20K cement mfuko mmoja na site umeshafika na change inabaki nauli ya Bodaboda kurudi stand kutoka unakopanga tofali zako....
Kijana gawana na wazazi wako kile unachokipata kadiri wanavyosema asante na wewe ndivyo unavyozidi kuchanua,hii theory wengi hawapendi kuitumia wanajikuta wanajikunja na kazi nyingi kipato hakionekani kwa sababu wanatapanya hovyo na viumbe visivyokuwa na shukrani
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Wacha kijana apandishe dau usimtisheInaonekana wewe huzipendi hela zako maana unavyopanda dau aste aste utajikuta unafikia hundreds of thousands kisha millions.
Hahahah wasio wa genye wapo vpWe unawafanya wa genye unategemea nn
Lkn si tunaenjoy wote?Kwa hiyo atakuwa anawapata bure bure wapi huko dunia ya sasa?
Duuuuu. Mkuu,hiyo hatari😂😂😂😂😂Bora yako unakimbiwa vizuri, wengine tunatukanwa hadi matusi ya nguoni plus washua wetu
UMESOMEKA MKUU 👊👊20K cement mfuko mmoja na site umeshafika na change inabaki nauli ya Bodaboda kurudi stand kutoka unakopanga tofali zako....
Kijana gawana na wazazi wako kile unachokipata kadiri wanavyosema asante na wewe ndivyo unavyozidi kuchanua,hii theory wengi hawapendi kuitumia wanajikuta wanajikunja
Wapo wa hivo hujakutana nao tuLkn si tunaenjoy wote?
Nadhani alimaanisha kupanda dauKupanda damu ni ushirikina mkuu, au we freemason
Hata kama sina ghorofa ila nakuwa na utulivu wa maisha,hela yangu naiona na naifanyia kile ninachotamani tofauti na anayehonga honga hovyo.Ambae huhongi utakua na gholofa lako saaafi.
Tuko wengi broo. Na hata mkinisaliti nitabaki pekee kwenye hiki chama(cha wanaume wasiohonga). Mana kuna kipindi nilijifanya pochi nene nikaja gundua kama pesa zote nilizowahi kuhonga ningekuwa nazijengea nyumba ningekuwa npo napauwa afu zile za vocha ningefanyia finishing .Nawaasa mabaharia wenzangu kwa hili. Nimekuja kubaini kwamba pisi zinaamuaga kunipotezea kisa sio mhongaji mzuri. Kutokana na muonekano wangu wa nje mademu wanajuaga ni mhongaji kumbe wapi,mimi nikizidisha sana demu nampa elfu kumi ila mara nyingi buku tano. Wengi nikitongoza wanaanza vizinga huwa nawaambia mpaka siku tukionana na upande wa nauli nawaambia wakope nitarudisha. Sasa kila nikipata demu akiniomba mpunga mara mbili tatu akiona nimemkazia ananifungia vioo. Sasa najiuliza hivi siku hizi hakuna real love? Demu nimemtongoza mchana jioni matatizo kibao. Sawa nitatoa lkn sasa napanda damu mpaka 15,000/= maana nimejifunza sasa ila mziki wake sio wa kipolepole,nitalipiza.
Bro,umeongea jambo la maana sana lkn kabla ya kuoa unakidhi vip lile hitaji muhimu?Tuko wengi broo. Na hata mkinisaliti nitabaki pekee kwenye hiki chama(cha wanaume wasiohonga). Mana kuna kipindi nilijifanya pochi nene nikaja gundua kama pesa zote nilizowahi kuhonga ningekuwa nazijengea nyumba ningekuwa npo napauwa afu zile za vocha ningefanyia finishing .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba huu ni wizi wa hadharani. Wanawake watuonee hurumaAisee hatari
Mimi binafsi kuna demu nilikuwa nampenda Sana nakumbuka kuna siku namwambia nampenda akanijibu ana shida na laki 5 ha haha
Kuna mwingine juzi kanipiga mzinga laki 1
Mwingine kanipiga mzinga 50,000/-
Kama ningewapa hesabu ingekuwa hivi 500,000 + 100,000+50,000= 650,000/-zaidi ya mifuko 40 ya saruji hiyo