Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 800
Tafakari hii !!
Demu: baby nikwambie kitu...
Boy: Ee kitu gani hicho baby?
Demu: Baby nina njaa mwenzako yan!!
Boy: sasa nifanye darling ?
Demu: Baby fanya mchakato wa hela ya chakula!!
Boy: mh kwani una chenji ya shilingi elfu kumi hapo??
Demu: Hiyo tu ipo baby!!
Boy: kumbe nunulia hiyo hiyo acha kunigeuza kitega uchumi..
Demu: msenge wewe na kublock hadi sanduku la posta!!!
Wanaume wa jf tuwe kama huyu jamaa.
I' m done.
Demu: baby nikwambie kitu...
Boy: Ee kitu gani hicho baby?
Demu: Baby nina njaa mwenzako yan!!
Boy: sasa nifanye darling ?
Demu: Baby fanya mchakato wa hela ya chakula!!
Boy: mh kwani una chenji ya shilingi elfu kumi hapo??
Demu: Hiyo tu ipo baby!!
Boy: kumbe nunulia hiyo hiyo acha kunigeuza kitega uchumi..
Demu: msenge wewe na kublock hadi sanduku la posta!!!
Wanaume wa jf tuwe kama huyu jamaa.
I' m done.