Mademu wenye misambwanda njooni, kwa nini mnatutesa

Mademu wenye misambwanda njooni, kwa nini mnatutesa

Saveya

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
2,333
Reaction score
2,338
Hi wana chit chat

Leo nimekuja kueleza maoni yangu juu ya hawa wadada wenye mizogo,makalio aka misambwanda mmekuwa mkituumiza sana tukiwa sehemu mbali mbali, mara mpite mnatingisha, mara mpite mmevaa tight lainii, mara muonyeshe shanga zenu kiunoni, mara vitovu, ilimradi tu mtuumize sisi vijana mashababi.

Karibuni tujadili wadada na wanaume wenzangu, tulijadili hili

Kwa muktadha wa kiChit Chat, tueleze changamoto unazokumbana nazo ukiona mzigo murua.
 
Mwanamke mwenye chura wa kwenda mkiwa on bed asilimia za kukupindua ili umuweke doggy ni 98. Even if utakua busy kwenye missionary utaona anajipindua slowly mpaka kua doggy.

Imenitokea kwa wote wenye vyura wa kwenda. Akili yangu inaniambia wanaamini sababu pekee umetaka kuruka naye ni huo mzigo so anakuonyesha kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom