Inaonekana wewe mizinga ushakuwa sugu, bgoja wa kupige makomboraHahahaa!
Kadri unavyohonga ndiyo unavyojipigia mizigo ya kutosha
Honga kadri ya uwezo wako hakuna mteremko duniani
Tena hawa mademu nafikiri waongeze dau ,wasijishushe hadhi Kwa buku
Pigeni mizinga ya maaana mpaka wanaume waombe poo
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Inaonekana wewe mizinga ushakuwa sugu, bgoja wa kupige makombora