Pole sana mkuu dah hivyo ndivyo watu hupata magonjwa ya moyo
Hebu jaribu haya,
1
😱ngea na mtu/taasisi inayokudai waeleze ukweli ulivyo, kisha waombe wakusogezee mbele au wakupunguzie kias unachtakiwa kurejesha sambamba na kukuongezea muda usio na ongezeko la riba endapo watakubali
Bana matumizi uwezavyo Ili uweze kurejesha kias Fulani baada ya muda utajikuta umepunguza deni kabisa
2:ikiwa una baadhi ya vitu ambavyo huvitumii/umeviweka store baada ya kununua vipya uza kapunguze deni
Mfano
TV
Kabati,
Redio
Vitanda
Nk
Uza unakaa na mavitu kibao na unadaiwa uza
3; kama huna hiyo namba mbili
Uza asset ambazo unatumia mfano friji kabati
Redio na utanunua vingine baadae
Ni hayo tu
ONYO
Epukeni kukopa kwenye sacos za mtaani nenden kwenye taasisi zinazoeleweka
Sacos za mtaani ni maumivu na hawana Sheria inayowasimamia au kuwalimit wanaweza kukuongezea riba muda wowote wanaotaka hasa unapopitisha muda wa rejesho
Sent from my Infinix X680 using
JamiiForums mobile app