Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
🤣 ngoja nasubiri jibu lao litanisaidia kwenye tafiti zanguMapenzi ujinga na ufala kutongoza utongoze ww kufurai mfurai wote pesa utoe ww kwani zao zinaenda wapi😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 ngoja nasubiri jibu lao litanisaidia kwenye tafiti zanguMapenzi ujinga na ufala kutongoza utongoze ww kufurai mfurai wote pesa utoe ww kwani zao zinaenda wapi😂
Sema hawajui kukataa 🤣🤣Yani hakuna mtu nambembeleza km dada, siku akiondoka hakuna nyota nitaacha kuona 🤣🤣🤣
Wamalawi ni wife material, aisee wanafanya kazi afu wavumilivu…!! Kikubwa ndani mchele uhakikishe usiishe 🤣
😂😂😂😂Noma sanandoa ya uzeeni si iko slow sana 🤣
wanandoa katika mkiambata bararani,
mathalani mmepigiwa honi na bodaboda geuka yenu inakua very slow kama trekta linakunja kona 🤣
Basi me wakishua niliyezubaa 🤣Hata bush wakishua wapo, kama ambavyo mjini kuna waliochoka pia 😅😅
Ndiyo njoo utuchape ☺Chupa na kizibo mmekutana
Wewe ni wale wakishua ambao wamelelewa vizuri. Ndio maana nikamwambia jamaa, shida sio kwamba huyo demu wake ni wakishua, bali shida ni malezi.Basi me wakishua niliyezubaa 🤣
Eti?🤣🤣🤣🤣🤣 Sawa manunu
Amuwekee mdada wa kazi, alafu huyo kazi yake iwe moja tu, kila akipinduka ni ki.tomb.o tu...
Kwenye kupiga deko nimesoma kwa kasi. Baadae nimeelewa kumbe!🤣Wewe ni wale wakishua ambao wamelelewa vizuri. Ndio maana nikamwambia jamaa, shida sio kwamba huyo demu wake ni wakishua, bali shida ni malezi.
Yani mtu akikukuta unaendesha Toyota Fortuner Yako, hawezi amini kama huwa unapiga deki kwenye jumba lako na kufua majeans kibao ya Mr kabla hujaenda job 😅
Mr who? Mr which? Jimbo halina mmiliki hili changamka 🤣🤣🤣🤣Wewe ni wale wakishua ambao wamelelewa vizuri. Ndio maana nikamwambia jamaa, shida sio kwamba huyo demu wake ni wakishua, bali shida ni malezi.
Yani mtu akikukuta unaendesha Toyota Fortuner Yako, hawezi amini kama huwa unapiga deki kwenye jumba lako na kufua majeans kibao ya Mr kabla hujaenda job 😅
🤣🤣Tafuta maskini mwenzako.
Kuna ID ilinifataga PM ikaniambia nikae mbali na wewe, eti yupo kwenye hatua za mwisho kukupatia. Sasa unaposema jimbo liko wazi unanchanganya 😅Mr who? Mr which? Jimbo halina mmiliki hili changamka 🤣🤣🤣🤣
Sema malezi ni kweli nimelelewa kijeshijeshi na maisha yakanipeleka puta lazima ninyooke
Bila picha ya urembo wako mpiga kazi ni alkasusu mubashara...[emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila hapana Kuna wadada warembo na wanapiga kazi
Nani tena huyo khaaaa watu kwa kuzibiana riziki hawajambo hebu mtag hapaKuna ID ilinifataga PM ikaniambia nikae mbali na wewe, eti yupo kwenye hatua za mwisho kukupatia. Sasa unaposema jimbo liko wazi unanchanganya 😅
Maisha yenyewe ni mpela mpela, ukilelewa kisoft soft lazima utage.
Hivi wakishua wanapendaga kumbatwo eeh???Amuwekee mdada wa kazi, alafu huyo kazi yake iwe moja tu, kila akipinduka ni ki.tomb.o tu...
Mambo yao waachie wenyewe... Wanapenda kidogo kidogo ila mara nyingi...Hivi wakishua wanapendaga kumbatwo eeh???
Najuaga wanaleta ushua hadi kitandani kumbe!!
Hahahahaha
Santo sana kwa mwongozo. WametishaaaMambo yao waachie wenyewe... Wanapenda kidogo kidogo ila mara nyingi...
Si umesema ww manunu hubweki 🤣Eti?🤣