpka uzeee😂😂💘